Zegreaty
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,253
- 1,056
Silly excuse kama ni kweli no way hapo kujitetea unapaswa kujua in details kabla yakutoa public na hizi teuzi by the way wahusika hawana prio information kwa wengi wao wanakutana na mikeka unexpectedKama kafa juzi tunaweza kuwasamehe. Inaweza kutokea. Unakuta Tayari waliongea na muhusika na akacomfirm "yupo hai."