Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Juu kukiwa hakiko Vizuri maji yatarudi kama ukungu au umandeNi hivyo mkuu, ujinga mtu kuangalia juu kutaka mvua bila kujua mvua inaanzia chini, then juu kisha chini na kuleta neema.
Nina maana wachini huwapeleka wachache juu kisha hao walio juu kutimiza watakayo wachini, nani mkuu kiuhakisia?
Mwanachadema MBOWE anawasaliti wenzake kwa kutia kibindoni yale mabilioni ya ushenga....Dr.Slaa akajiona mjinga na kukimbilia ulaya.... Lipumba Rwandaaa[emoji1787][emoji1787]...CCM Haina tatizo... Tatizo ni wana-CCM (Wanachama)... Chadema pia mafisadi wapo... Chagua mtu... usichague chama
Unajicheka kwa ujinga wako ?!!!Imagine hata propaganda tu wamefeli mnoo [emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Dementia and Alzheimer's are really....Waziri mkuu mstaafu,Cleopa Msuya
View attachment 2743454
Kwa ufupi, tunaongozwa na ndondocha wasiojitambua mfamo wa yule Malenga wa CDM pale Mwanza- "mazombi wanapiga makofi kama timu ya ..."Kuna Mambo ukiangalia utagundua Chadema ni werevu zaidi ya CCM.
Masikitiko ni kwamba CCM ni chama kikongwe kina wataalamu wa kila aina lakini mipango yao ni ya hovyo sana.
Je wataalamu na wanazuoni hawataki kukiambia ukweli hiki chama. Au wenye chama hawataki kusikiliza ushauri wa wataalamu.
Mfano
.
1. Unawakamata watu kwa kosa la Uchochezi
Baadae unageuza uhaini afu unawaachia kwa dhamana. Crazy.
2. Unamwambia Mwambukusi asitoke nje ya Mbeya bila kibali anakaidi agizo na anaendelea kudunda mtaani kwa sababu maagizo yapo kinyume cha sheria Crazy.
3. Police anamzuia Lissu kufanya Mkutano Ngorongoro. Lissu anapokelewa kwa nderemo na vifijo kwa sababu zuio lipo kinyume na utaratibu. Huyu aliaandika anajisikiaje .Crazy.
4. Ni wataalamu gani wa serikali walisaini.ule mkataba IGA na DPW. maana ni ujinga mtupu umejaa mule. Crazy
Kiufupi mambo ni mengi sana yanayoonesha Chadema pamoja na udogo na uchache wao wana hoja nzito kuzidi genge looote la CCM kama alivyosema waziri mkuu mstaafu Msuya
Mtoto wa kambo huwa smartKuna Mambo ukiangalia utagundua Chadema ni werevu zaidi ya CCM.
Masikitiko ni kwamba CCM ni chama kikongwe kina wataalamu wa kila aina lakini mipango yao ni ya hovyo sana.
Je wataalamu na wanazuoni hawataki kukiambia ukweli hiki chama. Au wenye chama hawataki kusikiliza ushauri wa wataalamu.
Mfano
.
1. Unawakamata watu kwa kosa la Uchochezi
Baadae unageuza uhaini afu unawaachia kwa dhamana. Crazy.
2. Unamwambia Mwambukusi asitoke nje ya Mbeya bila kibali anakaidi agizo na anaendelea kudunda mtaani kwa sababu maagizo yapo kinyume cha sheria Crazy.
3. Police anamzuia Lissu kufanya Mkutano Ngorongoro. Lissu anapokelewa kwa nderemo na vifijo kwa sababu zuio lipo kinyume na utaratibu. Huyu aliaandika anajisikiaje .Crazy.
4. Ni wataalamu gani wa serikali walisaini.ule mkataba IGA na DPW. maana ni ujinga mtupu umejaa mule. Crazy
Kiufupi mambo ni mengi sana yanayoonesha Chadema pamoja na udogo na uchache wao wana hoja nzito kuzidi genge looote la CCM kama alivyosema waziri mkuu mstaafu Msuya
AseeDementia and Alzheimer's are really....
mimi nilishasema... Uzalendo wangu ntautimizia huku mtaani... Ntawanunulia wenye kiu maji na vinywaji... Wenye njaa nawanunulia chakula... Umeme natengeneza source yangu mwenyewe... Maji nachimba visima... Kuliko kuwa na biashara unalipa TRA na kodi zote... Alafu wanazipiga walio juu... Wanatoa elimu bure ili kusingizia kuwa ndio matumizi ya pesa... Wakati pesa zinazopigwa ni nyingi kuliko zinazofanya kazi... maendeleo zero...Mwanachadema MBOWE anawasaliti wenzake kwa kutia kibindoni yale mabilioni ya ushenga....Dr.Slaa akajiona mjinga na kukimbilia ulaya.... Lipumba Rwandaaa[emoji1787][emoji1787]
Hasaa! Zama zikibadilika ndipo inahitaji akili kubwa na uongozi bora zaidi na siyo zama zibadilike kwa kurudi nyuma. Nchi zilizoendelea zinachukua watoto wa Tanzania wenye akili na vipaji sisi hatuwafuatilii hawa vijana. Hatujali Tanzania ya baadaye. Zama hizo Tanzania ilisomesha na kuwatafutia vyuo muafaka. Ndiyo tofauti namna ya kufikiri ilivyo.Zama zimebadilika....
Hivi siasa za kulijenga taifa ni sawa na sasa za KULIENDELEZA?!!! [emoji15][emoji15][emoji1787]
[emoji1787]Asee
At last you have spoken eloquently [emoji120]mimi nilishasema... Uzalendo wangu ntautimizia huku mtaani... Ntawanunulia wenye kiu maji na vinywaji... Wenye njaa nawanunulia chakula... Umeme natengeneza source yangu mwenyewe... Maji nachimba visima... Kuliko kuwa na biashara unalipa TRA na kodi zote... Alafu wanazipiga walio juu... Wanatoa elimu bure ili kusingizia kuwa ndio matumizi ya pesa... Wakati pesa zinazopigwa ni nyingi kuliko zinazofanya kazi... maendeleo zero...
[emoji2956]mimi nilishasema... Uzalendo wangu ntautimizia huku mtaani... Ntawanunulia wenye kiu maji na vinywaji... Wenye njaa nawanunulia chakula... Umeme natengeneza source yangu mwenyewe... Maji nachimba visima... Kuliko kuwa na biashara unalipa TRA na kodi zote... Alafu wanazipiga walio juu... Wanatoa elimu bure ili kusingizia kuwa ndio matumizi ya pesa... Wakati pesa zinazopigwa ni nyingi kuliko zinazofanya kazi... maendeleo zero...
Sikujua kama we jamaa ni mweupe kichwani namna hii , Bilionea Mbowe atajirike kwa sababu ya Lowassa ! kwani Lowassa na Malecela au Warioba wana tofauti gani ?Argumentum ad hominem....
Deflection
***********
Kuna GENGE kulizidi CHADEMA ?!!
Hawa ni waponyaji gani wa kisiasa?!!
Mbowe alilamba BILIONI za RA ili apishe yale ya kule MARA 2005....
Akalamba tena baada ya ASKOFU mshenga kumfuata....Dr.Slaa akakimbilia ulaya...Lipumba Rwanda....
Ile gia angani ilimpa UTAJIRI MKUBWA....kupitia kubadili gia akina RODNEY wanaishi pepo ya dunia [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kalaghabaho akina MDUDE
Nakuhakikishia kwamba ccm kuanzia ngazi ya Mkoa hadi chini , yaani Wilaya , kata na vijiji hakunavyeyote anayehamasisha wanachama wapya , wote hawa wako bize kulogana kwenye mali za chama , yaani wanapambana na wapangaji wa vibanda duni vya ccm ili kupewa rushwa .Ni tatizo la uongozi. CCM iliwahi kuwa na wasaidizi wasomi, wenye weledi na uzoefu wa kimataifa. Utakumbuka hata akina Prof Malima, Ngombale Mwiru walisomeashwa na TANU kwa maksudi ili kujenga uwezo wa chama. Watu walijiunga na TANU/CCM kwa sababu chama kilihamasisha uzalendo, kilisimamia haki kwa kauli na vitendo; hawakujiunga kutafuta teuzi.
Sikujua wewe Tusekelege ni "zwazwa kiasi hicho"...[emoji1787]Sikujua kama we jamaa ni mweupe kichwani namna hii , Bilionea Mbowe atajirike kwa sababu ya Lowassa ! kwani Lowassa na Malecela au Warioba wana tofauti gani ?
Mbowe humjuiSikujua wewe Tusekelege ni "zwazwa kiasi hicho"...[emoji1787]
Ukiwa bilionea huzitaki bilioni nyingine ?!!!
Basi Bakhresa asingehangaika kila uchao ?!! [emoji1787][emoji1787]
Ni rahisi kuwa Bilionea....ila si rahisi kuendelea kuwa bilionea...
Mbowe ni mjanjamjanja mno....mzee wa kubadili gia angani baada ya ule "mlambisho" [emoji1787][emoji1787]
Chadema imewekeza katika siasa mfu za majitaka....[emoji1787]Nakuhakikishia kwamba ccm kuanzia ngazi ya Mkoa hadi chini , yaani Wilaya , kata na vijiji hakunavyeyote anayehamasisha wanachama wapya , wote hawa wako bize kulogana kwenye mali za chama , yaani wanapambana na wapangaji wa vibanda duni vya ccm ili kupewa rushwa .
Kwa ufupi ccm imekufa .