Inakuwaje CHADEMA wanakuwa smart zaidi ya CCM?

Inakuwaje CHADEMA wanakuwa smart zaidi ya CCM?

Kuna Mambo ukiangalia utagundua Chadema ni werevu zaidi ya CCM.

Masikitiko ni kwamba CCM ni chama kikongwe kina wataalamu wa kila aina lakini mipango yao ni ya hovyo sana.

Je wataalamu na wanazuoni hawataki kukiambia ukweli hiki chama. Au wenye chama hawataki kusikiliza ushauri wa wataalamu.

Mfano
.
1. Unawakamata watu kwa kosa la. Uchochezi
Baadae unageuza uhaini afu unawaachia kwa dhamana. Crazy.

2. Unamwambia mwambukusi asitoke nje ya Mbeya bila kibali anakaidi agizo na anaendelea kudunda mtaani kwa sababu maagizo yapo kinyume cha sheria Crazy.

3. Police anamzuia Lissu kufanya Mkutano Ngorongoro. Lissu anapokelewa kwa nderemo na vifijo kwa sababu zuio lipo kinyume na utaratibu. Huyu aliaandika anajisikiaje .Crazy.

4. Ni wataalamu gani wa serikali walisaini.ule mkataba IGA na DPW. maana ni ujinga mtupu umejaa mule. Crazy

Kiufupi mambo ni mengi sana yanayoonesha Chadema pamoja na udogo na uchache wao wana hoja nzito kuzidi genge looote la CCM kama alivyosema waziri mkuu mstaafu Msuya
Mwambukus na slaa hao sio wanacdm
 
Chadema sio smart sema udhaifu wa ccm .mtanzania yeyote Anaejitambua lazima auone tu haufichiki.
Nimekupa like yangu ndugu ,ccm chini ya huyu maama ni dhaifu na hapo ndo wapinzani wanpopatia keti na wa sio na chama
 
Kuna Mambo ukiangalia utagundua Chadema ni werevu zaidi ya CCM.

Masikitiko ni kwamba CCM ni chama kikongwe kina wataalamu wa kila aina lakini mipango yao ni ya hovyo sana.

Je wataalamu na wanazuoni hawataki kukiambia ukweli hiki chama. Au wenye chama hawataki kusikiliza ushauri wa wataalamu.

Mfano
.
1. Unawakamata watu kwa kosa la Uchochezi
Baadae unageuza uhaini afu unawaachia kwa dhamana. Crazy.

2. Unamwambia Mwambukusi asitoke nje ya Mbeya bila kibali anakaidi agizo na anaendelea kudunda mtaani kwa sababu maagizo yapo kinyume cha sheria Crazy.

3. Police anamzuia Lissu kufanya Mkutano Ngorongoro. Lissu anapokelewa kwa nderemo na vifijo kwa sababu zuio lipo kinyume na utaratibu. Huyu aliaandika anajisikiaje .Crazy.

4. Ni wataalamu gani wa serikali walisaini.ule mkataba IGA na DPW. maana ni ujinga mtupu umejaa mule. Crazy

Kiufupi mambo ni mengi sana yanayoonesha Chadema pamoja na udogo na uchache wao wana hoja nzito kuzidi genge looote la CCM kama alivyosema waziri mkuu mstaafu Msuya
JamiiForums77508547.jpeg
 
Kuna Mambo ukiangalia utagundua Chadema ni werevu zaidi ya CCM.

Masikitiko ni kwamba CCM ni chama kikongwe kina wataalamu wa kila aina lakini mipango yao ni ya hovyo sana.

Je wataalamu na wanazuoni hawataki kukiambia ukweli hiki chama. Au wenye chama hawataki kusikiliza ushauri wa wataalamu.

Mfano
.
1. Unawakamata watu kwa kosa la Uchochezi
Baadae unageuza uhaini afu unawaachia kwa dhamana. Crazy.

2. Unamwambia Mwambukusi asitoke nje ya Mbeya bila kibali anakaidi agizo na anaendelea kudunda mtaani kwa sababu maagizo yapo kinyume cha sheria Crazy.

3. Police anamzuia Lissu kufanya Mkutano Ngorongoro. Lissu anapokelewa kwa nderemo na vifijo kwa sababu zuio lipo kinyume na utaratibu. Huyu aliaandika anajisikiaje .Crazy.

4. Ni wataalamu gani wa serikali walisaini.ule mkataba IGA na DPW. maana ni ujinga mtupu umejaa mule. Crazy

Kiufupi mambo ni mengi sana yanayoonesha Chadema pamoja na udogo na uchache wao wana hoja nzito kuzidi genge looote la CCM kama alivyosema waziri mkuu mstaafu Msuya
Chama cha Mazezeta
 
Kuna Mambo ukiangalia utagundua Chadema ni werevu zaidi ya CCM.

Masikitiko ni kwamba CCM ni chama kikongwe kina wataalamu wa kila aina lakini mipango yao ni ya hovyo sana.

Je wataalamu na wanazuoni hawataki kukiambia ukweli hiki chama. Au wenye chama hawataki kusikiliza ushauri wa wataalamu.

Mfano
.
1. Unawakamata watu kwa kosa la Uchochezi
Baadae unageuza uhaini afu unawaachia kwa dhamana. Crazy.

2. Unamwambia Mwambukusi asitoke nje ya Mbeya bila kibali anakaidi agizo na anaendelea kudunda mtaani kwa sababu maagizo yapo kinyume cha sheria Crazy.

3. Police anamzuia Lissu kufanya Mkutano Ngorongoro. Lissu anapokelewa kwa nderemo na vifijo kwa sababu zuio lipo kinyume na utaratibu. Huyu aliaandika anajisikiaje .Crazy.

4. Ni wataalamu gani wa serikali walisaini.ule mkataba IGA na DPW. maana ni ujinga mtupu umejaa mule. Crazy

Kiufupi mambo ni mengi sana yanayoonesha Chadema pamoja na udogo na uchache wao wana hoja nzito kuzidi genge looote la CCM kama alivyosema waziri mkuu mstaafu Msuya
Ni tatizo la uongozi. CCM iliwahi kuwa na wasaidizi wasomi, wenye weledi na uzoefu wa kimataifa. Utakumbuka hata akina Prof Malima, Ngombale Mwiru walisomeashwa na TANU kwa maksudi ili kujenga uwezo wa chama. Watu walijiunga na TANU/CCM kwa sababu chama kilihamasisha uzalendo, kilisimamia haki kwa kauli na vitendo; hawakujiunga kutafuta teuzi.
 
Naamini neno smart' unamaanisha wana akili. Lakini vigezo vyako unavyohisi huo u-smart Kwa mtu mwingine anaweza kutumia kukupima wewe uwezo na kiwango cha akili yako na akajua udhaifu au ubora wako.

Na pengine akakutumia wewe ku-sample u-smart wa wafuasi wengine wa ChAdeMa na akapata jibu kwa nini wengine wanakuja na dhana ya tabia za mnyama nyumbu na wafuasi wa hicho Chama.
Leta vigezo vyako vya usmart wa CCM tuvione
 
Kuna Mambo ukiangalia utagundua Chadema ni werevu zaidi ya CCM.

Masikitiko ni kwamba CCM ni chama kikongwe kina wataalamu wa kila aina lakini mipango yao ni ya hovyo sana.

Je wataalamu na wanazuoni hawataki kukiambia ukweli hiki chama. Au wenye chama hawataki kusikiliza ushauri wa wataalamu.

Mfano
.
1. Unawakamata watu kwa kosa la Uchochezi
Baadae unageuza uhaini afu unawaachia kwa dhamana. Crazy.

2. Unamwambia Mwambukusi asitoke nje ya Mbeya bila kibali anakaidi agizo na anaendelea kudunda mtaani kwa sababu maagizo yapo kinyume cha sheria Crazy.
, huu mtindo wa uwasilishaji wa nondo
3. Police anamzuia Lissu kufanya Mkutano Ngorongoro. Lissu anapokelewa kwa nderemo na vifijo kwa sababu zuio lipo kinyume na utaratibu. Huyu aliaandika anajisikiaje .Crazy.

4. Ni wataalamu gani wa serikali walisaini.ule mkataba IGA na DPW. maana ni ujinga mtupu umejaa mule. Crazy

Kiufupi mambo ni mengi sana yanayoonesha Chadema pamoja na udogo na uchache wao wana hoja nzito kuzidi genge looote la CCM kama alivyosema waziri mkuu mstaafu Msuya
Mkuu 'The Burning Spear' huu mtindo wa uwasilishaji wa nondo zinazogusa kwenye mfupa penyewe ni mgeni na mpya kabisa!

Mifano halisi kabisa isiyo kuwa na mkanganyiko kabisa ni njia rahisi ya kuelewesha watu wenye akili nzito kuelewa.

Nawashauri viongozi wa CHADEMA wautumie pia mtindo huu kueneza elimu kwa wananchi.

Nakupongeza sana kwa ubunifu wako huu.
 
Kuna Mambo ukiangalia utagundua Chadema ni werevu zaidi ya CCM.

Masikitiko ni kwamba CCM ni chama kikongwe kina wataalamu wa kila aina lakini mipango yao ni ya hovyo sana.

Je wataalamu na wanazuoni hawataki kukiambia ukweli hiki chama. Au wenye chama hawataki kusikiliza ushauri wa wataalamu.
Hapana.

Hii dhana yako haiko sahihi hata kidogo.

Jaribu kidogo kudadisi sababu inayofanya iwe hivyo.

Mimi ninazo sababu za kueleza kwa nini inaonekana hivyo.
 
Ni tatizo la uongozi. CCM iliwahi kuwa na wasaidizi wasomi, wenye weledi na uzoefu wa kimataifa. Utakumbuka hata akina Prof Malima, Ngombale Mwiru walisomeashwa na TANU kwa maksudi ili kujenga uwezo wa chama. Watu walijiunga na TANU/CCM kwa sababu chama kilihamasisha uzalendo, kilisimamia haki kwa kauli na vitendo; hawakujiunga kutafuta teuzi.
Mleta mada, mkuu 'The Burning Spear' aanzie hapa kupata majibu ya hoja zake.
 
Kuna Mambo ukiangalia utagundua Chadema ni werevu zaidi ya CCM.

Masikitiko ni kwamba CCM ni chama kikongwe kina wataalamu wa kila aina lakini mipango yao ni ya hovyo sana.

Je wataalamu na wanazuoni hawataki kukiambia ukweli hiki chama. Au wenye chama hawataki kusikiliza ushauri wa wataalamu.

Mfano
.
1. Unawakamata watu kwa kosa la Uchochezi
Baadae unageuza uhaini afu unawaachia kwa dhamana. Crazy.

2. Unamwambia Mwambukusi asitoke nje ya Mbeya bila kibali anakaidi agizo na anaendelea kudunda mtaani kwa sababu maagizo yapo kinyume cha sheria Crazy.

3. Police anamzuia Lissu kufanya Mkutano Ngorongoro. Lissu anapokelewa kwa nderemo na vifijo kwa sababu zuio lipo kinyume na utaratibu. Huyu aliaandika anajisikiaje .Crazy.

4. Ni wataalamu gani wa serikali walisaini.ule mkataba IGA na DPW. maana ni ujinga mtupu umejaa mule. Crazy

Kiufupi mambo ni mengi sana yanayoonesha Chadema pamoja na udogo na uchache wao wana hoja nzito kuzidi genge looote la CCM kama alivyosema waziri mkuu mstaafu Msuya
Argumentum ad hominem....

Deflection
***********

Kuna GENGE kulizidi CHADEMA ?!!

Hawa ni waponyaji gani wa kisiasa?!!

Mbowe alilamba BILIONI za RA ili apishe yale ya kule MARA 2005....

Akalamba tena baada ya ASKOFU mshenga kumfuata....Dr.Slaa akakimbilia ulaya...Lipumba Rwanda....

Ile gia angani ilimpa UTAJIRI MKUBWA....kupitia kubadili gia akina RODNEY wanaishi pepo ya dunia [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kalaghabaho akina MDUDE
 
CCM ni chama cha siasa....si cha kidini....

DECEPTION
************
Tundu Lissu ni MWONGO....

Eti anadanganya kuwa serikali imewahonga MWIBA HOLDINGS bilioni za ekari [emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]

Uongo mweupe.....hivi ekari bilioni 2 si mikoa 3 jamani ?!!! [emoji1787]

Tundu is a pathetic lier
 
Dawati la siasa lishapwaya, wajitafakari maana meli ndio inazama hivyo.
Tupo....

Dawati halijazama....

Chini ya JPM dawati lilitekeleza "siasa zake tu"....leo hii linatekeleza siasa JUMUISHI....



Nyboma vipi Dodoma huko ?!!!
 
Kuna Mambo ukiangalia utagundua Chadema ni werevu zaidi ya CCM.

Masikitiko ni kwamba CCM ni chama kikongwe kina wataalamu wa kila aina lakini mipango yao ni ya hovyo sana.

Je wataalamu na wanazuoni hawataki kukiambia ukweli hiki chama. Au wenye chama hawataki kusikiliza ushauri wa wataalamu.

Mfano
.
1. Unawakamata watu kwa kosa la Uchochezi
Baadae unageuza uhaini afu unawaachia kwa dhamana. Crazy.

2. Unamwambia Mwambukusi asitoke nje ya Mbeya bila kibali anakaidi agizo na anaendelea kudunda mtaani kwa sababu maagizo yapo kinyume cha sheria Crazy.

3. Police anamzuia Lissu kufanya Mkutano Ngorongoro. Lissu anapokelewa kwa nderemo na vifijo kwa sababu zuio lipo kinyume na utaratibu. Huyu aliaandika anajisikiaje .Crazy.

4. Ni wataalamu gani wa serikali walisaini.ule mkataba IGA na DPW. maana ni ujinga mtupu umejaa mule. Crazy

Kiufupi mambo ni mengi sana yanayoonesha Chadema pamoja na udogo na uchache wao wana hoja nzito kuzidi genge looote la CCM kama alivyosema waziri mkuu mstaafu Msuya
Hamna ccm walisha kuwa vipofu kwamba ccm itaback madarakani miaka yote maana wapo na back up ya vyombo vya dola bila kutojua majira hubadilika wala hawataki jifunza Zambia
 
Wataalam wengi wapo CCM ila wamekata tamaa kwasababu wanaothaminiwa ni akina Bambo n.k
Si kweli....

Wathaminiwe kivipi ?!!!

Je watanzania wenyewe wakoje ?!!!

Yaani "dawati la siasa" lisipendekeze uhusika wa wasanii na waimba singeli ilihali watanzania wenyewe wanawapenda na kupenda mambo yao ?!!!

Siasa ni upepo....

Dini ndizo zisizobadilika [emoji1787][emoji1787]
 
Ni tatizo la uongozi. CCM iliwahi kuwa na wasaidizi wasomi, wenye weledi na uzoefu wa kimataifa. Utakumbuka hata akina Prof Malima, Ngombale Mwiru walisomeashwa na TANU kwa maksudi ili kujenga uwezo wa chama. Watu walijiunga na TANU/CCM kwa sababu chama kilihamasisha uzalendo, kilisimamia haki kwa kauli na vitendo; hawakujiunga kutafuta teuzi.
Zama zimebadilika....

Hivi siasa za kulijenga taifa ni sawa na sasa za KULIENDELEZA?!!! [emoji15][emoji15][emoji1787]
 
Kuna Mambo ukiangalia utagundua Chadema ni werevu zaidi ya CCM.

Masikitiko ni kwamba CCM ni chama kikongwe kina wataalamu wa kila aina lakini mipango yao ni ya hovyo sana.

Je wataalamu na wanazuoni hawataki kukiambia ukweli hiki chama. Au wenye chama hawataki kusikiliza ushauri wa wataalamu.

Mfano
.
1. Unawakamata watu kwa kosa la Uchochezi
Baadae unageuza uhaini afu unawaachia kwa dhamana. Crazy.

2. Unamwambia Mwambukusi asitoke nje ya Mbeya bila kibali anakaidi agizo na anaendelea kudunda mtaani kwa sababu maagizo yapo kinyume cha sheria Crazy.

3. Police anamzuia Lissu kufanya Mkutano Ngorongoro. Lissu anapokelewa kwa nderemo na vifijo kwa sababu zuio lipo kinyume na utaratibu. Huyu aliaandika anajisikiaje .Crazy.

4. Ni wataalamu gani wa serikali walisaini.ule mkataba IGA na DPW. maana ni ujinga mtupu umejaa mule. Crazy

Kiufupi mambo ni mengi sana yanayoonesha Chadema pamoja na udogo na uchache wao wana hoja nzito kuzidi genge looote la CCM kama alivyosema waziri mkuu mstaafu Msuya
Ilo lichama la Majangili ni kuliombea mabaya tu liendelee kukosea na kufanya uamuzi wa ovyo Ili Tanzania ipone!
 
CCM ni chama kikubwa ni aibu kuyumbishwa na Vijana wadogo
Mdude ?!!!

Boniphace Jacob ?!!! [emoji15][emoji1787][emoji1787]

CCM si chama cha siasa za matukio za upinzani......

Hili la mkataba wa DPW liwe la kuitisha CCM ?!!! [emoji15][emoji15]

UJINGA MTUPU
 
Back
Top Bottom