Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikiangalia ratiba ya mazishi ya poti Mafuru, inaonyesha atazikiwa Dar. Kwa kumbukumbu zangu huyu ni mtu wa mkoa wa Mara huko, na kawaida ya watu wa Mara huwa hawazikiwi nje ya mkoa wao.
Sasa najiuliza huyu bwana imekuaje azikiwe huko Daslamu na wakati ana kwao?
Pia soma TANZIA - Lawrance Mafuru, Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango afariki dunia
Especially when one is thinking like you, ulishachunguza kama kichwani una ubongo au mbolea ya pig?This is the biggest bullshit of all time
Hiyo paragraph ya mwisho inasikitisha sanaIn Africa, we don't die, tunakuwa ancestors, sasa imagine unakuwa ancestor makaburi ya kisutu au kinondoni, koshoto na kulia umezungukwa na strange spirit is, hazioani na mizimu yenu, mwingine kafa kwa kupigwa mawe baada ya kuiba simu, mwingine alikuwa changudoa. Unamzika hapo, number kuna mtu mwingine alizikwa eneo hilo, spirit yake bado iko hapo inarandaranda.
Hata mkienda kumuombea, mnajikuta mnaombea kitu kingine.
Lastly, ni uchawi, wengi wanaogopa kupeleka familia zao vijijini kwa sababu ya uchawi. Hasa kwa wajita, wakerewe na wakwaya, na wajaluo. Wakurya uchawi si sana, wao ni kukatana mapanga tu.
Kajenga vizuri tu inavyosemekana.Hajajenga kwao !!.