SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Wanawashwa washwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
That is why i love JF, yule msukuma Ngabu alidhani kaanzisha idea mpya humu.Jinga kabisa.Lengo la CCM na serikali ni kuona Chadema ikipata mwenyekiti dhaifu dizaini ya kina Lipumba, Cheyo, Mrema na mama Mgwhira ili wapate chance ya kukisambaratisha.
Mbowe ana msimamo, ni mpinzani halisi, kimsimamo hana tofauti na Seif. Ana hekima, ana busara hakurupuki anajua nini chama chake na wafuasi wake wanataka, hana jaziba wala visasi kama mwenyekiti wa upande wa pili. Kuongezea hapo Mbowe hana njaa za kijinga ana biashara zake, hanunuliki. Wamejaribu kuharibu mali zake wakafikiri atalegeza msimamo, TRA wamembambikia kodi kalipa, NHC wamebomoa Bilicanas wakafikiri ndiyo biashara yake pekee.
Mbowe sio Mrema wa kudanganywa kwa cheo mbuzi, kwa Mbowe CCM watakesha sana na naomba wajumbe wa mkutano mkuu wa Chadema uchaguzi utakapofika wamchague tena kwa kura zaidi ya alizopata tuwashangaze mahasimu wake.
Ni wajinga sana halafu wanasahau mapema mno! Yani mijitu inatokwa mipovu kabisa humu ya ccm eti inalilia mabadiliko chadema!Mijinga sana hii mijitu!Hii ni mbinu ya kutaka mbowe asiwepo kwenye siasa, wanaamini akiachia uwenyekiti basi atapotea kisiasa, nia yao ni kuiuwa chadema kwa hio asikuambie mtu wanaosema aondoke sio watu wema, iweje mtu anaekutakia mabaya akushauri jema?
mkuu.. Umenielewa au mimi ndio sijakuelewa? Ila nadhani umenielewa sio?Ni wajinga sana halafu wanasahau mapema mno! Yani mijitu inatokwa mipovu kabisa humu ya ccm eti inalilia mabadiliko chadema!Mijinga sana hii mijitu!
Na mimi nakuuliza swali, kwa kufuata mazingira ya siasa yalivyo hapa nchini ni nani anafaa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa badala ya Mbowe?Kafanya mengi mazuri sana tu na amekitoa chama mbali, lakini kwa ustawi wa chama, anaweza kubaki kuwa mshauri wakajaribu mtu mwenye mbinu mpya.
Ndiyo maana Mbowe huwa anasema kwamba CHADEMA ni mpango wa Mungu. Hivi wewe uliwahi kudhani iko siku utaandika maneno kama haya JF?Anazungumziwa Mbowe kwa sababu ni kiongozi wa chama ambacho muda wowote kinaweza kuwa mbadala wa CCM.
Na mimi nakuuliza swali, kwa kufuata mazingira ya siasa yalivyo hapa nchini ni nani anafaa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa badala ya Mbowe?
Tuko pamoja mkuu.mkuu.. Umenielewa au mimi ndio sijakuelewa? Ila nadhani umenielewa sio?
Ndio maana msisitizo wangu wa maadili mema ndani ya CDM unapokuwa muhimu zaidi.Ndiyo maana Mbowe huwa anasema kwamba CHADEMA ni mpango wa Mungu. Hivi wewe uliwahi kudhani iko siku utaandika maneno kama haya JF?
Basi tusubiri wanaolipwa kwa kufanya kazi ya kutafuta mbadala wa Mbowe wafanye kazi yao. Kila mtu anataka na kupenda kuwe na upinzani Imara!!Unapoanza kunipa majukumu ambayo kuna watu wanalipwa na kuendesha maisha kwa hizo kazi sio sawa.
Na ndiyo maana kila wakati nashangaa ni kwa nini kila wakati CCM inapoelekea kushindwa huwa inatengeneza mazingira ya kuendelea kuongoza (kutawala)..Haiwezekani CDM ikapewa nchi halafu mwenyekiti wake kila anapotakiwa kuachia ngazi anatengeneza mazingira ya yeye kuendelea kuongoza chama.