Inakuwaje mtu anamaliza degree hajui kuongea English?

Inakuwaje mtu anamaliza degree hajui kuongea English?

Halafu huyu anajiita msomi, na unakuta anaGPA nzuri kabisa [emoji2] tunaenda wapi afrika na nini tunakiandaa katika maisha ya sasa, sioni faida ya huyu mtu na ni mtu wa hovyo hatufai kagika jamii

Niwaulize ma lecture mnaojiita madoctor na maprofesor hawa watu wanapita mikononi mwenu na vyetu mnawaandalia ninyi

Sielewi hapa kwa akilo zangu finyu. Au kuna muanya wa kugawana magamba ya degree mbona sielewi

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapa namkumbuka mwanangu mmoja wa pale UDSM enzi hizo mwamba anapenda mademu wa kishua na wadosi ila lugha mushkeri .

Kila akitumiwa meseji za kiinglishi ananisukumia nitafsiri pia nitoa jibu nimtumie ili awajibu .

Nilikuwa naboreka sana ila sema ndiy hivyo ni mshikaji wangu nitafanyaje sasa .

Mwisho akala uteuzi mpaka leo nikimuona kwa kideo nacheka sana
 
Halafu huyu anajiita msomi, na unakuta anaGPA nzuri kabisa 😃 tunaenda wapi afrika na nini tunakiandaa katika maisha ya sasa, sioni faida ya huyu mtu na ni mtu wa hovyo hatufai kagika jamii

Niwaulize ma lecture mnaojiita madoctor na maprofesor hawa watu wanapita mikononi mwenu na vyetu mnawaandalia ninyi

Sielewi hapa kwa akilo zangu finyu. Au kuna muanya wa kugawana magamba ya degree mbona sielewi

🤣🤣🤣

Kumbe UDSM ndio kuna bongo lala ?

Ex minister wa elimu wa awamu ya 5 alishindwa kuongea English iliyonyooka kwenye kongamano la elimu na PhD yake sembuse degree holder?

Hebu msiwape stress vijana wa watu. Cha muhimu contents aliyonayo kichwani sio English yake anayoizungumza

Kama wahaya wasemavyo inawezekana, sijaingia maabara kupima ukweli.

Waliosoma vyuo vya kata ni rahisi sana kuwajua
Yaani mkionekana mtaani mfungwe kwenye matenga na mkatupwe baharini.

Mna laana mbaya sana

Nyie ni Magaidi
 
Na Raisi wako wa sasa , una maono Gani?
Mbona unanitega na swali lako...Wewe ni ME/KE

lkn situnaona wote mwenendo wake anakutana na watu tofauti kwenye nchi tofauti kila siku na hana mkalimani wala nini sa100 yuko poa in both cases, She knows better after all presidents
 
Stop your Bigoted and Racist Terrosristic remarks.

Kwa kweli hata kama ni Porojo bado hili halijengi.

Mleta mada yaani tukionana lazima nikufungie kwenya tenga, na kutupa Bahari na kuachia na kamba ya kujinyonga manake hakuna samaki baharini wanaoujua kiingereza
 
Mbona unanitega na swali lako...Wewe ni ME/KE

lkn situnaona wote mwenendo wake anakutana na watu tofauti kwenye nchi tofauti kila siku na hana mkalimani wala nini sa100 yuko poa in both cases, She knows better after all presidents
She is Bigoted. You are Bigoted.
 
Hapa namkumbuka mwanangu mmoja wa pale UDSM enzi hizo mwamba anapenda mademu wa kishua na wadosi ila lugha mushkeri .

Kila akitumiwa meseji za kiinglishi ananisukumia nitafsiri pia nitoa jibu nimtumie ili awajibu .

Nilikuwa naboreka sana ila sema ndiy hivyo ni mshikaji wangu nitafanyaje sasa .

Mwisho akala uteuzi mpaka leo nikimuona kwa kideo nacheka sana
Je ulijua kwanini yeye alikuwa anapata mademu wa Kishua na wewe hupati, ulimuuliza ?

Umejiuliza umekosa nini kwa yeye kupata huo uteuzi wakati wewe unahangaika? na Lugha?

Jitathmini utajua kwanini?
 
Ex minister wa elimu wa awamu ya 5 alishindwa kuongea English iliyonyooka kwenye kongamano la elimu na PhD yake sembuse degree holder?

Hebu msiwape stress vijana wa watu. Cha muhimu contents aliyonayo kichwani sio English yake anayoizungumza
Irellevant!
 
Halafu huyu anajiita msomi, na unakuta anaGPA nzuri kabisa [emoji2] tunaenda wapi afrika na nini tunakiandaa katika maisha ya sasa, sioni faida ya huyu mtu na ni mtu wa hovyo hatufai kagika jamii

Niwaulize ma lecture mnaojiita madoctor na maprofesor hawa watu wanapita mikononi mwenu na vyetu mnawaandalia ninyi

Sielewi hapa kwa akilo zangu finyu. Au kuna muanya wa kugawana magamba ya degree mbona sielewi

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Uzuri umekubali kua akili zako ni finyu [emoji3]
Kiingereza cha Kuongea sicho cha kusomea hii ipo kwa lugha zote, wewe unaweza kujiona unajua kiswahili nenda Buza huko ukakutane na Waswahili wenzio wanaongea Kiswahili lakini huelewi wanaongea nini.
 
Sijawai kupenda kuongeaa kingereza ovyo ovyo....
Walio kulia vijijini na uswaz wanaelewa🌝😀😃😄

Hawakawii kusema anajifanyisha....mwisho wasiku utapigwa misumari au kutengwa....

Kingereza ni lugha kama kisukuma au kiha au kimakonde......tofaut yake kingereza ni lugha superior than all other.........

Pia ni ngumu Kwa wanafunzi wa st.kayumba kupiga kimombo......

Ukitaka kuamini kimombo ni lugha kama lugha nyingine.....huyo graduate mpeleke sehemu itakavyo mbidi kuongeaa kingereza automatically utajikuta anaongea hata broken English 😎😎

Kingereza sio kipimo Cha mtu kua na akili....tulisomaga na WATU wanaongea kimombo fluent ila tuliwapiga KNOCK OUT mpka kwenye Hilo SoMo la kingereza(English).......
 
Ukiona Mtu anaijua lugha kwasababu kaisomea darasani Huyo ni mtumwa na elimu yake ni yakutilia shaka.

Ujuzi walugha kiuamilifu (aquired) ndio ujuzi wa kweli.
KUNYWA PEPSI NITALIAPA.
 
Degree graduated wengi hawawezi kubishana na mzungu...ila cha kuandika kila mtu fundi
Niliwahi kufanya kazi na graduate mmoja kutoka chuo kimoja maarufu sana hapa Dar,nikashagaa siku anatakiwa atoe maelezo kwa kingereza cha kuandika,ananiambia nimsaidie kizungu hakipandi vizuri,nikashangaa sasa huyu akija kuwa waziri kwenye mikataba si atatuingiza chaka...
 
Niliwahi kufanya kazi na graduate mmoja kutoka chuo kimoja maarufu sana hapa Dar,nikashagaa siku anatakiwa atoe maelezo kwa kingereza cha kuandika,ananiambia nimsaidie kizungu hakipandi vizuri,nikashangaa sasa huyu akija kuwa waziri kwenye mikataba si atatuingiza chaka...
Wapo wengi mbona just dig enough and you’ll find out..
 
Ukiona Mtu anaijua lugha kwasababu kaisomea darasani Huyo ni mtumwa na elimu yake ni yakutilia shaka.

Ujuzi walugha kiuamilifu (aquired) ndio ujuzi wa kweli.
What do you mean acquired? Acquired through formal/informal education?

I'm finding it difficult to get your argument, so all educated people are slaves to their academic achievements?
Envy towards those who have achieved academically won't make you learn the language.
 
Halafu huyu anajiita msomi, na unakuta anaGPA nzuri kabisa 😃 tunaenda wapi afrika na nini tunakiandaa katika maisha ya sasa, sioni faida ya huyu mtu na ni mtu wa hovyo hatufai kagika jamii

Niwaulize ma lecture mnaojiita madoctor na maprofesor hawa watu wanapita mikononi mwenu na vyetu mnawaandalia ninyi

Sielewi hapa kwa akilo zangu finyu. Au kuna muanya wa kugawana magamba ya degree mbona sielewi

🤣🤣🤣
watakujibu kwamba kujua kiingeleza siyo akili - kiingeleza ni lugha tu kama zilivyo lugha zingine likewise kisukuma ama kipare.
 
Back
Top Bottom