inakuaje Nchi zinaungana kuipiga Israel lakini inashindikana, Yemen, Iran, Lebanon, Syria, Palestina hawaoni aibu?

inakuaje Nchi zinaungana kuipiga Israel lakini inashindikana, Yemen, Iran, Lebanon, Syria, Palestina hawaoni aibu?

wastani kwa idadi

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2024
Posts
503
Reaction score
1,432
Na hapo kumbuka Israel inapigana kwa tahadhari ku target zaidi magaidi ili kupunguza casualities za civilians zisizokwepeka, ni tofauti na nchi hizi zingine ambazo hushambulia zaidi raia wa kawaida wa Israel, lengo lao huwa ni kuua raia wa Israel wengi kadri inavyowezekana.

Hii sio mara ya kwanza Israel kuchangiwa, Kuna vita mwaka 1967 ilidumu kwa siku sita tu, Mataifa ya kiarabu yaliungana kutaka kuipiga Israel, unaambiwa ndani ya siku 6 pekee Israel alitandaza kipigo kila moja alitoka nduki speed 120.

Tukija hali ya sasa:

Iran kama tunavyojua Rais wao alitunguliwa juu kwa juu

Yemen walidiriki kurusha drone moja, kilichofuata Israel akatuma ndege 2 tu kujibu, Bandari ya Yemen ilichakazwa

Lebanon nao wameanza kuipata, sio muda utasikia Free Lebanon

Palestina imechakazwa vibaya mno, Gaza imekuwa mji wa vifusi
 
Kwa nguvu za kijeshi hayo mataifa yatachakazwa vibaya sana, linapokuja suala la vita nchi kwa nchi ndo watatambua Israel ni nani? Ni vita ambayo haitachukua muda mrefu sana.
Kuna vita ilikuwa ya siku 6 tu, Mataifa ya kiarabu yaliungana kutaka kuipiga Israel, unaambiwa ndani ya siku 6 tu Israel aliwakalisha kila moja alitoka nduki speed 120.
 
Jeshi la Israel la sasa hv limejaa mashoga tu mnataka kufananisha na Hilo la miaka ya 60 Sasa hv wanapewa misaada yote silaha za kila aina technology za juu lakini eneo km wilaya ya temeke inakaribia mwaka wanahangaika nalo wao uwaambie kumwagana💩💩 ndio wanachojua wanapgana huku wamevaa pampers maana Malinda yote hawana
 
Na hapo kumbuka Israel inapigana kwa tahadhari ku target zaidi magaidi ili kupunguza casualities za civilians zisizokwepeka, ni tofauti na nchi hizi zingine ambazo hushambulia zaidi raia wa kawaida wa Israel, lengo lao huwa ni kuua raia wa Israel wengi kadri inavyowezekana...
Unaonekana umemeza sana stori za vijiweni pia HUNA UNACHOJUA kuhusu mzozo wa mashariki ya kati.
-Tukianzia na six days war ya 1967 ilopiganwa tarehe 5-10 kama sijakosea February.

Hakuna mataifa ya kiarabu yaliyoungana dhidi ya Israel,bali kulikua kuna kujiandaa kwa mataifa ya kiarabu hususan Egypt na Syria.

Egypt ilinunua ndege vita takriban 200 za Kisovieti na Syria ilikua ikijiimarisha kijeshi ili waje kuishambulia Israel kwa kushtukiza na kwa pamoja.Ila isivyo bahati Israel waligundua mipango na kupiga Kambi ya jeshi la anga la Egypt uliokuwepo Sinai na kuteketeza ndege zote 200 kesha na kuiteka Sinai.

Ila Syria ndio ilishambuliwa sana na ndege vita za Israel na kuporwa Gollan heights,Rais wa US wa kipindi kile ndiye aliyeiamuru ISRAEL isitishe mashambulizi ya anga ndio vita ikaisha February 10.Kilichotokea ni mashambulizi ya anga ya Israel ila sio vita kamili kati ya waarabu na Israel.Usisahau 1973 kuna vita ilopiganwa Israel ikapigwa na kuondolewa Sinai na askari wa Egypt,na katika vita ambazo Israel ilipoteza askari wengi kama mateka basi ni hiyo.

-Situation ya sasa iliyoanzia October 7 mwaka jana Israel ilipovamiwa na Hamas US Navy walituma battleship ikiwa na Navy seal wasiopungua 2000 wakiwa na ADS na silaha nyingi za kuisapoti Israel dhidi ya Hamas.
UK na Germany nao walituma msaada wa kijeshi kwa Israel,ndipo mataifa ya kiarabu walipoona mataifa makubwa yanaisaidia Israel dhidi ya kundi dogo lenye wapiganaji elfu 30 nao wakaamua kuiunga mkono Hamas kwa wanavyojua wao.

-Houthi Yemen waliamua kufunga red sea ili meli za mizigo zisiende Israel.

-Hizbollah waliamua kuipiga Israel kaskazini ili kuipunguza kasi isiishambulie sana Hamas,na kweli Israel ilipungua kasi maana Galilee raia wote wamehama na pia askari wengi kufa na kujeruhiwa.

-Iran Netanyahu alikataa kuhusika na kifo cha Rais wao alikataa kata kata,sasa utuambie wewe mkaazi wa Kimara bonyokwa ushahidi wa Israel kumuua rais wa Iran umetoa wapi ilhali Netanyahu amekataa!?

Hakuna mataifa yaloungana kumchangia Israel uwe unafuatilia taarifa sio kuropoka.

-2006 kuna vita baina ya Lebanon na Israel ilitokea na Israel alipigwa na kupokonywa Bint jubeir na sehemu ya mpaka wa bahari.Je unaijua hii vita?

Inajulikana kama operation bint jubeir.


Nimalizie tu na hivi vita vya sasa,hasara iliyopata Israel kwa kupigana na Hamas;
-Vifo vingi vya wanajeshi kiasi kupata uhaba wa wanajeshi na kulazimisha raia kuingia jeshini.

-Askari takriban 12000 kupata ulemavu wa kudumu.

-Raia takriban laki mbili kupata ukimbizi wa ndani hususan waliokua wakikaa kaskazini mwa Israel.

Cha kuongezea kama vita ya Hamas Israel ilitumia takriban silaha zake zote na kutumia wanajeshi laki tatu ili kupigana na wanamgambo elfu thelathini,je Iran yenye kila aina ya silaha ingeamua kuipiga Israel ingekuaje!?
Pia nadhani huijui Iran vizuri.

Kafuatilie vita ya IRAN-IRAQ war ilopiganwa 1980-1988 Iran ikichangiwa na Iraq na USA ila Iran ikashinda vita.
Israel bila ya USA,UK na EU sio taifa.
 
Na hapo kumbuka Israel inapigana kwa tahadhari ku target zaidi magaidi ili kupunguza casualities za civilians zisizokwepeka, ni tofauti na nchi hizi zingine ambazo hushambulia zaidi raia wa kawaida wa Israel, lengo lao huwa ni kuua raia wa Israel wengi kadri inavyowezekan...
Kumbuka Israel inasaidiwa na NATO yote
 
Na hapo kumbuka Israel inapigana kwa tahadhari ku target zaidi magaidi ili kupunguza casualities za civilians zisizokwepeka, ni tofauti na nchi hizi zingine ambazo hushambulia zaidi raia wa kawaida wa Israel, lengo lao huwa ni kuua raia wa Israel wengi kadri inavyowezekana...
Yemen asilimia 80 ya Watu wake ni Mateja, only watoto Ndio hajaingia kwenye ulevi wa Mirungi how come unategemea Watu hao wafanye kitu Cha maana.

Gaza hela zote wangeamua kuijenga Gaza na uchumi wake Watu wangekuwa wanaenda Likizo badala ya Dubai, Lakini hela wanaenda kuijenga mahandaki.

Syria Wana akili kidogo, Ndio maana huoni wakishobokea vita sana ila nao ni vibaraka wa Iran.

Lebanon used to be a very great nation, kama kawaida sehemu yoyote Uislam unapoanza kushika hatamu ndani ya miaka nchi hurudi nyuma sana.
 
Jeshi la Israel la sasa hv limejaa mashoga tu mnataka kufananisha na Hilo la miaka ya 60 Sasa hv wanapewa misaada yote silaha za kila aina technology za juu lakini eneo km wilaya ya temeke inakaribia mwaka wanahangaika nalo wao uwaambie kumwagana💩💩 ndio wanachojua wanapgana huku wamevaa pampers maana Malinda yote hawana
🤣🤣🤣

Ustaz umenifanya nicheke aisee! Ila sasa, kama ndo hivyo, basi hao wanaopigana nao wakaze buti sasa ili wawachape sawasawa hao wavaa pempaz
 
Ulichokiandika hakina hata chembe ya ukweli. Kwa hapo zamani, ningekubaliana na wewe. Ila kwa sasa mambo ni tofauti kabisa.

Hao Mayahudi wasingekuwa wanapewa msaada wa silaha za kijeshi na kaka yake Marekani; muda huu tungekuwa tunaongea mengine.
 
Inakuaje Israel nchi yenye nguvu na intelligensia Duniani inashindwa kuwamaliza wanamgambo wa Hamas na kuokoa raia wake ambao wapo kaeneo kadogo tu ka Gaza🤣
Hamasi iishe? Ili useme nini baada ya hapo chief, mawazo yako tu haya ni ugaidi pia
 
Back
Top Bottom