Inakuwaje kamanda mkuu wa kijeshi Urusi anakuwa chini ya Wagner Group, kikundi kidogo cha kukodi?

URAAAAAA
URAAAAAAA ⛏⛏
 
Nilipoona tu umeandika; 'he know' na 'compassesion' tayari nikawa nimethibitisha kuwa hili ni debe tupu(empty cane).
 
Kuna ndoto uliota mwaka Jana kuwa Putin atakufa hiyo '22. Vipi na hii ikauwa episode ya pili ya hiyo ndoto?
 
Unaongea ushuzi baridi. Unadhani Putin ni Gadafi au Sadam Hussein!!??
 
huo ni uelewa wako, za kuambiwa changanya na za kwako
 
Wagner ni Jeshi kama majeshi mengine..Tofauti ni kuwa haipo chini ya Serikali... Japo kuna wanaosema kuwa ina mkono wa serikali ndani yake.... Yaani ni kama UDART vile

Maafisa wake wengi na Wanajeshi, Makachero, Makomandoo na Wabobezi wa kazi hiyo. Na wanalipa vizuri sana.

Hivyo kuna baadhi ya maeneo wamekabidhiwa WAO kuendesha operesheni (Commanding authority) , So ulipaswa kujua protocols za muingiliano wa jeshi la serikali na Wagner kabla ya kuleta maneno yako hapa.

PIA UTUAMBIE NI AMRI GANI HIYO!
 
Yaani unavyokiita kikundi ni kama vile cha SACCOS au cha jumuiya ya kanisa hapo mtaani kwenu.

Kikundi kinakomboa miji kwenye vita dhidi ya Ukraine na mataifa ya NATO yakisaidia. WAGNER nzima wakiamua kuja wanatusoma JW na sisi wenyewe tunaelekea kibla

Ipe heshima yake kwanza ndo ujadili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…