Inakuwaje Marehemu Milton Lupa anateuliwa mkeka mpya wa Rais?

Inakuwaje Marehemu Milton Lupa anateuliwa mkeka mpya wa Rais?

Ikulu imekuwa kichekesho. Huyu Bwana Milton Lupa amefariki kwa ajali eneo la Dumila juzi. Alikuwa njiani kuja Dodoma kwenye kituo chake cha kazi VETA. Cha kushangaza jioni hii Dr. Kusilika KM Kiongozi anatoa taarifa kuwa ameteuliwa kuwa Mkurugenzi HW Kilolo.
Ikulu kuweni serious kidogo mmekuwa kichekesho kwa kila kitu.
Siyo kichekesho, acha kuidogosha Taasisi ya Urais. Tofauti ya siku kati ya ajali na yeye kuteuliwa ni ndogo sana.

Uteuzi ni mchakato ambao ulianza few days/ weeks ago. Sioni kama hii ni discrepancy ya kujadili.

Tumuombee tu marehemu Milton Lupa apumzike kwa amani
 
Ikulu imekuwa kichekesho. Huyu Bwana Milton Lupa amefariki kwa ajali eneo la Dumila juzi. Alikuwa njiani kuja Dodoma kwenye kituo chake cha kazi VETA. Cha kushangaza jioni hii Dr. Kusilika KM Kiongozi anatoa taarifa kuwa ameteuliwa kuwa Mkurugenzi HW Kilolo.
Ikulu kuweni serious kidogo mmekuwa kichekesho kwa kila kitu.
Tusimpangie wa kumteua Kwani katiba inasema je?😂😂😂😂😂😂
 
Siyo kichekesho, acha kuidogosha Taasisi ya Urais. Tofauti ya siku kati ya ajali na yeye kuteuliwa ni ndogo sana.

Uteuzi ni mchakato ambao ulianza few days/ weeks ago. Sioni kama hii ni discrepancy ya kujadili.

Tumuombee tu marehemu Milton Lupa apumzike kwa amani
Nionavyo,

Wa kuombewa ni kiongozi wetu aliyemteua na Si marehemu mteuliwa!!

Anyway, Eti ni Kweli Mkopo wa Korea umebadilishwa na Migodi na bahari yetu?
 
Siyo kichekesho, acha kuidogosha Taasisi ya Urais. Tofauti ya siku kati ya ajali na yeye kuteuliwa ni ndogo sana.

Uteuzi ni mchakato ambao ulianza few days/ weeks ago. Sioni kama hii ni discrepancy ya kujadili.

Tumuombee tu marehemu Milton Lupa apumzike kwa amani
BRaza tujifunze kuukubali ukwel. Kuna aina ya makosa hatuyatarajii kuona yakifanywa katika ngaz flan. Yakifanyika na wengine sawa, lakin si katika ngaz hii ambayo inam describe vibaya mpaka mkuu wa nchi
 
Milton Lupa amefariki juzi kwa ajali ya gari Morogoro. Leo anasomeka mkeka wa uteuzi

How comes? Hivi Katibu Mkuu Kiongozi umeruhusuje huu mkeka kutoka na makosa haya?View attachment 3010470
Tukisema kuwa huko jumba jeupe umakini ni bidhaa adimu tunaitwa wachochezi haya jioneeni wenyewe
 
Ikulu imekuwa kichekesho. Huyu Bwana Milton Lupa amefariki kwa ajali eneo la Dumila juzi. Alikuwa njiani kuja Dodoma kwenye kituo chake cha kazi VETA. Cha kushangaza jioni hii Dr. Kusilika KM Kiongozi anatoa taarifa kuwa ameteuliwa kuwa Mkurugenzi HW Kilolo.
Ikulu kuweni serious kidogo mmekuwa kichekesho kwa kila kitu.
Hilo nalo mkalitizame.
 
Back
Top Bottom