Papasa
JF-Expert Member
- Nov 2, 2018
- 2,619
- 5,780
Aliwezaje kua hata kiongozi wa vikoba 🤔 lakini ni sawa mtu alizungusha kidato cha nne ndoto yake kuu ni kua muhudumu wa ndege mgawa karanga na vinywaji alafu unategemea kupata kilicho bora kutoka kwake kwenye nafasi kubwa kama aliyopo ambayo inahitaji mtu mwenye uwezo mkubwa wa akili 🤔