Inakuwaje graduates wa UDOM wanafaulu sana sahili za Utumishi?

Inakuwaje graduates wa UDOM wanafaulu sana sahili za Utumishi?

Annunaki

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2021
Posts
2,042
Reaction score
3,674
Habari za majukumu wanajukwaa.

Nimeona kama vile waajiriwa wengi wapya kwenye taasisi mbali mbali kwa sasa ni UDOM graduate's ukilinganisha na vyuo vingine. Mfano kuna taasisi moja mwezi uliopita kati ya waajiriwa wake 26, 12 ni graduate wa UDOM.

Ni kwamba wako competent sana kwenye Soko la ajira kwa sasa? Ni sababu zipi zinachangia, maana ajira za utumishi ni ngumu sana kimemo kutumika.

Najua humu kuna HR Officers wengi waliwahi/wanaendesha interview kupitia utumishi kwa naiba ya taasisi zao. Hebu tupeni maoni yenu mnapokutana nao hao vijana kwenye hizo interview zenu labda nitabadilisha msimamo wangu, maana ni kama siamini.
 
Samahani mtoa mada hivi hiki sinikilichuo wakati kinaanza graduate wake walikuwa wadau kuwa hawaajiriki hamna taasisi ilikuwa ikiwataka. Kumbe mambo hubadirika inabidi tuwapongeze kwa hilo from zero to hero
Mwenyewe nimeshtuka sana. Ajira nyingi za Serikali wanapita nazo sana ukilinganisha na graduate wa vyuo vingine. Hali ikiendelea hivi ndani 10years ijayo si itajaa wao kama ilivyokuwa Udsm zamani.
 
Back
Top Bottom