Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You are mentally sick!!!...sofa za Sultan hachaguliwi ndo nn?Sofa za Sultan hachaguliwi
Sultan ni Wa kudumu
Sultan ni Wa maisha
Sultan ndiye alfa na omega
Sultan ni Sisters
Sultan ndiyo mwamzi Wa mwisho
Je M/kiti Wa Chadema ni Sultan???
You are mentally sick!!!...sofa za Sultan hachaguliwi ndo nn?
Its completely out of sense!!!Your english sucks!!!Sifa za Sultan and not Sofa, do you really know smartphone how jumps sometimes? If you don't, then you're mad
Sofa za Sultan hachaguliwi
Sultan ni Wa kudumu
Sultan ni Wa maisha
Sultan ndiye alfa na omega
Sultan ni Sisters
Sultan ndiyo mwamzi Wa mwisho
Je M/kiti Wa Chadema ni Sultan???
Unaidhalilisha serikali kuwa inasajili vyama Vya watu binafsi.Hapana sio sultan ni mkwe wa mmiliki wa chama.
Its completely out of sense!!!Your english sucks!!!
Nyerere alikuwa mwenyekiti wa Tanu na CCM kwa miaka mingapi? Nani alimwita sultani? Mrema na Mbatia na wenzao wamekuwa wenye viti muda gani? Zitto je? Tuwe tunajiuliza maswali na kufikiri kabla hatujaanzisha nyuzi. Makusudically akili umeiacha chooni.
Hahaha....you guy stop advertising your foolishness!!!!Your "english", can a human being own English? , Nonsense.
You simply own senseless english termsYour "english", can a human being own English? , Nonsense.
Sofa za Sultan hachaguliwi
Sultan ni Wa kudumu
Sultan ni Wa maisha
Sultan ndiye alfa na omega
Sultan ni Sisters
Sultan ndiyo mwamzi Wa mwisho
Je M/kiti Wa Chadema ni Sultan???
[/QUOTE
]Ni bora kuwa na M/kitu sultani kuliko kuwa na M/kitu kichaa anayehimiza watu wanywe gongo na kuvuta bangi!
Mmh anachaguliwaje wakati anabakigi mwenyeweSultan huwa hachaguliwi ila Mwenyekiti wa CHADEMA huchaguliwa.
Lini alibakia Peke yake kwenye uchaguzi?Mmh anachaguliwaje wakati anabakigi mwenyewe
Hapo chadema kuna mwenye ubavu wa kugombea uenyekiti na mboye?Lini alibakia Peke yake kwenye uchaguzi?
Your "english", can a human being own English? , Nonsense.
Dar es Salaam. Freeman Mbowe amechaguliwa tena kuwa Mwenyekiti wa Chadema katika Mkutano Mkuu wa chama hicho uliofanyika jana. Katika uchaguzi huo, Mbowe alipata kura 789 sawa na asilimia 97.3 na kumshinda mpinzani wake ambaye hakuwa na nguvu kubwa, Gambaranyera Mongateo aliyeambulia kura 20 sawa na asilimia 2.5 Hiki ni kipindi cha tatu kwa Mbowe kupewa ridhaa ya kuongoza chama hicho kikuu cha upinzani nchini.Hapo chadema kuna mwenye ubavu wa kugombea uenyekiti na mboye?
Dar es Salaam. Freeman Mbowe amechaguliwa tena kuwa Mwenyekiti wa Chadema katika Mkutano Mkuu wa chama hicho uliofanyika jana. Katika uchaguzi huo, Mbowe alipata kura 789 sawa na asilimia 97.3 na kumshinda mpinzani wake ambaye hakuwa na nguvu kubwa, Gambaranyera Mongateo aliyeambulia kura 20 sawa na asilimia 2.5 Hiki ni kipindi cha tatu kwa Mbowe kupewa ridhaa ya kuongoza chama hicho kikuu cha upinzani nchini.
Hii ni mwaka 2014.
Mpumbavu sana wewe kamongo!! Juha na Zwazwa!! Sifa kuu ya lugha ni mali ya binadamu sasa hilo swali lako unaonesha ni wazi una akili mbovu kama za jiwe
Ha ha ha ha ha ha haDar es Salaam. Freeman Mbowe amechaguliwa tena kuwa Mwenyekiti wa Chadema katika Mkutano Mkuu wa chama hicho uliofanyika jana. Katika uchaguzi huo, Mbowe alipata kura 789 sawa na asilimia 97.3 na kumshinda mpinzani wake ambaye hakuwa na nguvu kubwa, Gambaranyera Mongateo aliyeambulia kura 20 sawa na asilimia 2.5 Hiki ni kipindi cha tatu kwa Mbowe kupewa ridhaa ya kuongoza chama hicho kikuu cha upinzani nchini.
Hii ni mwaka 2014.