kigogo warioba
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 6,048
- 9,398
poa poa.. !Tuko pamoja mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
poa poa.. !Tuko pamoja mkuu.
Ile cdm ni kampuni ya mtu binafsi kwahiyo kama sio sehemu ya familia au mkwe huwezi kupata uenyekiti. Na ukilazimisha sasa ndio wanakuvalia uninjaNajiuliza tu maana kuutamani uenyekiti pale chadema imekuwa kama jinai na anayetamani lazima akimbie chama. No FEMA chadema wakaiga utaratibu mzuri kutoka CCM was kubadilishana vijiti vya uongozi kwa amani na upendo. Ni hayo tu, ahsante!
CCM ni washakunaku na wanawashwa washwa sana.Hiyo ndio kazi waliyobakia kuifanya maana wameharibu nchi sasa wanataka kuharibu na watanzania wote
Wewe hufuatilii ya wanawake wenzako?!Jali maisha yake, kazi kufatilia wanaume wenzako
Haaaaaahaa ukijibiwa unitag mkuu.Naomba kufahamishwa ni lini ma ccm yaliwahi kufanya uchaguzi wa mwenyèkiti wao kitaifa ?
Na wagombea walikuwa nan na nani ?
Hawajawahi kujibu. Na wale waliojitwisha zigo la kukitetea chama hicho kwa mwavuli wa kujifanya hawana upande, nao pia utasikia CHADEMA isijifananishe na CCM kwa kuwa chenyewe kinapaswa kuwa tofauti. Kikiwa tofauti kinalaumiwa kwa kuwa tofauti.Haaaaaahaa ukijibiwa unitag mkuu.
Shobo tuWewe hufuatilii ya wanawake wenzako?!
Hahaaaa mburaaa!Shobo tu
CCM ina utaratibu wa miaka kumi kwa mwenyekiti kuongoza, kwa kufanya hivyo inakuwa inaliishi neno mapinduzi. Kwa kufanya hivyo chama kinakuwa kinaiishi demokrasia.Na ndiyo maana kila wakati nashangaa ni kwa nini kila wakati CCM inapoelekea kushindwa huwa inatengeneza mazingira ya kuendelea kuongoza (kutawala).
Swadaktaaa!!!!! umeongea ukweli mnoo. Hiki ndicho kinachofanyika ili kuficha mgogoro unaondelea ndani ya Chadema. wanaotaka mbowe aondoke wapo ndani ya Chadema tena wengine wapo kwenye Kamati kuu.Bavicha mko kwa ajili ya Mbowe na siyo kwa ajili ya chama cha chadema.
Mko tayari chadema ife kabisa ila mbowe abaki salama.!!
Hapao ndipo usomi wenu unakuwa wa hovyo na wa kutia mashaka.
Pauline Gekul, Mwita waitara , Katambi, Zito Kabwe , Kitila Mkumbo ,Chacha Wangwe wote wamefukuzwa Chadema na kupata matatizo kwa kutaka Mbowe aondoke madarakani walikuwa ni ccm?
Ni ccm yupi anayetaka mbowe aondoke madarakani?
Bavichaa mmebuni mbinu ya kumlinda Mbowe kwa kujificha kwenye kivuli cha ccm??