Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
DENY
•••••••
Ni siasa tu...
Ni michezo ya siasa....
Fikiria hili...
Ulitaka CHADEMA isifie "uwazi ,demokrasia ,na siasa laini za mh.Rais SSH"?!!! [emoji15][emoji1787][emoji1787]
Chadema walimponda JPM kwa ubabe....
Lini wamemsifia mama kwa kuwatoa JELA UAMSHO ?!!!
Lini wamemsifia mama kwa kumlipa TUNDU LISSU stahiki zake ?!!! [emoji15][emoji1787][emoji1787]
Unataka CCM ifanye kinyume kipi?!!
Siasa tu...
•••••••
Ni siasa tu...
Ni michezo ya siasa....
Fikiria hili...
Ulitaka CHADEMA isifie "uwazi ,demokrasia ,na siasa laini za mh.Rais SSH"?!!! [emoji15][emoji1787][emoji1787]
Chadema walimponda JPM kwa ubabe....
Lini wamemsifia mama kwa kuwatoa JELA UAMSHO ?!!!
Lini wamemsifia mama kwa kumlipa TUNDU LISSU stahiki zake ?!!! [emoji15][emoji1787][emoji1787]
Unataka CCM ifanye kinyume kipi?!!
Siasa tu...