Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuna TISS isiyoweza hata ku vet uhai wa mtu. Sijui wanaweza nini...Milton Lupa amefariki juzi kwa ajali ya gari Morogoro. Leo anasomeka mkeka wa uteuzi
How comes? Hivi Katibu Mkuu Kiongozi umeruhusuje huu mkeka kutoka na makosa haya?
View attachment 3010470
Uonavyo wewe hilo ni suala dogo?Kuwahamisha wapinzani wa CCM kwenye mjadala muhimu wa kitaifa ni kazi rahisi sana. Jana walikuwa wanazungumzia mambo nyeti kuhusu bahari na madini kupewa wakorea ila leo wote kwa pamoja wanazungumzia kosa dogo lililofanywa na aliyechapisha na kupost taarifa ya ikulu. Ikitokea tena Amber Ruty akaachia "connection" ndo tayari inakuwa wapinzani wamepotezwa mazima kwenye mjadala nyeti
Rais anaweza Kupitia Kila kitu? Wewe unaweza?Ni kama Rais anategewa kwa maksudi na wasaidizi wake ili abebe lawama na aibu yeye
Na bahati mbaya nadhani walishamjua udhaifu wake kuwa huwa hapitii na kusoma kile kimeletwa mezani
Wasidizi wake hawafanyi kazi ipasavyo, wanamfanyia maksudi mh Rais, na tunapoelekea uchaguzi mkuu, kwangu mimi naona ni kama wanaajenda yao ya siri
Najiuliza pia, ikiwa jambo dogo kama hilo limefanyika, tupo salama kwa kiasi gani kwenye mikataba ya kimataifa iliyosainiwa?
Bado ungali ukiamini ujinga wa kusikitisha kwamba rais ni mtu binafsi mmoja tu?Rais anaweza Kupitia Kila kitu? Wewe unaweza?
Nini maana ya Taasisi ya Urais?Rais anaweza Kupitia Kila kitu? Wewe unaweza?
Nmeomba hyo kazi naona umereact kwa emoji ya kicheko, was that funny?Mbona mimi nilikuwa nampigia mfanyakazi wangu wa zamani nilitaka nimrudishe kazini nimeshampangia kila kitu, kupiga simu kimyaa nikaona nimpigie Rafiki yake, Fulani yupo wapi nampigia simu imezimwa... kama kashangaa hivi, ananiambia jamaa tumeanza kumsahau kafariki kama mwezi hivi ajali ya boda boda. Anyway unajuwa kuna watu sio maarufu huyu kama sio teuzi hizi si ajabu hata tusingejuwa kama amefarikieuzi...
MAMA ANATOSHA KAMA UNACHUKI HAMA NCHINi kama Rais anategewa kwa maksudi na wasaidizi wake ili abebe lawama na aibu yeye
Na bahati mbaya nadhani walishamjua udhaifu wake kuwa huwa hapitii na kusoma kile kimeletwa mezani
Wasidizi wake hawafanyi kazi ipasavyo, wanamfanyia maksudi mh Rais, na tunapoelekea uchaguzi mkuu, kwangu mimi naona ni kama wanaajenda yao ya siri
Najiuliza pia, ikiwa jambo dogo kama hilo limefanyika, tupo salama kwa kiasi gani kwenye mikataba ya kimataifa iliyosainiwa?
Huwa wanamchomekea maana hana muda wa kusoma na kutafiti kutwa yupo safarini, ina maana akina Biden hawana nauli za kusafiri muda wote wapo kwenye nchi zao?Ni kama Rais anategewa kwa maksudi na wasaidizi wake ili abebe lawama na aibu yeye
Na bahati mbaya nadhani walishamjua udhaifu wake kuwa huwa hapitii na kusoma kile kimeletwa mezani
Wasidizi wake hawafanyi kazi ipasavyo, wanamfanyia maksudi mh Rais, na tunapoelekea uchaguzi mkuu, kwangu mimi naona ni kama wanaajenda yao ya siri
Najiuliza pia, ikiwa jambo dogo kama hilo limefanyika, tupo salama kwa kiasi gani kwenye mikataba ya kimataifa iliyosainiwa?
Ikulu kajaza chawa na makadaNini maana ya Taasisi ya Urais?