Inakuwaje Marehemu Milton Lupa anateuliwa mkeka mpya wa Rais?

Inakuwaje Marehemu Milton Lupa anateuliwa mkeka mpya wa Rais?

Kama ikulu kajaza watu wengi wa karibu swala Tano maeneo nyeti hayo ndio matokeo yake

Swala Tano Huwa Wana kelele sana ohh tunataka vyeo wakipewa sio watendaji wazuri sana

Ina maana Hadi mfumo wa TISS anaoutegemea uliopo Ikulu kazi wameshindwa hicho kiti kilitakiwa kujulikana mapema au kama wapi weledi wanezira wanawaachia eapiga Domo kujipendekeza Kwa Raisi kuwa haya fanyeni wenyewe nyie sio ndio wenyewe ndio matokeo hayo Hadi jina la maiti linaingia kwenye uteuzi
 
Kama ikulu kajaza watu wengi wa karibu swala Tano maeneo nyeti hayo ndio matokeo yake

Swala Tano Huwa Wana kelele sana ohh tunataka vyeo wakipewa sio watendaji wazuri sana

Ina maana Hadi mfumo wa TISS anaoutegemea uliopo Ikulu kazi wameshindwa hicho kiti kilitakiwa kujulikana mapema au kama wapi weledi wanezira wanawaachia eapiga Domo kujipendekeza Kwa Raisi kuwa haya fanyeni wenyewe nyie sio ndio wenyewe ndio matokeo hayo Hadi jina la maiti linaingia kwenye uteuzi
Hapo ndio mnapofeli Christian kila kitu mnaona mnastahili nyinyi kwenye hii nchi mambo aliyoyafanya baba wa taifa kwa muslims yanajulikana Bora utulie tu mkuu.
 
Kama ikulu kajaza watu wengi wa karibu swala Tano maeneo nyeti hayo ndio matokeo yake

Swala Tano Huwa Wana kelele sana ohh tunataka vyeo wakipewa sio watendaji wazuri sana

Ina maana Hadi mfumo wa TISS anaoutegemea uliopo Ikulu kazi wameshindwa hicho kiti kilitakiwa kujulikana mapema au kama wapi weledi wanezira wanawaachia eapiga Domo kujipendekeza Kwa Raisi kuwa haya fanyeni wenyewe nyie sio ndio wenyewe ndio matokeo hayo Hadi jina la maiti linaingia kwenye uteuzi
Achaga udini wewe!
 
Nchi ambazo zinaona mbele wanakotaka kwenda..zina njia 2 kudeal na case za mazoea ya kazi na connections kwa watu wa ikulu au wasaidizi wa kiongozi anayechaguliwa, moja aidha katiba inaagiza Rais anayechaguliwa kuanza na watu/wasaidizi wote wapya..Rais anayemaliza muda wake anaondoka na wasaidizi wake wote, au pili..Rais mpya anaunda timu yake mpya..hakuna case za mazoea, kila jambo ikulu linapata attention 100%..watu wapya maana yake mtizamo mpya, mawazo mapya, mifumo mipya, tabia mpya nk..
Nchi yetu inasumbuliwa na wastaafu wanaoacha watu wao ikulu..siwez shangaa pengine hata watu wa enzi za awamu ya kwanza bado wapo ikulu kulinda interest za awamu ya kwanza..kwa staili hii nchi kupiga hatua za maendeleo ni ndoto..mwendazake alisema mara kadhaa kwa kulalamika..."hizi ndio shida za kuchomekewa" yaani aliowakuta ikulu wanamchomekea sababu wao wanajua kuliko yeye..aliwakuta na atawaacha, na kweli aliwaacha akaenda zake!
Hii inaweza ikawa mwarobaini: "Rais anayemaliza muda wake anaondoka na wasaidizi wake wote"
Naona kama hiyo 👆 👆 👆 ndo engine overhaul.
 
Nchi ambazo zinaona mbele wanakotaka kwenda..zina njia 2 kudeal na case za mazoea ya kazi na connections kwa watu wa ikulu au wasaidizi wa kiongozi anayechaguliwa, moja aidha katiba inaagiza Rais anayechaguliwa kuanza na watu/wasaidizi wote wapya..Rais anayemaliza muda wake anaondoka na wasaidizi wake wote, au pili..Rais mpya anaunda timu yake mpya..hakuna case za mazoea, kila jambo ikulu linapata attention 100%..watu wapya maana yake mtizamo mpya, mawazo mapya, mifumo mipya, tabia mpya nk..
Nchi yetu inasumbuliwa na wastaafu wanaoacha watu wao ikulu..siwez shangaa pengine hata watu wa enzi za awamu ya kwanza bado wapo ikulu kulinda interest za awamu ya kwanza..kwa staili hii nchi kupiga hatua za maendeleo ni ndoto..mwendazake alisema mara kadhaa kwa kulalamika..."hizi ndio shida za kuchomekewa" yaani aliowakuta ikulu wanamchomekea sababu wao wanajua kuliko yeye..aliwakuta na atawaacha, na kweli aliwaacha akaenda zake!
Kuna Wasaidizi wa Rais anaokuja nao na kuna watumishi wa Serikali ambao wao wanakuwa muda wote ikulu. Wanaweza wakabadilishwa na Serikali tu yaani Chief of Staff, Wengine wanamuita Katibu Mkuu Kiongozi kwa uhamisho wa kiserikali.

Wanaoondoka na Rais anayemaliza muda wake ni wale anaokuja nao ambao kimsingi wanakuwaga wasaidizi wa mambo yake tu ya kisiasa ila mifumo ya urais yote inakuwa chini wa waandamizi anaowakuta na kuwaacha.

Hii ndo ipo hivi hata Marekani.
 
Kosa la Dr Samia ni lile lile waliolofanya Mwl Nyerere, Ben Mkapa na John Magufuli ya kupenda Chama kuliko Taifa.

Mwisho wanaonemeeka ni kakundi kadogo ka watu wasiozidi Milioni Moja tu.
Jakay ma na Mwinyi walikua perfect?
 
N
Kama ikulu kajaza watu wengi wa karibu swala Tano maeneo nyeti hayo ndio matokeo yake

Swala Tano Huwa Wana kelele sana ohh tunataka vyeo wakipewa sio watendaji wazuri sana

Ina maana Hadi mfumo wa TISS anaoutegemea uliopo Ikulu kazi wameshindwa hicho kiti kilitakiwa kujulikana mapema au kama wapi weledi wanezira wanawaachia eapiga Domo kujipendekeza Kwa Raisi kuwa haya fanyeni wenyewe nyie sio ndio wenyewe ndio matokeo hayo Hadi jina la maiti linaingia kwenye uteuzi
Nje ya mada kabisa
 
Bw. MILTON LUPA KENDE MALAMU!

Huyu Jamaa mwanzoni alikuwa;

1. Mkurugenzi wa NFRA, baadaye akawa

2. Mkurugenzi wa NBAA

3. Akiwa NBAA ndo akateuliwa kuwa Mkurugenzi wa VETA Tanzania.

4. Uteuzi huo aliupata siku ya Ijumaa tarehe 31.05.2024.

5. Siku ya tarehe 02.06.2024 akiwa njiani kutoka Tanga kuja Dodoma kuripoti kuwa Mkurugenzi wa VETA akapata ajali ya gari maeneo ya Dumila Morogoro na kufariki Dunia.

6. Kumbe Jumatatu angeripoti na kuanza kazi kwa siku ya Jumanne na Jumatano jana tu leo angepata uteuzi huu mpya.

Apumzike kwa amani.
Baso serikali inaonyesha ikoovyovyo sbb haiwezeksni huyo mtu kateuliwa kiwa mkurige zi wa VETA ,,,hapo hapo ukamteau kuwa DC,,kwanini??
 
Kwani unadhani uteuzi Huwa unafanywa siku Moja au ndani ya mda mchache kabla ya kutangazwa?
Hata kama ulifanyika nyuma sasa siku mkeka ulipotoka ndio hoja ilipo ! Mkeka umetoka leo mtu alishafariki jana….sasa hapo uoni hakuna umakini? Yani hata angefariki dakika 10 kabla ya mkeka kutoka walipaswa kujua hilo!
 
Siyo kichekesho, acha kuidogosha Taasisi ya Urais. Tofauti ya siku kati ya ajali na yeye kuteuliwa ni ndogo sana.

Uteuzi ni mchakato ambao ulianza few days/ weeks ago. Sioni kama hii ni discrepancy ya kujadili.

Tumuombee tu marehemu Milton Lupa apumzike kwa amani
We nae ni kichekesho maana hapa tuna angalia mtu amekufa lini na mkeka umetoka lini?😂😂😂😂😂
 
Kosa linapewa uzito kwa kuangalia Madhara yatokanayo na kosa hilo.
Katika hili la uteuzi wa marehemu (tena sio kwa kudhamiria) kuna madhara gani yaliyotokana na uteuzi huo ukiachilia hili la Serikali kuonekana haiko makini na watu mitandaoni kuisakama Serikali/Mamlaka ya Uteuzi?
Wanamksakanankwa sbb yamekuwa yakifanyika makosa ya aina hiyo yanayojirudia.Haya yanafanya watu wahisi kukosekana umakini kama huu inawezakusababisha hata kwenye mamikataba mbalimbali tukachomekewa harafu nchi ikaingia hasara bure
 
Waulize
Kuchelewa kupata taarifa ndio uzembe. Sio mara moja. State inachelewaje kupata taarifa kwa mfano. State ndio nchi, hakuna excuses ya kujustify, ni uzembe Na hii inaanzia kwa Boss
[/ waulize ndugu zake kama walipeleka taarifa
 
Kwa nchi "setious"
Milton Lupa amefariki juzi kwa ajali ya gari Morogoro. Leo anasomeka mkeka wa uteuzi.

How comes? Hivi Katibu Mkuu Kiongozi umeruhusuje huu mkeka kutoka na makosa haya?

Pia, soma=> Rais Samia afanya uteuzi na mabadiliko ya watendaji wa Serikali. Zuhura Yunus aondolewa Ukurugenzi wa Mawasiliano Ikulu
Kwa nchi "serious" wote wanaohusika na teuzi walipaswa kujiudhuru.

Maana hiyo inaonesha uzembe wa hali ya juu.

Sasa kama vitu vidogo kama hivi vinashindikana, itakuwaje kwa makubwa?!
 
Back
Top Bottom