Inakuwaje Marehemu Milton Lupa anateuliwa mkeka mpya wa Rais?

Inakuwaje Marehemu Milton Lupa anateuliwa mkeka mpya wa Rais?

Inasikitisha sana
Nilishawaambia hii nchi kwa sasa inaongozwa na under age..tiss imejaza under age watupu, under age kwa maana umri wao na majukumu ya kazi wanazofanya havilingani, sawa ana elimu lakin umri kulingana na majukumu mtu anapaswa kuyafanya ni muhimu sana, kasoro hii ilianza awamu ya 4..ndio maana mambo ya kitoto ni mengi sana ndani ya serikali..jaribu kufikiri, watu wazima na akili zao wanaweza kuwaza kuweka mabango ya kiongozi nchi nzima kana kwamba anaowaongoza hawajui mazuri anayofanya?

Hizi ni akili za kitoto, ni kama ikulu tumeachia watoto na wanachaguana wao kwa wao..Biteko, bashungwa, mchengerwa, katambi, mavunde..wametweza sana nafasi za uongozi kuanzia ma DC, DAS, hata Wakuu wa mikoa..ujinga ujinga mwingi sana tofauti na awamu ya 3 kurudi nyuma..kwa sasa DC kuzaa nje ya ndoa ni kitu cha kawaida kabisa.
 
Ache
Leo tar 6 June, huenda uteuzi ulifanyika kabla ya tar 4 June yaani kabla ya ajali, ila ni jambo linaloweza tokea katika majukumu mengi, sio jambo la kushangaa sana, linarekebishwa tu

Acheni kutetea ujinga ikulu ndiyo sehemu pekee na muhimu ambayo inapata update za kila sekunde, dakika, saa, siku na kila muda unaposhindwa kubaini matatizo yaliyojitokeza au taarifa za siku mbili ujue uko nyuma sana. Hata watu wakivamia nchi huwezi kumbe kujua.

Lakini pia Mungu wakati mwingine huwa anaamua kuonyesha watu jinsi tunavyofanyiwa mambo ya kiduanzi hivi kama jambo dogo hilo system inashindwa kujua inawezekana mikataba iliyosainiwa kule ni majanga matupu.

Na chawa wanasema fomu inachapishwa moja tu haki anani nchi inaenda kubaki mifupa mitupu au skeleton kwa lugha ya kisonjo.
 
Wamesharekebisha 🙏🏿🙏🏿🙏🏿

IMG-20240606-WA0237.jpg
IMG-20240606-WA0229.jpg
IMG-20240606-WA0244.jpg

Labda hawakuwa na taarifa sahihi 🙏🏿

IMG-20240606-WA0248.jpg
IMG-20240606-WA0256.jpg
 
Nionavyo,

Wa kuombewa ni kiongozi wetu aliyemteua na Si marehemu mteuliwa!!

Anyway, Eti ni Kweli Mkopo wa Korea umebadilishwa na Migodi na bahari yetu?
Hizo za Korea ndiyo habari zinazouza sana kwenye mitandao
 
Huijui kazi ya Usalama wa Taifa wewe Mbwiga!!

Hiyo ni ofisi ya Rais ambayo inatakiwa kuwa makini Kila dakika na wakati wote!! Kama mteuliwa kafa siku Moja nyuma na ikulu Haina taarifa, ni vipi itakuwa na taarifa Maadui wanaoingia nchini??

Kwa akili yako nchi ikivamiwa na Wahuni utasema tulikuwa tumesinzia Kwa hiyo tusijali? Uchawa unawapofusha
Hujui kitu wewe pimbi zaidi ya matusi tu. Kwani kosa liko wapi hapo?
 
Kuna watu wana bahati hadi kwenye kifo.... Watu mamilioni hawana kazi mtu anapewa kazi ya ukurugenzi akiwa kashafariki. Mhe. Mshana najua atakuja na thread moja matata kwenye hili la kufuatwa na bahati hadi kwenye kifo
 
Itakuwa mkeka uliandaliwa a day before he died.
Meaning Ikulu haifanyi briefing kila siku? Kama Ikulu inakuwa misinformed kwenye mambo madogo hivi bhasi nchi yetu ipo uchi mbele ya adui zetu. Nakumbuka maneno ya CDF kuwa kuna wageni mpaka kwenye nafasi za maamuzi so sishangai mambo kwenda vululuvalala ili mradi liende tu...... Wenye uwezo wa kurekebisha hii Hali ni wananchi wenye pale watakapoamua seriously
 
Back
Top Bottom