Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chadema zaidi ya 92% wenye akili timamu hatuitaji mabadiliko ya mwenyekiti.Kama huamini weka poll tupige kura hapa.Mawazo kama haya ndo yanasababisha watu kuona kwamba hamna utofauti Kati ya CCM na upinzani. Una uhakika gani kwamba ni CDM wote hawataki mabadiliko ya mwenyekiti?
Mawazo kama haya ndo yanasababisha watu kuona kwamba hamna utofauti Kati ya CCM na upinzani. Una uhakika gani kwamba ni CDM wote hawataki mabadiliko ya mwenyekiti?
Wapo wengi tu na hakuna siku Mbowe kalazimisha kushinda bali huwashinda anaoshindana nao. Kama kura zinapigwa na yeye anashinda shida iko wapi?Una uhakika gani kwamba ni CDM wote hawataki mabadiliko ya mwenyekiti?
Ni jambo baya, na ni utamaduni mbovu kiongozi mmoja kukaa madarakani muda mrefu...ndo mambo ya kimobutu, kimugabe, etc.Hili jambo huwa silielewi kabisa. Kweli Mbowe kama binadamu ana madhaifu yake, lakini inakuwaje ni CCM ndiyo wanataka kuweka ukomo wa uenyekiti wa Mbowe CHADEMA?
Yaani ni kama Wamarekani waseme ni kwa nini wajerumani wanaendelea kuchagaua Angela Merkel kuwa Kansela wao. CCM kuhusu Mwenyekiti wa Taifa hakuna mahali kwenye katiba yao pamewekwa ukomo wa muda, bali wanabadilishana kwa kutegemea "Tamaduni" ya chama hicho na wala si kwa uchaguzi kwa kuwa kwa mujibu wa Katiba ya chama hicho hakuna kugombea nafasi ya mwenyekiti Taifa.
Sasa chama ambacho huwa hakifanyi kabisa uchaguzi wa Mwenyekiti Taifa, kinakuwaje na nguvu ya kimaadili kuwaambia CHADEMA wabadilishe Mwenyekiti wao Taifa? Kwani kwenye Katiba ya CHADEMA kuna kipengele kinakataza mtu kuchaguliwa kuwa mwenyekiti wa CHADEMA Taifa zaidi ya mara moja?
Kweli mkuu hanunuliki mbowe ,wanahaha ccm hali mbayaMbowe ni shujaa ! Amewabana ccm hawapumui ! CCM inahenya vibaya sana !
Mwenyekiti bora ktk vyama Siasa Tanzania .Mbowe ni shujaa ! Amewabana ccm hawapumui ! CCM inahenya vibaya sana !
heeh kumbe kuna watu waligombea uenyekiti chadema dhidi ya mbowe??? haya ni maajabu, nataman uanzishe post alafu ututajie hao waliogombea uenyekiti na mboweWapo wengi tu na hakuna siku Mbowe kalazimisha kushinda bali huwashinda anaoshindana nao. Kama kura zinapigwa na yeye anashinda shida iko wapi?
Ina maana katika wanachama woooote wa CDM hakuna mwingine asiyehongeka zaidi ya Mbowe? Kama ni hivyo basi hamna chama hapo. Siku mkipewa madaraka mtapata wapi mawaziri na viongozi wasiohongeka?Mtu yeyote ambaye ahongeki ni mtihani mzito kwa mhongaji.