GHIBUU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 4,432
- 3,013
Waalimu wote ni wanasiasa bwashee!
Ila daktari ana umaalumu wa kipekee popote pale duniani.
Kutibu ni ibada!
Ibada au kwenye ibada hakutakiwi kulazimisha ni hiyari tu, sawa akisharudi kwa lazima itakuwa je ? Kama mimi doctor kila alie shiriki nirudi akiumwa akija harudi home ndio dawa