FATHER OF HISTORY
JF-Expert Member
- Aug 15, 2012
- 915
- 638
Wafiwa watasema mtu wao kalogwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni mbumbumbu kabisaMbona mm kwenye pdf hilo jina silioni???
Au nyie mna pdf nyingine?
Siyo kichekesho, acha kuidogosha Taasisi ya Urais. Tofauti ya siku kati ya ajali na yeye kuteuliwa ni ndogo sana.Ikulu imekuwa kichekesho. Huyu Bwana Milton Lupa amefariki kwa ajali eneo la Dumila juzi. Alikuwa njiani kuja Dodoma kwenye kituo chake cha kazi VETA. Cha kushangaza jioni hii Dr. Kusilika KM Kiongozi anatoa taarifa kuwa ameteuliwa kuwa Mkurugenzi HW Kilolo.
Ikulu kuweni serious kidogo mmekuwa kichekesho kwa kila kitu.
Tusimpangie wa kumteua Kwani katiba inasema je?😂😂😂😂😂😂Ikulu imekuwa kichekesho. Huyu Bwana Milton Lupa amefariki kwa ajali eneo la Dumila juzi. Alikuwa njiani kuja Dodoma kwenye kituo chake cha kazi VETA. Cha kushangaza jioni hii Dr. Kusilika KM Kiongozi anatoa taarifa kuwa ameteuliwa kuwa Mkurugenzi HW Kilolo.
Ikulu kuweni serious kidogo mmekuwa kichekesho kwa kila kitu.
Kila mmoja anajifanya anajuwa kazi ya Ikulu. Pole sanaKama ni kweli , basi Samia huwa anadanganywa sana. Pia hayuko makini . Kwenye mikataba huko sijui hali ikoje !
Wewe ni bumunda kabisa, uoni kuwa mkeka umesainiwa Leo? Unafaham logic ya kusaini kitu chochote, iwe barua au nyaraka?Itakuwa mkeka uliandaliwa a day before he died.
Usalama wako wapi?Labda alikuwa kwenye list ila Sasa wakasahau kupata taarifa na kufanya updates si unajua ni mpaka ofisi ya Rais Ipewe taarifa wao hawamjui Kila mtu
Tulivyohoji humu wakafuta na kurekebisha fasta😂😂😂😂Mbona sijamuona Wakuu?
Au kuna pdf nyingine?
Nionavyo,Siyo kichekesho, acha kuidogosha Taasisi ya Urais. Tofauti ya siku kati ya ajali na yeye kuteuliwa ni ndogo sana.
Uteuzi ni mchakato ambao ulianza few days/ weeks ago. Sioni kama hii ni discrepancy ya kujadili.
Tumuombee tu marehemu Milton Lupa apumzike kwa amani
BRaza tujifunze kuukubali ukwel. Kuna aina ya makosa hatuyatarajii kuona yakifanywa katika ngaz flan. Yakifanyika na wengine sawa, lakin si katika ngaz hii ambayo inam describe vibaya mpaka mkuu wa nchiSiyo kichekesho, acha kuidogosha Taasisi ya Urais. Tofauti ya siku kati ya ajali na yeye kuteuliwa ni ndogo sana.
Uteuzi ni mchakato ambao ulianza few days/ weeks ago. Sioni kama hii ni discrepancy ya kujadili.
Tumuombee tu marehemu Milton Lupa apumzike kwa amani
Tukisema kuwa huko jumba jeupe umakini ni bidhaa adimu tunaitwa wachochezi haya jioneeni wenyeweMilton Lupa amefariki juzi kwa ajali ya gari Morogoro. Leo anasomeka mkeka wa uteuzi
How comes? Hivi Katibu Mkuu Kiongozi umeruhusuje huu mkeka kutoka na makosa haya?View attachment 3010470
Hilo nalo mkalitizame.Ikulu imekuwa kichekesho. Huyu Bwana Milton Lupa amefariki kwa ajali eneo la Dumila juzi. Alikuwa njiani kuja Dodoma kwenye kituo chake cha kazi VETA. Cha kushangaza jioni hii Dr. Kusilika KM Kiongozi anatoa taarifa kuwa ameteuliwa kuwa Mkurugenzi HW Kilolo.
Ikulu kuweni serious kidogo mmekuwa kichekesho kwa kila kitu.
Nyota hajasaini cos ye mwenyewe ni sehemu ya wateuliwaNyota....