Inakuwaje Marehemu Milton Lupa anateuliwa mkeka mpya wa Rais?

Hii ndio picha ya utawala na utendaji wa kizimkazi.je yale ya ndani uko ikulu Itakua ni hali tete tu.

Tukisema mnaona tuna mchafua ona sasa kaonyesha mauchafu yake. Watanganyika tujipange sana kuhusu kizimkazi.

Yuko bze na masafari ya majuu tu na ndio maana wateuliwa wake wanaiba tu.

KAZI ni kipimo cha UTU
 
Kuna shida mahali
 
Tunataka katiba MPYAAAAAA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…