Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 20,654
- 35,887
Uenda akafufuka.Haijalishi. Mkeka umetoka leo! Hawajui kuwa amefariki?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uenda akafufuka.Haijalishi. Mkeka umetoka leo! Hawajui kuwa amefariki?
Haujatunza risiti ?Tulivyohoji humu wakafuta na kurekebisha fasta[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mambo ni mengi, tupo nje ya muda...Watz hatupumziki, huku bize bize na mjadala wa safari ya korea na wasanii, mara vuuuup jimkopo limesainiwa mara mjadala kopo hilo tumetoa bahari....mara vuuup keka hilo. Watz tupo bize hadi raha....
Hawasomi kuna jamaa namfahamu aliwahi ongea wakiendaga huko nje kwenye mikataba ,kijitabu kina pages 200 za kizungu kile sanifu kama kiswahiliKama hawajui kinachoendelea nchini wataweza kweli kusoma mikataba ya 100 pages kwa lugha ya kigeni with fine prints? Nchi ya kusadikika.
Si mchezoHawasomi kuna jamaa namfahamu aliwahi ongea wakiendaga huko nje kwenye mikataba ,kijitabu kina pages 200 za kizungu kile sanifu kama kiswahili...
Waweza kuta wamefanya makusudi ili tuache kujadili ugawaji wa madini na bahari tuanze kujadili huu uteuziIkulu imekuwa kichekesho. Huyu Bwana Milton Lupa amefariki kwa ajali eneo la Dumila juzi. Alikuwa njiani kuja Dodoma kwenye kituo chake cha kazi VETA. Cha kushangaza jioni hii Dr. Kusilika KM Kiongozi anatoa taarifa kuwa ameteuliwa kuwa Mkurugenzi HW Kilolo.
Ikulu kuweni serious kidogo mmekuwa kichekesho kwa kila kitu.
Aaah usitujumuishe humo.Inasikitisha sana, hii ni taswira ya mtanzania, tusilaumu sana..ndivyo tulivyo kwa ujumla wetu.
Aibu kubwa na sio mara moja hata tar huwa wanakosea sana.aibu aibu . Jamaa hawasomi. Ukwel Mama apumzike hata yeye amechoka.Milton Lupa amefariki juzi kwa ajali ya gari Morogoro. Leo anasomeka mkeka wa uteuzi
How comes? Hivi Katibu Mkuu Kiongozi umeruhusuje huu mkeka kutoka na makosa haya...
Hamna ni failures and sio mara moja hukosea hadi tar . Usimisslead watuWaweza kuta wamefanya makusudi ili tuache kujadili ugawaji wa madini na bahari tuanze kujadili huu uteuzi
Ndo nimeamin hakuna Vetting inafanyikaMilton Lupa amefariki juzi kwa ajali ya gari Morogoro. Leo anasomeka mkeka wa uteuzi
How comes? Hivi Katibu Mkuu Kiongozi umeruhusuje huu mkeka kutoka na makosa haya?
View attachment 3010470
Hii ni aibu kubwa sana aise hao watu wao wa vetting kwa kweli dahMilton Lupa amefariki juzi kwa ajali ya gari Morogoro. Leo anasomeka mkeka wa uteuzi
How comes? Hivi Katibu Mkuu Kiongozi umeruhusuje huu mkeka kutoka na makosa haya?
View attachment 3010470