Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Inabidi TRA wapige marufuku watu kunywa chibukuNapendekeza Chadema irekebishe katiba yake ili kumpa mwenyekiti Mbowe fursa ya kudumu katika nafasi yake.
Kiukweli Mbowe ameitendea mengi Chadema ambayo siyo rahisi kumpata mtu wa kuyaendeleza endapo atastaafu.
Katiba ya Chadema siyo msahafu wala Biblia inaweza kurekebishwa kukidhi mahitaji ya wakati.
Wanachama wanataka maendeleo na kama wanayapata " kwa uhakika " kupitia kwa Mbowe kwanini asiongezewe muda?!!
Siasa ni sayansi.
Maendeleo hayana vyama!
Bwa shee usiniangushe, hii hoja yako ni dhaifu mno.Napendekeza Chadema irekebishe katiba yake ili kumpa mwenyekiti Mbowe fursa ya kudumu katika nafasi yake.
Kiukweli Mbowe ameitendea mengi Chadema ambayo siyo rahisi kumpata mtu wa kuyaendeleza endapo atastaafu.
Katiba ya Chadema siyo msahafu wala Biblia inaweza kurekebishwa kukidhi mahitaji ya wakati.
Wanachama wanataka maendeleo na kama wanayapata " kwa uhakika " kupitia kwa Mbowe kwanini asiongezewe muda?!!
Siasa ni sayansi.
Maendeleo hayana vyama!
Haya Joyce Mukya mama yetu.Mwendazake pamoja na majeshi yote kashindwa wewe utaweza kumuondoa kwa thread ya JF.
Subiri wamelize kufuturu!Huwezi ukasimama mbele ya hadhara na kudai kuwa eti niliwekeza pesa zangu ili kuimalisha chama na kukijenga hivyo niwe mwenyekiti wa maisha. Hapana huu sio uungwana wa kisiasa.
Leo hii watanzania wengi hawana imani na wewe sababu walishatambua kuwa wewe unatumia Chadema kupata manufaa kiuchumi. Kwa hivyo ni wazi kuwa haufai kabisa. Pisha kuwa kiongozi.
Ha ha haaaa. Haisaidii tena sasa hivi. Kikubwa muombee maisha marefu tuHuwezi ukasimama mbele ya hadhara na kudai kuwa eti niliwekeza pesa zangu ili kuimalisha chama na kukijenga hivyo niwe mwenyekiti wa maisha. Hapana huu sio uungwana wa kisiasa.
Leo hii watanzania wengi hawana imani na wewe sababu walishatambua kuwa wewe unatumia Chadema kupata manufaa kiuchumi. Kwa hivyo ni wazi kuwa haufai kabisa. Pisha kuwa kiongozi.
Sawa mkuu, Mbowe hatufai.Subiri wamelize kufuturu!
Ili Chadema yetu ife kifo kirefu?Ha ha haaaa. Haisaidii tena sasa hivi. Kikubwa muombee maisha marefu tu
MATAGA mnataka kuweka mtu wenu kwenye nafasi ya mwenyekiti Cdm, kama mlivyofanya CUF, baada ya kushindwa kumnunua Mh. Mbowe🙄Huwezi ukasimama mbele ya hadhara na kudai kuwa eti niliwekeza pesa zangu ili kuimalisha chama na kukijenga hivyo niwe mwenyekiti wa maisha. Hapana huu sio uungwana wa kisiasa.
Leo hii watanzania wengi hawana imani na wewe sababu walishatambua kuwa wewe unatumia Chadema kupata manufaa kiuchumi. Kwa hivyo ni wazi kuwa haufai kabisa. Pisha kuwa kiongozi.
Mimba ya mwendazake imekuachia mbunge mmoja.Mwendazake pamoja na majeshi yote kashindwa wewe utaweza kumuondoa kwa thread ya JF.
Unajitambua?MATAGA mnataka kuweka mtu wenu kwenye nafasi ya mwenyekiti Cdm, kama mlivyofanya CUF, baada ya kushindwa kumnunua Mh. Mbowe🙄