inakuaje Nchi zinaungana kuipiga Israel lakini inashindikana, Yemen, Iran, Lebanon, Syria, Palestina hawaoni aibu?

inakuaje Nchi zinaungana kuipiga Israel lakini inashindikana, Yemen, Iran, Lebanon, Syria, Palestina hawaoni aibu?

Mkuu hapa watakuja waliovimbiwa urojo,hawajui hata wanachoongea.
Tar 7 ule mwaka hakukua na mchezo tena.
Kitu ambacho hawa wenzetu na pedo zao wakifkiri wataimba tu Allah akibaru na dunia itasikitikia wao.
Swali,kwanini walienda kufanya ujinga wao kwenye ile concert.
Wamefurahia sana baada ya hapo.
Jeshi hili linalopigana kwasasa sio ni Israel pekee,ni ukoo mzima walirudi kupigana hiyo vita.
Kumbuka hawa wako dunia nzima wanafanya kazi za kijeshi miaka yote wanarithishana.
Tar 10 walirudi wote km vitunguu kwenye ndege.
Tar 15 oct wote walikua tayari kambini.
Tar 20 kwenda mbele walikua wanaondoka kwenda frontline Gaza.
Sasa ukiangalia mzigo walioondoka nao wa silaha.
Walikua wanaenda kutwanga hao alhandulilahi wote.
Ndo kinachotokea sasa.
Wao wanaliendeleza tu ukitia pua wanakula kichwa.
 
Na hapo kumbuka Israel inapigana kwa tahadhari ku target zaidi magaidi ili kupunguza casualities za civilians zisizokwepeka, ni tofauti na nchi hizi zingine ambazo hushambulia zaidi raia wa kawaida wa Israel, lengo lao huwa ni kuua raia wa Israel wengi kadri inavyowezekana.

Hii sio mara ya kwanza Israel kuchangiwa, Kuna vita mwaka 1967 ilidumu kwa siku sita tu, Mataifa ya kiarabu yaliungana kutaka kuipiga Israel, unaambiwa ndani ya siku 6 pekee Israel alitandaza kipigo kila moja alitoka nduki speed 120.

Tukija hali ya sasa:

Iran kama tunavyojua Rais wao alitunguliwa juu kwa juu

Yemen walidiriki kurusha drone moja, kilichofuata Israel akatuma ndege 2 tu kujibu, Bandari ya Yemen ilichakazwa

Lebanon nao wameanza kuipata, sio muda utasikia Free Lebanon

Palestina imechakazwa vibaya mno, Gaza imekuwa mji wa vifusi
Hivi kwanini waislamu wana mihemko kuitetea palestina ili hali jeshi la israel lina waislamu wengi na nchi ya israel inawaislamu wengi?
 
Na hapo kumbuka Israel inapigana kwa tahadhari ku target zaidi magaidi ili kupunguza casualities za civilians zisizokwepeka, ni tofauti na nchi hizi zingine ambazo hushambulia zaidi raia wa kawaida wa Israel, lengo lao huwa ni kuua raia wa Israel wengi kadri inavyowezekana.

Hii sio mara ya kwanza Israel kuchangiwa, Kuna vita mwaka 1967 ilidumu kwa siku sita tu, Mataifa ya kiarabu yaliungana kutaka kuipiga Israel, unaambiwa ndani ya siku 6 pekee Israel alitandaza kipigo kila moja alitoka nduki speed 120.

Tukija hali ya sasa:

Iran kama tunavyojua Rais wao alitunguliwa juu kwa juu

Yemen walidiriki kurusha drone moja, kilichofuata Israel akatuma ndege 2 tu kujibu, Bandari ya Yemen ilichakazwa

Lebanon nao wameanza kuipata, sio muda utasikia Free Lebanon

Palestina imechakazwa vibaya mno, Gaza imekuwa mji wa vifusi
Kama huna cha kuandika kaa kimya., Hakuna nchi iliyoungana kuipiga Israel nchi za waarabu zote zinachungulia tu hakuna iliyoingia kwenye vita fully, mpaka sasa ni kikundi cha Hamas pekee ndio kinapambana na Israel Mayahudi na mazayuni ambao toka siku ya kwanza wanapokea misaada ya silaha kwa mameli kutoka US (super power).

Tuliaminishwa Israel ni wazuri sana kwenye vita na siala za kisasa na wataalamu kedede lakini toka siku ya kwanza wanaekwa mjini ni US. kumbuka Hamas mpaka leo wamewashikilia mateka wa Israel na hakuna aliyechomoka
 
Kuna vita ilikuwa ya siku 6 tu, Mataifa ya kiarabu yaliungana kutaka kuipiga Israel, unaambiwa ndani ya siku 6 tu Israel aliwakalisha kila moja alitoka nduki speed 120.
Lakini Gaza wapo zaid ya miez 6, sehem ambayo hata Kigambon nikubwa tena kwa msaada wa Silaha toka USA.

Hapa huwa napata mashaka kuamini taarifa za kipindi Cha giza kabla mitandao yakijamii na internet havijataradadi.
 
Na hapo kumbuka Israel inapigana kwa tahadhari ku target zaidi magaidi ili kupunguza casualities za civilians zisizokwepeka, ni tofauti na nchi hizi zingine ambazo hushambulia zaidi raia wa kawaida wa Israel, lengo lao huwa ni kuua raia wa Israel wengi kadri inavyowezekana.

Hii sio mara ya kwanza Israel kuchangiwa, Kuna vita mwaka 1967 ilidumu kwa siku sita tu, Mataifa ya kiarabu yaliungana kutaka kuipiga Israel, unaambiwa ndani ya siku 6 pekee Israel alitandaza kipigo kila moja alitoka nduki speed 120.

Tukija hali ya sasa:

Iran kama tunavyojua Rais wao alitunguliwa juu kwa juu

Yemen walidiriki kurusha drone moja, kilichofuata Israel akatuma ndege 2 tu kujibu, Bandari ya Yemen ilichakazwa

Lebanon nao wameanza kuipata, sio muda utasikia Free Lebanon

Palestina imechakazwa vibaya mno, Gaza imekuwa mji wa vifusi
YAANI KWAMBA KWA MAKUSUDI UMEAMAUA KABISA KUTUDANGANYA KWAMBA HSISI HATUJUI KAMA VITA VYOTE VYA ISRAEL ANAYEFADHI NA KUPIGANA NI MAREKANI NA WASHIRIKA WKE WA ULAYA. KWAMBA HATUJUI KAMA usa NDIYE ANAYETOA SILAHA ZOTE ZA KIVITA HADO MELI ZAKE ZA KIVITA ZINAKUWA BAHARI YA MEDITERANIA KILA KUNATOKEA VITA VYA MASHARIKI YA KATI. KWAMBA SISI HATUJUI KAMA ISREAL NI JIMBO LA MAREKANI PALE MASHARIKI YA KATI.

KWA HAYA MAHABA UTAKUJA KUFI-RWA NA MUZUNGU.
 
Kuna vita ilikuwa ya siku 6 tu, Mataifa ya kiarabu yaliungana kutaka kuipiga Israel, unaambiwa ndani ya siku 6 tu Israel aliwakalisha kila moja alitoka nduki speed 120.
Kasome vizuri nini kilitokea morocco alishirikiana na israel akatoa siri kabla vita kuanza ,kilichotokea israel na magharibi wakaharibu miundombinu na silaha za hizo nchi tatu tu za kiarabu sio zotr kama mnavyokuza, haya ikawaje hiyo israel ikapigwa na mgambo tu mwaka 2006 hadi wakaenda kuomba ceasefire?
 
Na hapo kumbuka Israel inapigana kwa tahadhari ku target zaidi magaidi ili kupunguza casualities za civilians zisizokwepeka, ni tofauti na nchi hizi zingine ambazo hushambulia zaidi raia wa kawaida wa Israel, lengo lao huwa ni kuua raia wa Israel wengi kadri inavyowezekana.

Hii sio mara ya kwanza Israel kuchangiwa, Kuna vita mwaka 1967 ilidumu kwa siku sita tu, Mataifa ya kiarabu yaliungana kutaka kuipiga Israel, unaambiwa ndani ya siku 6 pekee Israel alitandaza kipigo kila moja alitoka nduki speed 120.

Tukija hali ya sasa:

Iran kama tunavyojua Rais wao alitunguliwa juu kwa juu

Yemen walidiriki kurusha drone moja, kilichofuata Israel akatuma ndege 2 tu kujibu, Bandari ya Yemen ilichakazwa

Lebanon nao wameanza kuipata, sio muda utasikia Free Lebanon

Palestina imechakazwa vibaya mno, Gaza imekuwa mji wa vifusi
Watu 400 milioni dhidi ya milion7

Hao jamaa ndo watao tawala dunia in nex 100 years
 

Attachments

  • D19421CD-D037-497D-AF2C-42A226317035.jpeg
    D19421CD-D037-497D-AF2C-42A226317035.jpeg
    532.5 KB · Views: 2
YAANI KWAMBA KWA MAKUSUDI UMEAMAUA KABISA KUTUDANGANYA KWAMBA HSISI HATUJUI KAMA VITA VYOTE VYA ISRAEL ANAYEFADHI NA KUPIGANA NI MAREKANI NA WASHIRIKA WKE WA ULAYA. KWAMBA HATUJUI KAMA usa NDIYE ANAYETOA SILAHA ZOTE ZA KIVITA HADO MELI ZAKE ZA KIVITA ZINAKUWA BAHARI YA MEDITERANIA KILA KUNATOKEA VITA VYA MASHARIKI YA KATI. KWAMBA SISI HATUJUI KAMA ISREAL NI JIMBO LA MAREKANI PALE MASHARIKI YA KATI.

KWA HAYA MAHABA UTAKUJA KUFI-RWA NA MUZUNGU.
Arab league ina watu wangap
US anatoa 1 billion kila mwaka je arab league hawawezi kutoa hiyo hela
 
Na hapo kumbuka Israel inapigana kwa tahadhari ku target zaidi magaidi ili kupunguza casualities za civilians zisizokwepeka, ni tofauti na nchi hizi zingine ambazo hushambulia zaidi raia wa kawaida wa Israel, lengo lao huwa ni kuua raia wa Israel wengi kadri inavyowezekana.

Hii sio mara ya kwanza Israel kuchangiwa, Kuna vita mwaka 1967 ilidumu kwa siku sita tu, Mataifa ya kiarabu yaliungana kutaka kuipiga Israel, unaambiwa ndani ya siku 6 pekee Israel alitandaza kipigo kila moja alitoka nduki speed 120.

Tukija hali ya sasa:

Iran kama tunavyojua Rais wao alitunguliwa juu kwa juu

Yemen walidiriki kurusha drone moja, kilichofuata Israel akatuma ndege 2 tu kujibu, Bandari ya Yemen ilichakazwa

Lebanon nao wameanza kuipata, sio muda utasikia Free Lebanon

Palestina imechakazwa vibaya mno, Gaza imekuwa mji wa vifusi
Bandari ya yemen inafanya kazi 100% na bado ipo chinj ya houthi ambao hadi leo ndio wana control red sea kuhakikisha hakuna mzigo wa israel unapita ,pamoja na israel na rafiki zake kuunda vikosi kuidhibiti red sea ila hadi leo imeshindikana
Na imepelekea hadi bandari ya israel kufilisika kwa kukosa mizigo
Na hadi sasa tukumbushane tu mateka wameshindwa kuokolews inaenda mwaka sasa, israel ya kwenye movie na hii ya netanyahu vitu viwili tofauti weupe sana
 
Bandari ya yemen inafanya kazi 100% na bado ipo chinj ya houthi ambao hadi leo ndio wana control red sea kuhakikisha hakuna mzigo wa israel unapita ,pamoja na israel na rafiki zake kuunda vikosi kuidhibiti red sea ila hadi leo imeshindikana
Na imepelekea hadi bandari ya israel kufilisika kwa kukosa mizigo
Na hadi sasa tukumbushane tu mateka wameshindwa kuokolews inaenda mwaka sasa, israel ya kwenye movie na hii ya netanyahu vitu viwili tofauti weupe sana
Ila we jamaa ni tahira
Wapalestina hadi sasa ni 37000 wamekufa
na bado unasifia ujinga unataka na huko yemeni watandike mabomu!!
Ugaidi sio mzuri bro
 
Na hapo kumbuka Israel inapigana kwa tahadhari ku target zaidi magaidi ili kupunguza casualities za civilians zisizokwepeka, ni tofauti na nchi hizi zingine ambazo hushambulia zaidi raia wa kawaida wa Israel, lengo lao huwa ni kuua raia wa Israel wengi kadri inavyowezekana.

Hii sio mara ya kwanza Israel kuchangiwa, Kuna vita mwaka 1967 ilidumu kwa siku sita tu, Mataifa ya kiarabu yaliungana kutaka kuipiga Israel, unaambiwa ndani ya siku 6 pekee Israel alitandaza kipigo kila moja alitoka nduki speed 120.

Tukija hali ya sasa:

Iran kama tunavyojua Rais wao alitunguliwa juu kwa juu

Yemen walidiriki kurusha drone moja, kilichofuata Israel akatuma ndege 2 tu kujibu, Bandari ya Yemen ilichakazwa

Lebanon nao wameanza kuipata, sio muda utasikia Free Lebanon

Palestina imechakazwa vibaya mno, Gaza imekuwa mji wa vifusi
inaonekana huji lolote kuhusu vita ya siku 6,kifupi tu hiyo vita haikuwahi kupiganwa ila popaganda zilizoweka na wafirwaji ili waonekane wamba sema njia ya muongo ni fupi sana ona HAMAS wanavyotubainishia hao akina benja walivyo dhaifu
 
Humu jamiiforums siku kumejaa viazi badala ya great thinkers. Ni mahaba kwa kwenda mbele badala uchambuzi na hoja za haki na za kisomi.
 
inaonekana huji lolote kuhusu vita ya siku 6,kifupi tu hiyo vita haikuwahi kupiganwa ila popaganda zilizoweka na wafirwaji ili waonekane wamba sema njia ya muongo ni fupi sana ona HAMAS wanavyotubainishia hao akina benja walivyo dhaifu
ingekua vita ingekua ishaisha
ila shida si nchi na nchi zinapigana ni nchi na kikundi kinachojificha kwa watu.
Kila dk UN wanalia
nchi za kiarabu zinalia
mara dunia inalia unafikiri Zionist hawana mabomu ya kusambaratisha hizo nchi za kiarabu??
 
Kuna vita ilikuwa ya siku 6 tu, Mataifa ya kiarabu yaliungana kutaka kuipiga Israel, unaambiwa ndani ya siku 6 tu Israel aliwakalisha kila moja alitoka nduki speed 120.
Ila mwaka mzima kashindwa kuitoa nduki hamas
Sunday skuli zimewafanya kua vilaza zaidi
 
Ila we jamaa ni tahira
Wapalestina hadi sasa ni 37000 wamekufa
na bado unasifia ujinga unataka na huko yemeni watandike mabomu!!
Ugaidi sio mzuri bro
Kuua raia kila mtu anaweza inategemea una ushetani kiasi gani kichwani kwako, hata hitler aliweza kuchinja hawa waisrael kama kuku ila historia itamkumbuka kila mtu na uovu wake, sasahivi netanyahu hatakiwi na dunia wala wananchi wake mwenyewe
Na huku bado icc inamuwinda,
Waziri mkuu mpya wa uingereza kasema hawezi kuingilia mambo ya icc netanyahu apambane na hali yake ngawa mke wake ni jew
 
Ila we jamaa ni tahira
Wapalestina hadi sasa ni 37000 wamekufa
na bado unasifia ujinga unataka na huko yemeni watandike mabomu!!
Ugaidi sio mzuri bro
hana nguvu hizo ni mweupe sana, hao wanajeshi wake tu hawataki kwenda vitani tena wanaona ujinga mtupu wengi wamekimbia
Kwa misaada anayopewa na magharibi na hadi leo anahangaika na vimgambo vya hezbollah,na houthi hadi wamezuia red sea isipitike , na bandari yake kufilisika hapo maana yake jeshi ni dhaifu sana ,level zake ni hamas tu ambao anapigana nao mwaka mzima wakati hamas hawana hata silaha
 
We unashangaa hili sasa north african countries hizi zenye waarab, pamoja na nchi za kiarabu zenyewe ikiwemo Iran, pamoja na turkey, hawa wote wakiongoza na yule mkubwa wa ushetani yaani urusi watapigana na Israel na watapigwa tena vibaya mnooo uzuri hiki ninachoandika habari kobaaaz zitawafikia either wakiwa dunian au kuzimu maana nawajua maamuma hawa watataka kubishana hapa
Sunday skuli zinawatia ujinga
 
We unashangaa hili sasa north african countries hizi zenye waarab, pamoja na nchi za kiarabu zenyewe ikiwemo Iran, pamoja na turkey, hawa wote wakiongoza na yule mkubwa wa ushetani yaani urusi watapigana na Israel na watapigwa tena vibaya mnooo uzuri hiki ninachoandika habari kobaaaz zitawafikia either wakiwa dunian au kuzimu maana nawajua maamuma hawa watataka kubishana hapa
Sunday skuli zinawa
Mkuu hapa watakuja waliovimbiwa urojo,hawajui hata wanachoongea.
Tar 7 ule mwaka hakukua na mchezo tena.
Kitu ambacho hawa wenzetu na pedo zao wakifkiri wataimba tu Allah akibaru na dunia itasikitikia wao.
Swali,kwanini walienda kufanya ujinga wao kwenye ile concert.
Wamefurahia sana baada ya hapo.
Jeshi hili linalopigana kwasasa sio ni Israel pekee,ni ukoo mzima walirudi kupigana hiyo vita.
Kumbuka hawa wako dunia nzima wanafanya kazi za kijeshi miaka yote wanarithishana.
Tar 10 walirudi wote km vitunguu kwenye ndege.
Tar 15 oct wote walikua tayari kambini.
Tar 20 kwenda mbele walikua wanaondoka kwenda frontline Gaza.
Sasa ukiangalia mzigo walioondoka nao wa silaha.
Walikua wanaenda kutwanga hao alhandulilahi wote.
Ndo kinachotokea sasa.
Wao wanaliendeleza tu ukitia pua wanakula kichwa.
Ushapokea baraka?
 
Mkuu hapa watakuja waliovimbiwa urojo,hawajui hata wanachoongea.
Tar 7 ule mwaka hakukua na mchezo tena.
Kitu ambacho hawa wenzetu na pedo zao wakifkiri wataimba tu Allah akibaru na dunia itasikitikia wao.
Swali,kwanini walienda kufanya ujinga wao kwenye ile concert.
Wamefurahia sana baada ya hapo.
Jeshi hili linalopigana kwasasa sio ni Israel pekee,ni ukoo mzima walirudi kupigana hiyo vita.
Kumbuka hawa wako dunia nzima wanafanya kazi za kijeshi miaka yote wanarithishana.
Tar 10 walirudi wote km vitunguu kwenye ndege.
Tar 15 oct wote walikua tayari kambini.
Tar 20 kwenda mbele walikua wanaondoka kwenda frontline Gaza.
Sasa ukiangalia mzigo walioondoka nao wa silaha.
Walikua wanaenda kutwanga hao alhandulilahi wote.
Ndo kinachotokea sasa.
Wao wanaliendeleza tu ukitia pua wanakula kichwa.
Umeongea nini!?😂😂😂😂😂😂
UMEROPOKA kiasi hueleweki nini unaongea.
 
ingekua vita ingekua ishaisha
ila shida si nchi na nchi zinapigana ni nchi na kikundi kinachojificha kwa watu.
Kila dk UN wanalia
nchi za kiarabu zinalia
mara dunia inalia unafikiri Zionist hawana mabomu ya kusambaratisha hizo nchi za kiarabu??
Madai ya kikundi kujificha nyuma ya watu ni uongo yalishathibitishwa ni uongo.
Pia kuhusu Israel HANA UWEZO wa kuyapiga mataifa ya kiarabu kama unavyodhani.
Acheni stori za vijiwe vya kahawa vya six days war.
 
Back
Top Bottom