Inakuwaje graduates wa UDOM wanafaulu sana sahili za Utumishi?

Inakuwaje graduates wa UDOM wanafaulu sana sahili za Utumishi?

UDSM ni rare products wewe, wale huwa wao hawaombi hivyo viajira. Zikitoka zile ajira za maana huwa waajiri wanaenda Chuo na kuomba majina ya wanafunzi waliomaliza halafu wanawatafuta kuwaomba wakubali kujiunga na makampuni/taasisi/mashirika yao.
vikibaki hivi vinafasi vidogo ambavyo wanafunzi wa UDSM huwa wamevikataa ndiyo wanaenda kuvitangaza na hapo ndiyo utaona akina UDOM wakivugombea[emoji1][emoji1].
Hauwwzi ukakuta mwanafunzi wa UDSM akiwa mtaani[emoji3][emoji3]
UDSM ya zamani sio sasa,sasa hivi karibia kila mtu anasoma pale,fatilia utajaelewa.
Vyuo pia inategemea na course kuna baadhi ya vyuo kozi fulani wako vizuri sana ukilinganisha na kozi zingine,hiyo ipo kila chuo
 
UDSM ya zamani sio sasa,sasa hivi karibia kila mtu anasoma pale,fatilia utajaelewa.
Vyuo pia inategemea na course kuna baadhi ya vyuo kozi fulani wako vizuri sana ukilinganisha na kozi zingine,hiyo ipo kila chuo
Lakini UDSM si wanasema inachukua wanafunzi wa division one tu, inakuwaje performance yake iwe sawa na vyuo vingine?
 
UDSM ya zamani sio sasa,sasa hivi karibia kila mtu anasoma pale,fatilia utajaelewa.
Vyuo pia inategemea na course kuna baadhi ya vyuo kozi fulani wako vizuri sana ukilinganisha na kozi zingine,hiyo ipo kila chuo
Wee unasoma wapi..? Au ulisoma wapi ...?
 
Lakini UDSM si wanasema inachukua wanafunzi wa division one tu, inakuwaje performance yake iwe sawa na vyuo vingine?
Uongo wewee

Kwamba huna uliomaliza nao wakawa na 2 or 3 yenye point 4 na wakaenda soma Archeology UD??

Course matters, sio suala la chuo kama chuo.
 
Pia suala la ofisi husika lina matter. Kuna maofisi/ mashirikia ukifika utasaka mtu wa Ud, Udom na usipate.
 
Uongo wewee

Kwamba huna uliomaliza nao wakawa na 2 or 3 yenye point 4 na wakaenda soma Archeology UD??

Course matters, sio suala la chuo kama chuo.
Lakini humu ndani UDSMers wanatuaminisha hivyo
 
Lakini humu ndani UDSMers wanatuaminisha hivyo
Wasitudanganye, ili hali tuna marafiki waliosoma UD na wako kitaa wanafanya mambo ambayo hayahusiani na shule.

Labda wa miaka ya 2015 kurudi huko chini.
 
Lakini UDSM si wanasema inachukua wanafunzi wa division one tu, inakuwaje performance yake iwe sawa na vyuo vingine?
Nilimpeleka dogo langu ana div 3 naye amesoma pale main campus,kuna wengine nawajua marks zao sio nzuri kwakweli na wamesoma pale.
Mimi niliingia kwa ufaulu mzuri ila kwa sasa ni uongo
 
Inategemea na kada yenyewe kwa sasa mambo ya IT na computer UDOM inangoza kutoa competent graduate

Ila.kwa base ya agriculture overall kuna mnyama anaitwa SUA ndo katoa 97% ya walio lamba asali

So i thnk inategemea na kada
 
UDSM ni rare products wewe, wale huwa wao hawaombi hivyo viajira. Zikitoka zile ajira za maana huwa waajiri wanaenda Chuo na kuomba majina ya wanafunzi waliomaliza halafu wanawatafuta kuwaomba wakubali kujiunga na makampuni/taasisi/mashirika yao.
vikibaki hivi vinafasi vidogo ambavyo wanafunzi wa UDSM huwa wamevikataa ndiyo wanaenda kuvitangaza na hapo ndiyo utaona akina UDOM wakivugombea😄😄.
Hauwwzi ukakuta mwanafunzi wa UDSM akiwa mtaani😀😀
Acha ushamba wewe 😂😂..
 
Back
Top Bottom