Inakuaje mtu umehama kikazi kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine then urudishwe ulipotoka?

Et wadau,kwann wasikatae kabla haujaondoka..vipi uliefanikiwa kuhama ukaambiwa urudi ulirudi au ilikuaje?
Ulihama kimchongo kupitia kwa vishoka?, au ulihama ila mshahara haukuhamishwa?
 
Ulienda Utumishi kutafuta connection ya kuhama, ukakutana na vishoka wakakupa barua fekii

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Reactions: K11
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…