Inakuaje hadi unakula mpangaji mwenzio au mwenye nyumba? Ujinga tu. Acha!

Inakuaje hadi unakula mpangaji mwenzio au mwenye nyumba? Ujinga tu. Acha!

Kaniona napitq na mkate wangu kanivutia ndani kwake nikanywe chai, na kanambia mchana anapika ugali baada ya kuniuliza chakula changu pendwa ni nini, sasa mimi huyo mwanajeshi wake mwenye kitambi tutapigana tu
 
Aseee nakumbuka nilikuwa naletewa chakula hadi ndani nadekiwa nafuliwa asee nikaona isiwe shida ngoja nikule hii kitu ila halikuwa jambo zuri.
 
Aseee nakumbuka nilikuwa naletewa chakula hadi ndani nadekiwa nafuliwa asee nikaona isiwe shida ngoja nikule hii kitu ila halikuwa jambo zuri.
tuseme hadi now unafuliwa
 
Wadada mlioliwa kimasihara na wapangaji wenzenu mje kutoa ushuhuda
 
Hili suala la kugongeana wapangaji sijui wenye nyumba kwangu halijakaa poa kabisa.

Unajua kabisa ana mtu wake either anakuja au anaishi hapo, hadi muda mwingine wakiwa ndani unapunguza sauti ya redio yako usikie wanachofanya and then akiondoka na wewe unamendea.

Unaona mwamba/demu kaingiza watu wanne ndani ya mwezi na wewe umo hata hustuki.

Acheni sijapenda.

Is non of your business, Fanya yako, katika hii dunia mtu mwenye utashi wake akifanya jambo huku wakiwa na akili timamu siyo kazi yako, mind your business.
 
Back
Top Bottom