Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,230
- 10,650
Usilolijua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasikitisha sana. Hii inaongeza machungu kwa wafiwaUmakini kukosekana uteuzi, mikataba, makubaliano, vipau mbele listi ni ndefu sana ...
Hili ni tatizo kubwa sana. Huu ni uzembe wa hali ya juu!Kama ni kweli basi tuna matatizo makubwa mno. Yaani makubwa kupindukia.
Inawezekana ndio, si unajua tena maamuzi kutoka juu hua hayana makosaHaisomi?
Ndiyo washafanya sasa mkuu.Hapana haya sio makosa ya kufanywa na Ofisi kubwa kama Ikulu
Inasikitisha sana. Hii inaongeza machungu kwa wafiwa
Lack of seriousnessKama ni kweli basi tuna matatizo makubwa mno. Yaani makubwa kupindukia.
Kuna shida mahaliHii ndio picha ya utawala na utendaji wa kizimkazi.je yale ya ndani uko ikulu Itakua ni hali tete tu.
Tukisema mnaona tuna mchafua ona sasa kaonyesha mauchafu yake. Watanganyika tujipange sana kuhusu kizimkazi.
Yuko bze na masafari ya majuu tu na ndio maana wateuliwa wake wanaiba tu.
KAZI ni kipimo cha UTU
Inasikitisha sanaKama hawajui kinachoendelea nchini wataweza kweli kusoma mikataba ya 100 pages kwa lugha ya kigeni with fine prints? Nchi ya kusadikika.
Tunataka katiba MPYAAAAAAIkulu imekuwa kichekesho. Huyu Bwana Milton Lupa amefariki kwa ajali eneo la Dumila juzi. Alikuwa njiani kuja Dodoma kwenye kituo chake cha kazi VETA. Cha kushangaza jioni hii Dr. Kusilika KM Kiongozi anatoa taarifa kuwa ameteuliwa kuwa Mkurugenzi HW Kilolo.
Ikulu kuweni serious kidogo mmekuwa kichekesho kwa kila kitu.