Hata sidhani kama yule alikuwa anaambiwa nlikuwa naambiwa mie ............nahisi mtima wa bwana ulikuwa zaidi kwa yule mie kwke alinichukulia mapozeo tu sikulijua hilo kuna siku tulikuwa wote barabarani tukapishana na huyo bi dada naye kapakizwa garini sijui na mnani basi wee.....nlijionea maajabu.... mkaka alitamani kuingiza gari chini ya uvungu wa lorry. Kumwuliza anajibaraguza nkamshushia vipande vyake ..........afu anabisha eti kwenye lile gari alokuwa anaendesha ni mwanamke loh.............mwishoni alikujaletewa mimba ya Mzimbabwe!!
Inatosha, hebu pumzikeni kuwashushua hao maswitihati wenu waliovunja uswitinesi wenu.....@NY/MJ1.