Archnemesis 2-0
JF-Expert Member
- Aug 25, 2024
- 815
- 1,558
- Thread starter
- #41
ntakutafuta, ntakutafutaAisee,mi game unapiga hata kwa mtutu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ntakutafuta, ntakutafutaAisee,mi game unapiga hata kwa mtutu
Za kazi sio? Kwamba ana wateja wengi? Au unamaanisha mimi ndo mwenye frustrations?Mkuu hizo ni Frustrations!
Dot treat public servants as if they are directly employed by customers (wananchi), mnaturudisha kwenye zama za communism.HAPANA,HATA SIO KUMUHARIBIA,TENA UKIWEZA MCHANE HAPOHAPO TU WAZI OFISINI MBELE YA WATU WOTE.
WATU KAMA HAO,HUWA NINAWACHANA NA HUDUMA NAPATA,HANA LA KUKUFANYA.
TENA UNGETAJA HADI OFISI YAKE ILIPO.
WEWE UNACHOJARIBU KUTETEA NI UJINGA.Dot treat public servants as if they are directly employed by customers (wananchi), mnaturudisha kwenye zama za communism.
Possibly workload, inadequate staffing na pia too much customer expectation, na pia Kuna customers wanao mistreat staff, Hizo ndyo repercussions zinazojitokeza, Mbona kwenye private sector hamlalamikii hivyo? ingawa kunakuwa na same issuesZa kazi sio? Kwamba ana wateja wengi? Au unamaanisha mimi ndo mwenye frustrations?
Ofisi ya wapi?Ni @TRA Tanzania
Wewe ni mtumishi?? Usiwe defensive hivyo, kwanza tushasema sio wote wako hvo.Dot treat public servants as if they are directly employed by customers (wananchi), mnaturudisha kwenye zama za communism.
Siyo "craning" ya kunyanyua mabega kweli mnayopewa?Tunapewa training mkuu, tusamehe
Mbona mme wa blanket wote, the whole public sector, mzitaje Hizo idara zilizokutwa na changamotoWewe ni mtumishi?? Usiwe defensive hivyo, kwanza tushasema sio wote wako hvo.
Hawapewi, mteja ni falaHeshima kwenu Wakuu,
Nimekwazika sana, mara ya 2 mtu unaenda kitengo flani kutaka huduma na maelekezo vizuri namna ya kufanikisha jambo lakini majibu unayopewa ni ya mkato na dharau imetamalaki.. yani sijawahi onyeshwa nyodo za hivi ata na mwanamke tokea nizaliwe.
Huyo jamaa siku ya kwanza naenda ofisini nikakuta foleni, ilikua unasikia mwezako anavojibiwa na sio mimi pekee wote ata wa mbele yangu mwendo ni ule ule majibu yake short yasiyojitosheleza.
Imefika zamu yangu, namsalimia Habari ya kazi bro, kanyanyua kichwa na kujibu 'ehee??' Basi nikaanza kujieleza shida yangu napokwama napohitaji msaada, aisee jamaaa akanichana "nenda kwenye point acha maelezo mengi".
Dah nikajikaza kiume, "ok, in a nutshell shida yangu ni hii..." cha ajabu akaomba details, kumpatia akaanza kuuliza yale yale aliyonikatisha wakati namueleza, reaction yangu nikaanza kujibu short and simple na yeye maswali yakawa mengi nilimshangaa sana.
Niliambiwa nirudi siku inayofata asubuhi opening hours, nimejihimu na kupanda boda ili niwahi foleni kufika kweli nimemkuta, kumpa salamu jibu lake.. "Njoo baadae" no time slot.
Mimi sio snitch na sipendi kuchongea ila kwa dharau alizonazo huyu pimbi natamani ata nimtafute in charge wake nitoe malalamiko. Imagine ile siku ya kwanza tuko wengi tu anasema "Jipangeni kwenye foleni, nyie si watu wazima au?" Na kulikua na watu wa makamo pale.
Kwani ukimjibu mtu vizuri unapungukiwa nn? Nakukumbusha tu mshahara unaolipwa ni kutokana na kodi zetu iweje hau heshimu walipa kodi?? Kiumri ni braza makadirio umenizidi miaka 4 au 5 apo ila heshima ni bure mzee.
Ni TRA Tanzania
Still thats not an excuse to act rudely and obnoxious, cant really get your point of being defensive! U must be using that foul mouth too to disregard this matter that easily.Possibly workload, inadequate staffing na pia too much customer expectation, na pia Kuna customers wanao mistreat staff, Hizo ndyo repercussions zinazojitokeza, Mbona kwenye private sector hamlalamikii hivyo? ingawa kunakuwa na same issues
Dar headquarters, jina labda nkupe PM kk pamoja nakunizengua nina ka ubinadamu bado.Ofisi ya wapi?
Ni bora ukataja kila kitu ili pimbi ajulikane, taja wajihi wake sema kila kitu then mie nitajitolea kwenda kumpiga picha ili bosi wake apate kila kitu.
Ni vyema kutokuzunguka mbuyu.
Wakati najizalilisha kutafuta hii kazi ulikuwepo?Heshima ni kitu cha bure, kuna memba wamenijibu vizuri sana hapo juu kwamba ni malezi tu, hulka binafsi! Ndio hadi kukaripia watu wazima?
Be specific to the finest detail, siyo ku blanket the whole public sector, don't expect too much kama vile watumishi wa umma ni your personal/domestic servantsStill thats not an excuse to act rudely and obnoxious, cant really get your point of being defensive! U must be using that foul mouth too to disregard this matter that easily.