Inakuaje Lawrence Mafuru azikwe Dar na sio kwao Mara?


Hayo ni mambo ya kifamilia. Kuzikwa nayo haijawa ni issue ya kitaifa. Kunawatu wengi wanazikwa Dar na wanatoka mikoani
 
Mada fikirishi hii, kila mmoja inamgusa kwa aina yake; wengi hatuna tamaduni ya kupaweka sawa kwenye vijiji vilipotoka vizazi vyetu.
Wengi huwa tunawekeza sana, pale panapotupatia mkate wa kila siku.
 
Hiyo paragraph ya mwisho inasikitisha sana
 
Wabongo Bwana, kwani lazima kuzikwa kijijini walikotoka babu zako?.

Kama babu na Baba zako walishindwa kupajenga wewe ni nani uweze kupajenga, ukijaaliwa sawa na usipojaaliwa ni sawa pia.

Hivi ni lazima ukijenga Dar au kwingineko na kijijini kwenu pia ukajenge nyumba nzuri?
Tuna uhakika gani na kipato cha mtu mpaka tumlazimishe akajenge kwao.
 
Siyo lazima. Mambo yamebadilika sana. Ndoa nyingi zimekuwa za makabila tofauti. Junior (watoto) wengi hawajui kwao. Utazikwa na kaburi watalisahau
 
Pesa zake nyingi zipo dar na sio mara. Jiongeze mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…