Inakuwaje mtu anamaliza degree hajui kuongea English?

Inakuwaje mtu anamaliza degree hajui kuongea English?

Ex minister wa elimu wa awamu ya 5 alishindwa kuongea English iliyonyooka kwenye kongamano la elimu na PhD yake sembuse degree holder?

Hebu msiwape stress vijana wa watu. Cha muhimu contents aliyonayo kichwani sio English yake anayoizungumza
Tena amefundisha kwa mda mrefu UDSM!
 
Si shangai tulitawaliwa na rais aliejua kuandika english lakini hajui kuongea kingereza...🤣🤣🤣
 
Halafu huyu anajiita msomi, na unakuta anaGPA nzuri kabisa 😃 tunaenda wapi afrika na nini tunakiandaa katika maisha ya sasa, sioni faida ya huyu mtu na ni mtu wa hovyo hatufai kagika jamii, Niwaulize ma lecture mnaojiita madoctor na maprofesor hawa watu wanapita mikononi mwenu na vyetu mnawaandalia ninyi, Sielewi hapa kwa akilo zangu finyu. Au kuna muanya wa kugawana magamba ya degree mbona sielewi 🤣🤣🤣
So What?

Mbona Uingereza na Marekani ambazo ni nchi mbili kwa ukubwa wa kuongea Kiingereza lakini wanafunzi wanafeli kwenye Lugha yao? Hawajui Viongozi wao?Hawajui Kuandika?
Hawajui Africa ni Bara bali ni Nchi na Kiingereza chote! C'mon be serious.

Pathetic.

Umeshaona wakiandika? yaani jitu zima lakini kuandika hawezi yaani kama mguu wa kuku unavyoacha alama udongoni

Wacha propaganda hasi kwa watu wa Afrika. Toka uhamie huko kwenye GPA sijui madudu gani kazi kuuwana kufirana tuu. Shenzy taipu Ati engrishh

Please stop your bigoted and Racist propaganda. You are not doing this country any favors by spreading your bottom. and Spreading lies!

Stop it.
 
Halafu huyu anajiita msomi, na unakuta anaGPA nzuri kabisa 😃 tunaenda wapi afrika na nini tunakiandaa katika maisha ya sasa, sioni faida ya huyu mtu na ni mtu wa hovyo hatufai kagika jamii, Niwaulize ma lecture mnaojiita madoctor na maprofesor hawa watu wanapita mikononi mwenu na vyetu mnawaandalia ninyi, Sielewi hapa kwa akilo zangu finyu. Au kuna muanya wa kugawana magamba ya degree mbona sielewi 🤣🤣🤣
Afrika yote ya nini we hangaika na huyo mtu wako au pengine ni wewe kabisa. Africa wakati watoto wa primary wanajua hiyo lugha hapa bongo
 
Halafu huyu anajiita msomi, na unakuta anaGPA nzuri kabisa 😃 tunaenda wapi afrika na nini tunakiandaa katika maisha ya sasa, sioni faida ya huyu mtu na ni mtu wa hovyo hatufai kagika jamii, Niwaulize ma lecture mnaojiita madoctor na maprofesor hawa watu wanapita mikononi mwenu na vyetu mnawaandalia ninyi, Sielewi hapa kwa akilo zangu finyu. Au kuna muanya wa kugawana magamba ya degree mbona sielewi 🤣🤣🤣
malecture ndio nini? We mwenyewe umejitathmini? WE mwenyewe bongolala acha kuzungumzia wenzio pambana na hiyo hali yako yenyewe
 
Elimu yenyewe hii ya kuwaza kwa kiswahili Kisha unaandika kwa kiingereza?

Mwalimu akisahihisha mitihani anakukaripia kwa kiswahili pale ulipokosea alafu anakuandikia jibu sahihi kwa kiingereza. Huwezi kujua kiingereza au lugha yoyote kwa staili hii.
 
Must be President Trump. ha ha Si shangai?
Hata trump alikua anaongea blackAmerican slang ila sio really america English 🤣🤣🤣

Hapa Tanzania 🇹🇿 namkumbuka hayati Magufuli kwenye baadhi ya hotuba zake alivyokua akijitetea kwamba anajua kuandika kienglish na hata kuzungumza kiingereza in magu voice 😂😂😂😂
 
UPUUZI!!!! TAKATAKA!! (Kwa sauti ya MUSIBA). Mtoa post hivi unajua kuwa Mtu kuwa na maarifa sio lazima aelewe lugha ya Kiingereza? na ndyo maana wataalam wanataka Lugha ya kiswahili ifundishwe mpaka vyuoni. Hivi haufahamu kuwa Wachina licha ya kupiga hatua kubwa ktk Uchumi wa Dunia lakini Mtaala wao wa Elimu unatumia Lugha yao ya kichina (Mandalin Chinese)? Hivi mtoa mada unafahamu nini kuhusu Lugha? Je unajua kuwa kila Lugha ni bora(Langauge Superiority)? Mtoa mada hivi unajua misingi ya kuwa na maarifa ktika nyanja ya kujifunzia au ktk nyanja ya taaluma fulani, hakuzingatii Lugha?
Mtoa mada, hivi unajua hata hicho kingereza kimetohoa maneno kutoka lugha nyingine? Kingereza cha karne ya 13 B k ni tofauti na cha sasa? Kasome shahiri linalojulikana kama "I too Sing America"..

Mtoa mada, mm ni Mwl. Katika Elements za lugha tunaangalia Arbitrarity (Unasibu). Ktk unasibu ndyo tunapata hizo lugha zote na ukisoma Unasibu utagundua kila lugha ni bora kwakuwa mwanadamu hazaliwi na lugha, bali anaikuta tu, nakuongezea hapa System, conventional, n.k.

Note: Sijasema watu wasijifunze kiingereza kwa kuwa ni Lugha inayozungumzwa ulimwengu mzima na hii ni kutokana na maendeleo yao tu, na kutawala baadhi ya maeneo Duniani kuanzia kipindi kile cha Utumwa, kipropaganda na kibiashara zaidi. Hata Lugha ya kiswahili ingekuwa kule Uingereza now na kingerza kingekuw hku basi kiswahili kingekuwa lugha maahughuli ulimwenguni, lakin ktk misingi ya kupata maarifa nakupinga.

Watu wajifunze kiingereza, kichina, kifaransa, kilatini, kiyahudi n.k kwakuwa Kila lugha ina umuhimu wake kama chombo kikuu cha mawasiliano; amabapo kupitia mawasiliano haya tunaweza kuhawilisha mitazamo yetu, kutoa maoni, mapendekezo, kubadilishana mawazo, kutuunganisha kibiashara, kiutamaduni, kijamii, kisiasa n.kl. Lakini ktk kupata maarifa kila jamii itumie lugha yake ili kuzalisha wasomi wanaoelewa kile walichojifunza zaidi. Tafiti zinaonesha kuwa mtu anayejifunza kwa Lugha yake huwa anaelewa zaidi(Mbobevu) kuliko yule anayetumia lugha nyingne. Kamsome Abraham Manslow ktk Language in learnig na John Locke, au achana na hawa wote utachanganyikikwa, naomba ukamsome BENJAMIN BOOM Ktk ile Theory ya COGNITIVE DOMAIN, alafu njoo hapa.

Nimemaliza
Utetezi wote huu kisa haitaki kujifunza kiingereza?😂😂😂😂
 
Hata trump alikua anaongea blackAmerican slang ila sio really america English 🤣🤣🤣

Hapa Tanzania 🇹🇿 namkumbuka hayati Magufuli kwenye baadhi ya hotuba zake alivyokua akijitetea kwamba anajua kuandika kienglish na hata kuzungumza kiingereza in magu voice 😂😂😂😂
**** la mmako nalo linazungumza aje.

Yaani wakati anakuzaa unafikiri alitaka uwe Mweusi au Mweupe?

Kamuulize akwambie shenzi wee
 
Aisee nalo mkalitazame lakini English hakuna Mtz anafahamu bila kuwa na jitihada binafsi .
 
Tatizo nyie Magaidi hamna Adabu.

Mna laana mbaya sana

Kwa kweli mtaja zeeka vibaya sana. Yaani mkitoka humu lazima tu mvimbirwe.
 
Back
Top Bottom