Inakuwaje Marehemu Milton Lupa anateuliwa mkeka mpya wa Rais?

Inakuwaje Marehemu Milton Lupa anateuliwa mkeka mpya wa Rais?

Kama kafa juzi tunaweza kuwasamehe. Inaweza kutokea. Unakuta Tayari waliongea na muhusika na akacomfirm "yupo hai."
Silly excuse kama ni kweli no way hapo kujitetea unapaswa kujua in details kabla yakutoa public na hizi teuzi by the way wahusika hawana prio information kwa wengi wao wanakutana na mikeka unexpected
 
Silly excuse kama ni kweli no way hapo kujitetea unapaswa kujua in details kabla yakutoa public na hizi teuzi by the way wahusika hawana prio information kwa wengi wao wanakutana na mikeka unexpected
Na hili ni kosa kubwa sana. Inatakiwa wahusike wawe wanajulishwa na huu ndo utaratibu mzuri
 
Siyo kichekesho, acha kuidogosha Taasisi ya Urais. Tofauti ya siku kati ya ajali na yeye kuteuliwa ni ndogo sana.

Uteuzi ni mchakato ambao ulianza few days/ weeks ago. Sioni kama hii ni discrepancy ya kujadili.

Tumuombee tu marehemu Milton Lupa apumzike kwa amani
Kwa mtu mzembe, hili jambo linaweza kutokea kwa sababu ni bahati mbaya. Lakini kwa wenye akili huu ni uzembe wa hali ya juu.
 
Siyo kichekesho, acha kuidogosha Taasisi ya Urais. Tofauti ya siku kati ya ajali na yeye kuteuliwa ni ndogo sana.

Uteuzi ni mchakato ambao ulianza few days/ weeks ago. Sioni kama hii ni discrepancy ya kujadili.

Tumuombee tu marehemu Milton Lupa apumzike kwa amani
Huijui kazi ya Usalama wa Taifa wewe Mbwiga!!

Hiyo ni ofisi ya Rais ambayo inatakiwa kuwa makini Kila dakika na wakati wote!! Kama mteuliwa kafa siku Moja nyuma na ikulu Haina taarifa, ni vipi itakuwa na taarifa Maadui wanaoingia nchini??

Kwa akili yako nchi ikivamiwa na Wahuni utasema tulikuwa tumesinzia Kwa hiyo tusijali? Uchawa unawapofusha
 
That's fatal negligence kufanywa na top rank officer wa Ikulu.

Kwa watu serious, such negligence is beyond repair.

Inatoa reflection mbaya sana kwamba tunaongozwa na watu wa aina gani.

Kwani kwa teuzi mpya huwa hawafanyi vetting wala kuwapa prior notification wateuliwa?

-Kaveli-
 
Back
Top Bottom