Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama kwani wanao tutenga si wao, na wanaosisitiza lugha si wao na wanaofanya waonekane hawajui kuongea ni wao. Ni kaujinga tu ka ubaguzi na kujiona wao ndio wajanja sanaaa.
malecturer wanafundisha English ?Halafu huyu anajiita msomi, na unakuta anaGPA nzuri kabisa 😃 tunaenda wapi afrika na nini tunakiandaa katika maisha ya sasa, sioni faida ya huyu mtu na ni mtu wa hovyo hatufai kagika jamii
Niwaulize ma lecture mnaojiita madoctor na maprofesor hawa watu wanapita mikononi mwenu na vyetu mnawaandalia ninyi
Sielewi hapa kwa akilo zangu finyu. Au kuna muanya wa kugawana magamba ya degree mbona sielewi
🤣🤣🤣