Inakuaje mtumishi wa Serikali unajiona kama Mungu mtu? Hampewi training huko namna ya kuzungumza na wateja??

HAPANA,HATA SIO KUMUHARIBIA,TENA UKIWEZA MCHANE HAPOHAPO TU WAZI OFISINI MBELE YA WATU WOTE.

WATU KAMA HAO,HUWA NINAWACHANA NA HUDUMA NAPATA,HANA LA KUKUFANYA.
TENA UNGETAJA HADI OFISI YAKE ILIPO.
Snitch tu huyo yeye ndio jau ....unajua kuna wateja ile mteja mfalme wanaitumia vibaya.
 
Wakati mwingine ni hulka ya mtu tu na sio taasisi. Experience yako inaweza kuwa tofauti kabisa na ya mwingine eneo lingine aliyekutana na mtu mwingine kwa shida kama yako na akasaidiwa vizuri. Dawa yake ni kutafuta access ya boss wake, akijua hilo atakuhudumia vizuri na kwa heshima zote. Then utumie hiyo nafasi kumrekebisha.
 
HAPANA,HATA SIO KUMUHARIBIA,TENA UKIWEZA MCHANE HAPOHAPO TU WAZI OFISINI MBELE YA WATU WOTE.

WATU KAMA HAO,HUWA NINAWACHANA NA HUDUMA NAPATA,HANA LA KUKUFANYA.
TENA UNGETAJA HADI OFISI YAKE ILIPO.
Mkuu narudi, nahisi naenda kufanya uvandame kama huu.. Boloyanki haruki leo yule.
 
Wabongo kazi kulalamika eti unakuja kumchana huku JF kama mwanaume mtu akileta dharau na ukajiridhisha hizi ni dharau yahn kwamba mtu amevuka mstari mwekundu unaruka nae ili awe na nidhamu sio kuja kulia kulia.
100% nimezingua mkuu, ila hapa nime release tu ya moyoni.. namrudia tena
 
🤣🤣🤣Waulinda wako moyo🥴
Madam ushawahi ku mind alaf mtu anakuchekeshaa, unaweza mrabua likibao.. ila nime smile 😊 najikaza kucheka. Ukisikia kuna wanawake wanajua kubadili mood ndo huku, unarudi hutaki game ila to yeye mchokonozi sasa mpaka uitandikee.
 
Shukran Mkuu 🤝
 
UNAJUA MTU ANAKUWA AMEZOEA KUFANYA HUDUMA ZA HIVYO KWA KUDHARAU WATU NA WANAMUACHA,BADALA YA KUMKEMEA HADHARANI.

YAANI KAMA YEYE ANAVYOKUJIBU,NA WEWE JIBU VILEVILE,AONE HUYU SIO.
Uko sahihi japokua upande wa pili natamani jambo langu liishe mapema na kutengeneza mahusiano kwa ajili ya siku nyingine, ukimlipua hivo tena kwa incharge si beef ya milele alafu ukirudi?.. nawaza tu mkuu.
 
Mtaje jina na kitengo chake kenge huyo,wanajisahau sana hao
 
Kwahiyo nilivyo kuambia upange foleni nilikosea?

Pia kukuambia nenda direct nilikosea?
Umeamua uje usema hapa wakuu mtu alikuwa anazunguka ana elezea anarudi kulekule ndio maana nikamwambia aende direct kwenye point
 
Kwahiyo nilivyo kuambia upange foleni nilikosea?

Pia kukuambia nenda direct nilikosea?
Umeamua uje usema hapa wakuu mtu alikuwa anazunguka ana elezea anarudi kulekule ndio maana nikamwambia aende direct kwenye point
Heshima ni kitu cha bure, kuna memba wamenijibu vizuri sana hapo juu kwamba ni malezi tu, hulka binafsi! Ndio hadi kukaripia watu wazima?
 
Tunapewa training mkuu, tusamehe
🤣Wanataka customer care kama ya hotel, au profit making firms, hata kwa huduma za kimishonari hakuna hicho unachotaka "mteja Mfalme" does not apply on every service, kwanza Hawa watumishi wanafanya KAZI kwenye mazingira yenye changamoto sana, halafu mnataka wawe wanigiza na fake smile au lugha za ki "air hostess"😇😆
 
Madam ushawahi ku mind alaf mtu anakuchekeshaa, unaweza mrabua likibao.. ila nime smile 😊 najikaza kucheka. Ukisikia kuna wanawake wanajua kubadili mood ndo huku, unarudi hutaki game ila to yeye mchokonozi sasa mpaka uitandikee.
Aisee,mi game unapiga hata kwa mtutu
 
Snitch tu huyo yeye ndio jau ....unajua kuna wateja ile mteja mfalme wanaitumia vibaya.
"Mteja Mfalme" does not apply on every service, hiyo ni slogan ya profit making firms/departments/busness, where u need to attract more customers against your competitors
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…