Gaga
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 4,558
- 1,970
Kuna mtu alikuwa kila siku anamsingizia shetani mwisho mkewe akamuuliza shetani wako ni huyuhuyu aliyemuasi Mungu? akamwambia huyu shetani naona sio huyo ni mwingine kamuasi shetani originalHivi kwanini tunapenda kumsingizia shetani?
Lizzy kama kila kitu kiko sawa including mambo ya sita kwa sita basi inakuwa ni tabia ya mtu, na wa aina hii kuacha huwa hawawezi mpaka makubwa yawapate ndio hutulia tuli.