Archnemesis 2-0
JF-Expert Member
- Aug 25, 2024
- 815
- 1,558
- Thread starter
- #81
Nijifanye kukuunga kumbe mwenzangu uko Washington au miami huko unakula breeze tuTema mate tumpige-in voice of mama sa100
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nijifanye kukuunga kumbe mwenzangu uko Washington au miami huko unakula breeze tuTema mate tumpige-in voice of mama sa100
🤣🤣🤣Malizana kwanza na hili mkuuntakutafuta, ntakutafuta
Hii ilinikuta bank fulani NBC Bariadi mpaka nikatamani kukimbia hapa bank au wapi? Huduma ile sikuipenda jamaa wana customer service mbovu kabisa nilikua upset sana ila nikamezea tuImefika zamu yangu, namsalimia Habari ya kazi bro, kanyanyua kichwa na kujibu 'ehee??' Basi nikaanza kujieleza shida yangu napokwama napohitaji msaada, aisee jamaaa akanichana "nenda kwenye point acha maelezo mengi".
Dah mwanangu mimi Niko mpimbwe, ni boda boda tu Sina Ata status yoyote mimi sio tajiri kama matajiri wengine wa jf✏️😅Nijifanye kukuunga kumbe mwenzangu uko Washington au miami huko unakula breeze tu
Mtaje na jina lakekumamakezake msengebwege huyoMimi sio snitch na sipendi kuchongea ila kwa dharau alizonazo huyu pimbi natamani ata nimtafute in charge wake nitoe malalamiko. Imagine ile siku ya kwanza tuko wengi tu anasema "Jipangeni kwenye foleni, nyie si watu wazima au?" Na kulikua na watu wa makamo pale.
SAWA.sijajibu kwa kisa cha TRA, mwanzoni hamkuwa specific, mnawashambulia watumishi wooote wa umma
Tunaomba jina la huyo pimbi anaesumbua wateja aliechoka kufanya kazi wakati kuna lundo la vijana hawana ajira yeye anajaza tu nafasi na kazi anafanya kwa kujisikia matakoyakesijajibu kwa kisa cha TRA, mwanzoni hamkuwa specific, mnawashambulia watumishi wooote wa umma
Pole sana mkuu. Ila watu wa TRA huwa wanavurugwa sana:; unapaswa kwenda nao taratibu. Msamehe bure huyo pimbi mkuu. Huenda hajui kuwa duniani tunaishi kwa kutegemeana.Heshima kwenu Wakuu,
Nimekwazika sana, mara ya 2 mtu unaenda kitengo flani kutaka huduma na maelekezo vizuri namna ya kufanikisha jambo lakini majibu unayopewa ni ya mkato na dharau imetamalaki.. yani sijawahi onyeshwa nyodo za hivi ata na mwanamke tokea nizaliwe.
Huyo jamaa siku ya kwanza naenda ofisini nikakuta foleni, ilikua unasikia mwezako anavojibiwa na sio mimi pekee wote ata wa mbele yangu mwendo ni ule ule majibu yake short yasiyojitosheleza.
Imefika zamu yangu, namsalimia Habari ya kazi bro, kanyanyua kichwa na kujibu 'ehee??' Basi nikaanza kujieleza shida yangu napokwama napohitaji msaada, aisee jamaaa akanichana "nenda kwenye point acha maelezo mengi".
Dah nikajikaza kiume, "ok, in a nutshell shida yangu ni hii..." cha ajabu akaomba details, kumpatia akaanza kuuliza yale yale aliyonikatisha wakati namueleza, reaction yangu nikaanza kujibu short and simple na yeye maswali yakawa mengi nilimshangaa sana.
Niliambiwa nirudi siku inayofata asubuhi opening hours, nimejihimu na kupanda boda ili niwahi foleni kufika kweli nimemkuta, kumpa salamu jibu lake.. "Njoo baadae" no time slot.
Mimi sio snitch na sipendi kuchongea ila kwa dharau alizonazo huyu pimbi natamani ata nimtafute in charge wake nitoe malalamiko. Imagine ile siku ya kwanza tuko wengi tu anasema "Jipangeni kwenye foleni, nyie si watu wazima au?" Na kulikua na watu wa makamo pale.
Kwani ukimjibu mtu vizuri unapungukiwa nn? Nakukumbusha tu mshahara unaolipwa ni kutokana na kodi zetu iweje hau heshimu walipa kodi?? Kiumri ni braza makadirio umenizidi miaka 4 au 5 apo ila heshima ni bure mzee.
Ni TRA Tanzania
Wewe ni mwalimu mkuu. Imagine Jana umenichapia mwanangu mikono imevimba hadi anashindwa kutembea sababu ya laki tatu... Kweli?Tunapewa training mkuu, tusamehe
Hao wahuni wahuni ndio wamechoka kazi tunayataka majina yao tuwaanike huku mfano John Mwaifambwe yupo Branch X ya TRA mkoa Y anatoa huduma mbovu kwa wateja tuwataje wajijue kua wao ni watoaji huduma mbovu kwa watejaTatizo Wema na Wahuni wapo kila sehemu, nikupambana tuwapige spana Wahuni wote watoke kwenye mifumo yetu ili wabaki wema tu!!
listen young man, indeed my clients treat me as an α & Ω, kwa kazi nzuri ninayoifanya ktk civil service, sina madoa and I am happy to humbly serve people, pia ni expert wa ku-handle clients of your type (disrespectful stubborn clients)I could argue with choose your career wisely and stop acting like Alpha and Omega, everybody is replaceable.. if the job is too much to handle quit, i should not expect top notch service from you people?? U cant be serious.
Kuvurugwa ndio wavuruge kazi si waache kazi sasa wawaachie wanaoweza kuifanyaPole sana mkuu. Ila watu wa TRA huwa wanavurugwa sana:; unapaswa kwenda nao taratibu. Msamehe bure huyo pimbi mkuu. Huenda hajui kuwa duniani tunaishi kwa kutegemeana.
Tutaanza kuwataja na majina mimi nilimlipua dada mmoja NMB mpaka akaniomba msamaha acheni hizo nyinyi yaan kukaliakalia hivyo viti vya kuzunguka na kupigwa na kakiyoyozi basi unajiona umemaliza kila kitu?listen young man, indeed my clients treat me as an α & Ω, kwa kazi nzuri ninayoifanya ktk civil service, sina madoa and I am happy to humbly serve people, pia ni expert wa ku-handle clients of your type (disrespectful stubborn clients)
wale jamaa wanajiona miungu watu kabisa na hiyo yote ni kujiwekea mazingira ya rushwa ndiomaana wanajenga mahekalu huko mtaani na hakuna wa kuwahoji ukiuliza utaambiwa afisa wa customs huyo, na yale maumbwa yanajiita takokuuruuu yapo tu SHAME.
Kuna wakati mtu anavurugwa na mkewe/mumewe nyumbani halafu hasira anazipeleka hadi kazini. Kuna pimbi wengi wa aina hiyo mkuu.Kuvurugwa ndio wavuruge kazi si waache kazi sasa wawaachie wanaoweza kuifanya
Lazima nicheke kabla ya kukupa pole🤣🤣😌😌 .Heshima kwenu Wakuu,
Nimekwazika sana, mara ya 2 mtu unaenda kitengo flani kutaka huduma na maelekezo vizuri namna ya kufanikisha jambo lakini majibu unayopewa ni ya mkato na dharau imetamalaki.. yani sijawahi onyeshwa nyodo za hivi ata na mwanamke tokea nizaliwe.
Huyo jamaa siku ya kwanza naenda ofisini nikakuta foleni, ilikua unasikia mwezako anavojibiwa na sio mimi pekee wote ata wa mbele yangu mwendo ni ule ule majibu yake short yasiyojitosheleza.
Imefika zamu yangu, namsalimia Habari ya kazi bro, kanyanyua kichwa na kujibu 'ehee??' Basi nikaanza kujieleza shida yangu napokwama napohitaji msaada, aisee jamaaa akanichana "nenda kwenye point acha maelezo mengi".
Dah nikajikaza kiume, "ok, in a nutshell shida yangu ni hii..." cha ajabu akaomba details, kumpatia akaanza kuuliza yale yale aliyonikatisha wakati namueleza, reaction yangu nikaanza kujibu short and simple na yeye maswali yakawa mengi nilimshangaa sana.
Niliambiwa nirudi siku inayofata asubuhi opening hours, nimejihimu na kupanda boda ili niwahi foleni kufika kweli nimemkuta, kumpa salamu jibu lake.. "Njoo baadae" no time slot.
Mimi sio snitch na sipendi kuchongea ila kwa dharau alizonazo huyu pimbi natamani ata nimtafute in charge wake nitoe malalamiko. Imagine ile siku ya kwanza tuko wengi tu anasema "Jipangeni kwenye foleni, nyie si watu wazima au?" Na kulikua na watu wa makamo pale.
Kwani ukimjibu mtu vizuri unapungukiwa nn? Nakukumbusha tu mshahara unaolipwa ni kutokana na kodi zetu iweje hau heshimu walipa kodi?? Kiumri ni braza makadirio umenizidi miaka 4 au 5 apo ila heshima ni bure mzee.
Ni TRA Tanzania
Tuwataje majina yao hao wahuni sio kuweka malalamiko tu majina mnaficha matakoni wekeni majina yao hapa wajulikane kua wao ndio wanaongoza kwa kutoa huduma mbovu ikiwezekana hata na picha zao itafaa zaidiwale jamaa wanajiona miungu watu kabisa na hiyo yote ni kujiwekea mazingira ya rushwa ndiomaana wanajenga mahekalu huko mtaani na hakuna wa kuwahoji ukiuliza utaambiwa afisa wa customs huyo, na yale maumbwa yanajiita takokuuruuu yapo tu SHAME.
Sasa hao ndio wakuwaanika ili wakavurugwe vizuri nyumbaniKuna wakati mtu anavurugwa na mkewe/mumewe nyumbani halafu hasira anazipeleka hadi kazini. Kuna pimbi wengi wa aina hiyo mkuu.