Inakuwaje baadhi ya wanawake wapo tayari kumwacha mwanaume anayempenda kisa fedha baadaye anarudi na kutaka muwe wapenzi kisirisiri?

Inakuwaje baadhi ya wanawake wapo tayari kumwacha mwanaume anayempenda kisa fedha baadaye anarudi na kutaka muwe wapenzi kisirisiri?

Matatizo mengi ya wanaume yanasababishwa na kuwaonea huruma wanawake.
usimwonee huruma mwanamke hata siku moja
torry lanes.png
 
Sema huna nyota tu mkuu/hela tu Mkuu!! hizo zilikuwa deal tangu zama na zitauzwa sana tu Milele!...Mariamu Magdalena aliuza sana.....lkn alikuwa wa kwanza kujua Yesu kafufuka.........unamjua Bibi yake Yesu wewe??

Usiwaone ivo ukawadharau...hao na watoza Ushuru...watakuwa wa kwanza kuchechemea wokovu! kaisome Biblia vizuri ulete mrejesho
Acha kutumia mifano butu
Marry Magdalene ni hooker mstaafu wakati wewe kwa sasa ni hooker in charge hamuwezi kuwa sasa hadi utakapoacha kuuza nyapu.
 
Sio tu wanaume wanapita hiyo shida hata wanawake pia. Unaweza amua kumpenda na kumvumilia mwanaume mwenye Hana pesa lakini siku akipata ndo anawajua wadada wa mjini wanaojua kutumia pesa.

Ukihoji unaonekana unamsumbua fedheha na dharau juu, anakuonyesha wazi kwamba Yuko kwenye another relationship na hajali unaumia Wala Nini. We kaka Mungu aendelee kukuonyesha upande wa pili wa Dunia,,,mtu unaona ujiachie tu usije kufa Bure.

Sasa hapo ni binadam wote tu mkuu we usiseme wanawake tu wakati tupo wanawake ambao tulitulia na tukajeruhiwa vikali na wanaume
 
Loool!! jitu Baba zima ninalipikia, lina sonsomera matonge! nalibeba, nalilaza kitandani kama toto dogo, tena linanililia kifuani, bila kupigwa, ninalizalia photocopy vidume visivyo idadi!...eti linikimbie?? liende likazae huko tena??

Acha utani bana!! sie humu tuko serious!...yaani kabisa liondoke na suruali linachanganya vitako pasi.eti naondoka?Mawee Mkama wangeeee!! ofwire nyambara...... Kwanza ...

Hayo matoto yake yenye macho kodo alokojolea hapa, yaani tena bure bure tu!! atamuachia nani??thubutuu? akae atulize akili za kinyeo hapa, vinginevyo Ama zake! Ama zangu! ataitwa alikuwepoga!! favoritismyname!!

ataona Dunia inazunguka kinyume nyume!....athubutu aone!! hata kutania tu! haya madume tuna yazaa bure tu haya tulipi chochote kamwe hayana ujanja ...wengi humu ni ujanja nyuma ya key Board tu!!

Sasa hawa me! wenye kelele hawa! uwakute wakiwa kwa wake zao ni utacheka mpaka unye! yaani ni kimyaaaa!! utadhania siyo wao! kama mie muongo Mtizame DR VAMA akiwa na mke wake!!

Ukitaka Boss wako akupende wewe jitahidi tengeneza urafiki wa heshima na mkewe! ! ke akimtamkia tu mumewe huyu kijana hodari sana nampenda sana!! Basi Mwana niamini mimi kuwa umeula!

Ndo uone ke walivyo na nguvu!! Hayati J.K. Nyerere alipotaka kwenda soma Mwisenge! cha kwanza alichofanya alimwambia Mama yake mzazi kwanza, ili akamuombee Rhuksa kwa Mzee Burito Nyerere!!

Kilicho tokea kikawa kikubwa sana Africa na Duniani kwa ujumla wote humu mnajua. Nyerere ni Iconic figure ya Dunia, chanzo ni Mwanamke wa chief! Mama Mgaya!! Mungu amlaze mahali pema huyo Bibi !!

bila huyo Bibi kumuombea Rhuksa Mchonga kwenda kusoma S/Msingi Mwisenge!! leo hii nisingepata Elimu ya karibu na Bure! Nisinge ishi Biafra! nisingekuwa nyuma ya key Board!

huenda wakoloni wangekuwa bado wapo humu tunakula nao vihepe!...achana na kitu Ke!...akina Mama wenzangu Hongereeeni saaana!! Nyie/sie ndo tumeishika Dunia Pabaya tujitambue! tuwapeleke hawa kenge hawa!

Natoa wito kwa wa-Mama/wadada wooote humu JF! na woote kuwa usikubali kutumiwa km Ganda la muwa!! serikali ipo pamoja na sisi! Me hawana jeuri!! ya kututumia sie bali ni ujanja ujanja mwingi tu nyuma ya key Board!!

Lakini kiundani ni walaini mnooo!!! .....watumwa wetu wa hiari tu!! kwanza wanatutafuta tafuta kwa mbinde kama zoote!! tunawabariki wanapata hela/utajiri!! tukinuna ndani hawapatiga hela hao!! hawasemagi tu!

lkn kiundani wanjua hilooo! ..kwanza me ambae hajaoa utamuona tu mchafuuu! kikwapa!...hana mbususu pia kupata nikwa mbinde sana! lkn aliyeoa msafiii tena anapaka mafuta/perfume! Mbususu km zote zinamfuata!!
nina wasiwasi na jinsia yako kama siyo basi una shida
 
Sio tu wanaume wanapita hiyo shida hata wanawake pia. Unaweza amua kumpenda na kumvumilia mwanaume mwenye Hana pesa lakini siku akipata ndo anawajua wadada wa mjini wanaojua kutumia pesa.

Ukihoji unaonekana unamsumbua fedheha na dharau juu, anakuonyesha wazi kwamba Yuko kwenye another relationship na hajali unaumia Wala Nini. We kaka Mungu aendelee kukuonyesha upande wa pili wa Dunia,,,mtu unaona ujiachie tu usije kufa Bure.

Sasa hapo ni binadam wote tu mkuu we usiseme wanawake tu wakati tupo wanawake ambao tulitulia na tukajeruhiwa vikali na wanaume
Mbona katumia neno baadhi.
 
Kila upande unapigania uko sawa kuzid upande fulani.
Nasubiri Uzi utakao kuja kutugombanisha kitaifa 😂
 
Mapenzi hayana formular, unaweza sema ukiwa na Hela ndio atatulia haya Kuna Uzi humu jamaa anamhudumia mwanamke kumbe mwanamke anatoka na boda boda na anamhonga na boda boda kamkula mpaka tigo ambayo mpenzi wake hajui, utasema Cha msingi upendo hamna atakayekupenda ashinde na njaa. Cha msingi jipende mwenyewe kwanza, ukijipenda wewe upendo utaobakia ndio upende na wengine
 
Wanawake wa hivyo hawafai hata kidogo
Kwani mama zetu au wazee wetu mbona walivumilia?

Wewe sema wanawake wa sasa kuvumilia mwanaume ambaye hana ela ni kazi tu
Sio kuvumilia mwanaume ambaye ana hela ni kazi ivo umesema wanawake wote
 
Acha kudanganya wenzako waje wanyooshwe bure 🤣🤣💰
Weweee hakuna wa kumnyoosha mtu anae kupikia ...sasa sikia ukiona ametulia mbali na kumnyanyapaa ujue zako zina hesabika tu! mlishaambiwa ''mkae nao kwa akili''

Mungu mwenyewe na jeuri yake yooote aliwapa hilo onyo!! na wewhapa umekumbushwa bure sasa kaa nae huyo ke kwa kutumia makalio uone moto........hatutakuona humu tena!
 
Acha kutumia mifano butu
Marry Magdalene ni hooker mstaafu wakati wewe kwa sasa ni hooker in charge hamuwezi kuwa sasa hadi utakapoacha kuuza nyapu.
Nyapu tutauza sana! sababu wenzako wanajua kuzitumia uzuri......tushindane uone nani zaidi!! kama utafua dafu!! wewe si una kwa Mpalange bana unalia lia nini??

tena wewe ni tajiri unaweza tumia kote kote ukala maisha!! lkn ke ana moja tu! bado unatuonea wivu njoo tukuunge bana! mafuta ni bure! make unatuonea wivu.......then huna hela utalia sana!!

kwanza hata Biblia huijui unaruka ruka tu!
 
nina wasiwasi na jinsia yako kama siyo basi una shida
Kwa uelewa wako unadhania kuna jinsia ngapi Duniani humu?? by de way uijue yangu ili iweje!! ......mie nimetangaza jinsia yangu hapo? hili swali umelitoa wapi kijana.
 
Back
Top Bottom