Inakuaje!

BE asante sana!Kuongea na wenza ili kutambua maîtaji yao ni kitu ambacho jamii yetu ipo nyuma sana!Inabidi sasa tuwe na 'SEBLENI au CHUMBANI PARTY ' kufundisha watu umuhimu wa mawasiliano ndani ya ndoa!Tusiishie kufundishana mambo ya kitandani na jikoni tu wakati masaa 24 yanahitaji zaidi ya hayo kuyamaliza bila kuboana na kuchoshana!
 
Hivyo hivyo ndo itakua mpaka uwe maskini ndo uongelee wizi..uchanganyikiwe ndo uongelee bangi...upate mimba ndo uongelee utoaji!Kazi ipo si kidogo!

Lizzy, ingia ujionee my sis!watu wengi wanawish mengi before ndoa lkn after mambo magumu sana! kunasababu nyingi lakini kwa mwanamke ikitokea kutoka nje ya ndoa mara nyingi kunasababu ya msingi.
 

dahhhh
asnte sana Gaga
lakini hiyo ya motoni mmhh
siiamni tangu nilivyokuwa mdogo..
naamini maaisha ya taabu unayoishi hapa duniani ndio moto wangu..

hiyo ni opinion yangu tu..
kweli sintohitaji lecture zaidi nimesikia
na wengi wameniambia mengi kuhusu hilo ..
lakini at the end of the day Mungu ndo anajua kuhusu hayo yote..
jioni njema..
 
Lizzy, ingia ujionee my sis!watu wengi wanawish mengi before ndoa lkn after mambo magumu sana! kunasababu nyingi lakini kwa mwanamke ikitokea kutoka nje ya ndoa mara nyingi kunasababu ya msingi.
Mpiganaji embu acha kuwatetea wanawake...nawajua wanaotoka ili mradi tu!Mi nabaki kua mshangaaji!
 
Dini tu rafiki inanifanya niamini kuna moto wa milele hakuna lingine, na wewe pia jioni njema wng
 
Mpenzi kizito labda maombi!Hahahaha...othewise ni full ulokole..yani maji..chai..kahawa..juice na soda!Alafu hata maji tunaombea!
 
Sababu ya hiyo quote yangu na huo mfano wa Mungu,nionavyo mimi unapaswa ujumuike na wakosaji na uwaelekeze mema badala ya kuwakana na kusema hufanani nao au inakuwaje hapo rafiki
Tuko pamoja Gaga.
 
Ingekuwa kama kuna kubadilishana mimi ningefurahi sana maana nimegundua huyu wa mwenzangu ndio ananiwezea mimi zaidi kuliko huyu niliyekuwa nafikiri nampenda kumbe na yeye naona simtoshelezi
 
Ni kweli, sio tusubiri kusali,
mpaka kifike kipindi cha kwaresma tu!!!!
Mkuu umeongea jambo la msingi ni muhimu kila saa na kila wakati kumshirikisha Mungu kwa kila jambo na pia kuombeana ili tusije tukaingia majaribuni.
 
Mpiganaji embu acha kuwatetea wanawake...nawajua wanaotoka ili mradi tu!Mi nabaki kua mshangaaji!

Lizzy, siwatetei lakini majority ndio iko hivyo,mimi natamani pia kama ingewezekana kuishi mwenyewe kwani theory ya ndoa ni ngumu na hakuna jibu la moja kwa moja na formula ya kufuata ni ngumu sana zaidi uanvyofikiria!
 
Ingekuwa kama kuna kubadilishana mimi ningefurahi sana maana nimegundua huyu wa mwenzangu ndio ananiwezea mimi zaidi kuliko huyu niliyekuwa nafikiri nampenda kumbe na yeye naona simtoshelezi
If wishes were true on that lol suzie stop dreaming.
 
Ingekuwa kama kuna kubadilishana mimi ningefurahi sana maana nimegundua huyu wa mwenzangu ndio ananiwezea mimi zaidi kuliko huyu niliyekuwa nafikiri nampenda kumbe na yeye naona simtoshelezi

Apo kwenye kanini? vile SUZIE!
 
Lizzy, siwatetei lakini majority ndio iko hivyo,mimi natamani pia kama ingewezekana kuishi mwenyewe kwani theory ya ndoa ni ngumu na hakuna jibu la moja kwa moja na formula ya kufuata ni ngumu sana zaidi uanvyofikiria!

Mmmh!Hao majority hawana sababu wana visingizio tu!
 
Lizzy, could wish watu wote wawe kama wewe before and after marriage! kama itatokea umeolewa jamaa atapata mke mwema sana!

Hehehe nisije tu nikabadilika ehh?Mungu anisaidie nikishawishika iwe na tunaefanana ili tusisumbuane!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…