Inakuwaje Arena ijengwe Kawe wakati Serikali ya awamu ya 5 ilitoa eneo kubwa lililopo Kwembe/luguruni kwaajili ya kujenga Arena?

Inakuwaje Arena ijengwe Kawe wakati Serikali ya awamu ya 5 ilitoa eneo kubwa lililopo Kwembe/luguruni kwaajili ya kujenga Arena?

zandrano

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2017
Posts
7,893
Reaction score
8,816
Eneo kubwa linalo milikiwa na Serikali lililopo Kwembe/luguruni lilitolewa au lilitengwa na Serikali ya awamu ya 5 kwajili ya ujenzi wa Arena baada ya Mbunge wa eneo hilo kuliomba.
sasa leo hii tunasikia Arena itajengwa Kawe?!! kulikoni?
mboni wilaya ya Ubungo inatengwa kupata miradi ya maendeleo yenye kuchochea uchumi?!!
Wilaya ya Ubungo haswa maeneo ya Luguruni/Kibamba/Kiluvya haya maendeleo ya kiuchumi licha ya kuwa na maeneo makubwa ya wazi, tunahitaji watu wa mipango Miji kuishauri Serikali vyema.
 
Eneo kubwa linalo milikiwa na Serikali lililopo Kwembe/luguruni lilitolewa au lilitengwa na Serikali ya awamu ya 5 kwajili ya ujenzi wa Arena baada ya Mbunge wa eneo hilo kuliomba.
sasa leo hii tunasikia Arena itajengwa Kawe?!! kulikoni?
mboni wilaya ya Ubungo inatengwa kupata miradi ya maendeleo yenye kuchochea uchumi?!!
Wilaya ya Ubungo haswa maeneo ya Luguruni/Kibamba/Kiluvya haya maendeleo ya kiuchumi licha ya kuwa na maeneo makubwa ya wazi, tunahitaji watu wa mipango Miji kuishauri Serikali vyema.
Kule ni shamba mzee pale kawe kuna view ya bahari
 
Back
Top Bottom