Na wala kuzikwa huko s scientific formulae kama itaathiri utendaji kazi wa machineFamilia Ina majibu zaidi
Nong'ona usiseme kwa sauti, wewe mara ya mwisho kwenda kwenu ilikuwa karne ipi? Unauhakika kijiji chenu bado kipo na nduguzo bado wapo, wee acha tu.Nikiangalia ratiba ya mazishi ya poti Mafuru,inaonyesha atazikiwa Dar.kwa kumbukumbu zangu huyu ni mtu wa mkoa wa Mara huko,na kawaida ya watu wa Mara huwa hawazikiwi nje ya mkoa wao.
Sasa najiuliza huyu bwana imekuaje azikiwe huko Daslamu na wakati ana kwao?
Hakuwa amejiandaa huko kwao. Unataka ya yule msanii wa Tanga aliyefiwa na mamaye yamkute?Nikiangalia ratiba ya mazishi ya poti Mafuru,inaonyesha atazikiwa Dar.kwa kumbukumbu zangu huyu ni mtu wa mkoa wa Mara huko,na kawaida ya watu wa Mara huwa hawazikiwi nje ya mkoa wao.
Sasa najiuliza huyu bwana imekuaje azikiwe huko Daslamu na wakati ana kwao?
Kuishi kwa mazoea ndo kansa inayotutesa sana sisi watanzania!!kawaida ya watu wa Mara huwa hawazikiwi nje ya mkoa wao.
Ungeandika jina kamili.Alikuwa nani na kwao ni kijiji gani!Na inahusu kipi.Nikiangalia ratiba ya mazishi ya poti Mafuru,inaonyesha atazikiwa Dar.kwa kumbukumbu zangu huyu ni mtu wa mkoa wa Mara huko,na kawaida ya watu wa Mara huwa hawazikiwi nje ya mkoa wao.
Sasa najiuliza huyu bwana imekuaje azikiwe huko Daslamu na wakati ana kwao?
Ukishakufa habari yako ndio imeishaNikiangalia ratiba ya mazishi ya poti Mafuru,inaonyesha atazikiwa Dar.kwa kumbukumbu zangu huyu ni mtu wa mkoa wa Mara huko,na kawaida ya watu wa Mara huwa hawazikiwi nje ya mkoa wao.
Sasa najiuliza huyu bwana imekuaje azikiwe huko Daslamu na wakati ana kwao?
labda walipiga kura tunasafirisha au tunazika. kura ya tunazika ikashindaNikiangalia ratiba ya mazishi ya poti Mafuru,inaonyesha atazikiwa Dar.kwa kumbukumbu zangu huyu ni mtu wa mkoa wa Mara huko,na kawaida ya watu wa Mara huwa hawazikiwi nje ya mkoa wao.
Sasa najiuliza huyu bwana imekuaje azikiwe huko Daslamu na wakati ana kwao?
Kwao ni pale wanapoamua kuwa ni kwao.Hajajenga kwao !!.
Kwake ni Dar es Salaam, labda ungesema kwa wazazi wake au kwa babu zake.Hajajenga kwao !!.
Kwake ni alipokuwa anaishiWana tabia ya kutokujenga kwao.
Hii inaweza kuwa si hoja, matakwa ya familia hasa watoto au marehemu alisema atazikwa wqpi akifaHajajenga kwao !!.