π€£Hamasi iishe? Ili useme nini baada ya hapo chief, mawazo yako tu haya ni ugaidi pia
Mnatafutaga kutukanwa tu... subili magaidi wa Geita waje kukujibuNa hapo kumbuka Israel inapigana kwa tahadhari ku target zaidi magaidi ili kupunguza casualities za civilians zisizokwepeka, ni tofauti na nchi hizi zingine ambazo hushambulia zaidi raia wa kawaida wa Israel, lengo lao huwa ni kuua raia wa Israel wengi kadri inavyowezekana.
Hii sio mara ya kwanza Israel kuchangiwa, Kuna vita mwaka 1967 ilidumu kwa siku sita tu, Mataifa ya kiarabu yaliungana kutaka kuipiga Israel, unaambiwa ndani ya siku 6 pekee Israel alitandaza kipigo kila moja alitoka nduki speed 120.
Tukija hali ya sasa:
Iran kama tunavyojua Rais wao alitunguliwa juu kwa juu
Yemen walidiriki kurusha drone moja, kilichofuata Israel akatuma ndege 2 tu kujibu, Bandari ya Yemen ilichakazwa
Lebanon nao wameanza kuipata, sio muda utasikia Free Lebanon
Palestina imechakazwa vibaya mno, Gaza imekuwa mji wa vifusi
Lini Israel alishinda vita? Zaidi kuuwa watoto, wamama na wazee ndicho anachoweza!Kwa nguvu za kijeshi hayo mataifa yatachakazwa vibaya sana, linapokuja suala la vita nchi kwa nchi ndo watatambua Israel ni nani? Ni vita ambayo haitachukua muda mrefu sana.
Kumbuka hakuna taifa linalopigana vita peke yake hata warusi wenye pamoja na ubabe wao wote haipigani vita peke yake.Ulichokiandika hakina hata chembe ya ukweli. Kwa hapo zamani, ningekubaliana na wewe. Ila kwa sasa mambo ni tofauti kabisa.
Hao Mayahudi wasingekuwa wanapewa msaada wa silaha za kijeshi na kaka yake Marekani; muda huu tungekuwa tunaongea mengine.
Tuanze na idadi ya askari walemavu wa ISRAEL.Kosugi ni vizuri kuwa unaleta na idadi ya vifo vya hao wanajeshi wengi wa kizayuni ukiambatanisha na uthibitisho
Basi msiisifu kuwa ina nguvu.Wanaoisaidia/kujumuika nao wanajua wafanyalo.
Haya umeshawekewa uthibitisho, kazi kwakoKosugi ni vizuri kuwa unaleta na idadi ya vifo vya hao wanajeshi wengi wa kizayuni ukiambatanisha na uthibitisho
Tuanze na idadi ya askari walemavu wa ISRAEL.
Na ripoti mpya inaonesha ni askari elfu 70 sio elfu 12 tena.
Sasa jiulize kama askari elfu 70 wamepata ulemavu wengine wa akili je vifo vitakuwa vingapi!?
Hili ni gazeti la ISRAEL ndio limetoa ripoti usije ukaikana ukasema propaganda za waarabu.
Hii ni ripoti ya June 18 na hii ni July usikute idadi ikaongezeka zaidi.
View attachment 3056370View attachment 3056371
Uharo mtupu.Na hapo kumbuka Israel inapigana kwa tahadhari ku target zaidi magaidi ili kupunguza casualities za civilians zisizokwepeka, ni tofauti na nchi hizi zingine ambazo hushambulia zaidi raia wa kawaida wa Israel, lengo lao huwa ni kuua raia wa Israel wengi kadri inavyowezekana.
Hii sio mara ya kwanza Israel kuchangiwa, Kuna vita mwaka 1967 ilidumu kwa siku sita tu, Mataifa ya kiarabu yaliungana kutaka kuipiga Israel, unaambiwa ndani ya siku 6 pekee Israel alitandaza kipigo kila moja alitoka nduki speed 120.
Tukija hali ya sasa:
Iran kama tunavyojua Rais wao alitunguliwa juu kwa juu
Yemen walidiriki kurusha drone moja, kilichofuata Israel akatuma ndege 2 tu kujibu, Bandari ya Yemen ilichakazwa
Lebanon nao wameanza kuipata, sio muda utasikia Free Lebanon
Palestina imechakazwa vibaya mno, Gaza imekuwa mji wa vifusi
Unamaana gani mkuu?Story za vijiwe zinawalemaza vijana bongo zao.
We unashangaa hili sasa north african countries hizi zenye waarab, pamoja na nchi za kiarabu zenyewe ikiwemo Iran, pamoja na turkey, hawa wote wakiongoza na yule mkubwa wa ushetani yaani urusi watapigana na Israel na watapigwa tena vibaya mnooo uzuri hiki ninachoandika habari kobaaaz zitawafikia either wakiwa dunian au kuzimu maana nawajua maamuma hawa watataka kubishana hapaNa hapo kumbuka Israel inapigana kwa tahadhari ku target zaidi magaidi ili kupunguza casualities za civilians zisizokwepeka, ni tofauti na nchi hizi zingine ambazo hushambulia zaidi raia wa kawaida wa Israel, lengo lao huwa ni kuua raia wa Israel wengi kadri inavyowezekana.
Hii sio mara ya kwanza Israel kuchangiwa, Kuna vita mwaka 1967 ilidumu kwa siku sita tu, Mataifa ya kiarabu yaliungana kutaka kuipiga Israel, unaambiwa ndani ya siku 6 pekee Israel alitandaza kipigo kila moja alitoka nduki speed 120.
Tukija hali ya sasa:
Iran kama tunavyojua Rais wao alitunguliwa juu kwa juu
Yemen walidiriki kurusha drone moja, kilichofuata Israel akatuma ndege 2 tu kujibu, Bandari ya Yemen ilichakazwa
Lebanon nao wameanza kuipata, sio muda utasikia Free Lebanon
Palestina imechakazwa vibaya mno, Gaza imekuwa mji wa vifusi
Bado una hizi ndoto zisizo na mashiko!?We unashangaa hili sasa north african countries hizi zenye waarab, pamoja na nchi za kiarabu zenyewe ikiwemo Iran, pamoja na turkey, hawa wote wakiongoza na yule mkubwa wa ushetani yaani urusi watapigana na Israel na watapigwa tena vibaya mnooo uzuri hiki ninachoandika habari kobaaaz zitawafikia either wakiwa dunian au kuzimu maana nawajua maamuma hawa watataka kubishana hapa
Soon Zanzibar na Pemba watataka nao wakajiunge kuisupport PalestinaNa hapo kumbuka Israel inapigana kwa tahadhari ku target zaidi magaidi ili kupunguza casualities za civilians zisizokwepeka, ni tofauti na nchi hizi zingine ambazo hushambulia zaidi raia wa kawaida wa Israel, lengo lao huwa ni kuua raia wa Israel wengi kadri inavyowezekana.
Hii sio mara ya kwanza Israel kuchangiwa, Kuna vita mwaka 1967 ilidumu kwa siku sita tu, Mataifa ya kiarabu yaliungana kutaka kuipiga Israel, unaambiwa ndani ya siku 6 pekee Israel alitandaza kipigo kila moja alitoka nduki speed 120.
Tukija hali ya sasa:
Iran kama tunavyojua Rais wao alitunguliwa juu kwa juu
Yemen walidiriki kurusha drone moja, kilichofuata Israel akatuma ndege 2 tu kujibu, Bandari ya Yemen ilichakazwa
Lebanon nao wameanza kuipata, sio muda utasikia Free Lebanon
Palestina imechakazwa vibaya mno, Gaza imekuwa mji wa vifusi
Gazeti refu la nini, Vita ya siku 6 nchi za kiarabu ziliungana kuipiga Isral lakini wao ndio walitimua mbioUnaonekana umemeza sana stori za vijiweni pia HUNA UNACHOJUA kuhusu mzozo wa mashariki ya kati.
-Tukianzia na six days war ya 1967 ilopiganwa tarehe 5-10 kama sijakosea February.
Hakuna mataifa ya kiarabu yaliyoungana dhidi ya Israel,bali kulikua kuna kujiandaa kwa mataifa ya kiarabu hususan Egypt na Syria.
Egypt ilinunua ndege vita takriban 200 za Kisovieti na Syria ilikua ikijiimarisha kijeshi ili waje kuishambulia Israel kwa kushtukiza na kwa pamoja.Ila isivyo bahati Israel waligundua mipango na kupiga Kambi ya jeshi la anga la Egypt uliokuwepo Sinai na kuteketeza ndege zote 200 kesha na kuiteka Sinai.
Ila Syria ndio ilishambuliwa sana na ndege vita za Israel na kuporwa Gollan heights,Rais wa US wa kipindi kile ndiye aliyeiamuru ISRAEL isitishe mashambulizi ya anga ndio vita ikaisha February 10.Kilichotokea ni mashambulizi ya anga ya Israel ila sio vita kamili kati ya waarabu na Israel.Usisahau 1973 kuna vita ilopiganwa Israel ikapigwa na kuondolewa Sinai na askari wa Egypt,na katika vita ambazo Israel ilipoteza askari wengi kama mateka basi ni hiyo.
-Situation ya sasa iliyoanzia October 7 mwaka jana Israel ilipovamiwa na Hamas US Navy walituma battleship ikiwa na Navy seal wasiopungua 2000 wakiwa na ADS na silaha nyingi za kuisapoti Israel dhidi ya Hamas.
UK na Germany nao walituma msaada wa kijeshi kwa Israel,ndipo mataifa ya kiarabu walipoona mataifa makubwa yanaisaidia Israel dhidi ya kundi dogo lenye wapiganaji elfu 30 nao wakaamua kuiunga mkono Hamas kwa wanavyojua wao.
-Houthi Yemen waliamua kufunga red sea ili meli za mizigo zisiende Israel.
-Hizbollah waliamua kuipiga Israel kaskazini ili kuipunguza kasi isiishambulie sana Hamas,na kweli Israel ilipungua kasi maana Galilee raia wote wamehama na pia askari wengi kufa na kujeruhiwa.
-Iran Netanyahu alikataa kuhusika na kifo cha Rais wao alikataa kata kata,sasa utuambie wewe mkaazi wa Kimara bonyokwa ushahidi wa Israel kumuua rais wa Iran umetoa wapi ilhali Netanyahu amekataa!?
Hakuna mataifa yaloungana kumchangia Israel uwe unafuatilia taarifa sio kuropoka.
-2006 kuna vita baina ya Lebanon na Israel ilitokea na Israel alipigwa na kupokonywa Bint jubeir na sehemu ya mpaka wa bahari.Je unaijua hii vita?
Inajulikana kama operation bint jubeir.
Nimalizie tu na hivi vita vya sasa,hasara iliyopata Israel kwa kupigana na Hamas;
-Vifo vingi vya wanajeshi kiasi kupata uhaba wa wanajeshi na kulazimisha raia kuingia jeshini.
-Askari takriban 12000 kupata ulemavu wa kudumu.
-Raia takriban laki mbili kupata ukimbizi wa ndani hususan waliokua wakikaa kaskazini mwa Israel.
Cha kuongezea kama vita ya Hamas Israel ilitumia takriban silaha zake zote na kutumia wanajeshi laki tatu ili kupigana na wanamgambo elfu thelathini,je Iran yenye kila aina ya silaha ingeamua kuipiga Israel ingekuaje!?
Pia nadhani huijui Iran vizuri.
Kafuatilie vita ya IRAN-IRAQ war ilopiganwa 1980-1988 Iran ikichangiwa na Iraq na USA ila Iran ikashinda vita.
Israel bila ya USA,UK na EU sio taifa.
Hamas wanatumia raia kama ngaoInakuaje Israel nchi yenye nguvu na intelligensia Duniani inashindwa kuwamaliza wanamgambo wa Hamas na kuokoa raia wake ambao wapo kaeneo kadogo tu ka Gazaπ€£
Nchi kibao tu zinapewa misaada ya silahaUlichokiandika hakina hata chembe ya ukweli. Kwa hapo zamani, ningekubaliana na wewe. Ila kwa sasa mambo ni tofauti kabisa.
Hao Mayahudi wasingekuwa wanapewa msaada wa silaha za kijeshi na kaka yake Marekani; muda huu tungekuwa tunaongea mengine.
Sawa anasaidiwa lakini ni kwa kiasi kidogo, hata silaha anazopewa ni kiasi kidogo, Israel inabuni na kununua silaha zake kibao, Kumbuka Israel ina uchumi wa mwaka wa Dola bilioni 500 ambayo ni zaidi ya shilingi trilioni elf 2, hata wakisaidiwa msaada wa dola bilioni 3 bado ni sehemu ndogoHio takwimu yako yote ni fake kupigana vita lini, kama vile Hamasi na Israel anauwa watoto, wanawake na kuvunja majumba, afu cha pili Israel anasaidiwa na USA, UK, Germany, France, Egypt, Jordan, UAE, Morocco, Baharain na Saud Arabia na wewe unasema anapigana vita peke yake π Usisahau mpaa silaha alishiwa kupigana na Hamasi tu, bado hata hajanza vita na Hezbullah na Yemen we unamsifia anapigana na nchi π
Yemen, Hezbullah, hawajaingia vita na Israel bado ile full war. Hezbullah na Israel wanapigana ile piga na mimi nikupige. Yemen alikuwa anapiga port, na meli za Israel na ile drone moja kufika Tela Aviv ndio vita. Tulizana uone kimbunga kinacho kuja kutoka Yemen, hio ndio itakuwa vita imeanza kati ya Yemen na Israel.
Watoto na kina mama wanawekwa kama ngao na Magaidi, unataka uwekewe video ya viongozi wa Hamas wakisema haya ?Lini Israel alishinda vita? Zaidi kuuwa watoto, wamama na wazee ndicho anachoweza!