Inakuwaje Marehemu Milton Lupa anateuliwa mkeka mpya wa Rais?

Inakuwaje Marehemu Milton Lupa anateuliwa mkeka mpya wa Rais?

Ikulu imekuwa kichekesho. Huyu Bwana Milton Lupa amefariki kwa ajali eneo la Dumila juzi. Alikuwa njiani kuja Dodoma kwenye kituo chake cha kazi VETA. Cha kushangaza jioni hii Dr. Kusilika KM Kiongozi anatoa taarifa kuwa ameteuliwa kuwa Mkurugenzi HW Kilolo.
Ikulu kuweni serious kidogo mmekuwa kichekesho kwa kila kitu.
Ikulu ni pango la comedians mkuu. Kumbe ulikuwa hujui hilo? Hawa jamaa wanachekesha sana. CCM is a laughing stock 😂🤣😂🤣
 
Hii nchi kiukwel imejaa wapumbavu mnoo huko serikalini. Yan kwakwel hata majirani watakua wanatutzama wanachekaa sanaa.

Mtu kiguu na njia 24/7 katoka kuzurura korea huko na genge lake la wahuni anafikia kusoma majina ya uteuzi, mpaka marehemu wako humo wala hana habari.

Jamani!!! Kama mambo madogo kama haya ambayo yanakuja public mnafanya blunder za kijinga namna hii, sipati picha hiyo mikataba mnayoisanisha kwa wageni.

Serikal hii hakika ni yakipumbavu sana
Ume comment upumbavu mtupu, uwe na staha mjinga we!
 
Mbona mm kwenye pdf hilo jina silioni???

Au nyie mna pdf nyingine?
 

Attachments

  • IMG-20240606-WA0009.jpg
    IMG-20240606-WA0009.jpg
    171.8 KB · Views: 1
Hii ndio picha ya utawala na utendaji wa kizimkazi.je yale ya ndani uko ikulu Itakua ni hali tete tu.
Tukisema mnaona tuna mchafua ona sasa kaonyesha mauchafu yake. Watanganyika tujipange sana kuhusu kizimkazi.
Yuko bze na masafari ya majuu tu na ndio maana wateuliwa wake wanaiba tu.




KAZI ni kipimo cha UTU
Kwakweli awamu hii nchi imepatwa!!!

Inasemekana hata hao wateuliwa mara nyingi anakutana nao wakati wa kuwaapisha!! Kwahiyo siyo wateuliwa wake, ni kazi ya chawa!!
 
We carry life & death sishangai maana muda wowote unapambana na kifo
Na kifo ni CONSTANT & is there to stay yaan unakula nacho una amka nacho unalala nacho yaan kifo hakikimbiwi muda wowote unapambana nacho kila dakika..
 
Back
Top Bottom