ThisisDenis
Senior Member
- Apr 14, 2013
- 162
- 139
- Thread starter
- #21
Lugha yetu ni kiswahili lakini hatuitili maanani kwenye shuguli zetu, Mtu akiongea Envlish anaonekana kasoma sanaaaa😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
English sio kitu cha kumsemea mtu, una wivu kisa mwenzio ana degree na GPA nzuri
Kama unafikiri n rahisi kuvipata bila kujua english nenda chuo 😂😂😂😂
GPA nzuri mama siku hizi unapewa cheti safi tu, kiwe cha diploma, Digrii na hata masta na hata ukitaka GPA 5 unawekewa cheti safi CW safi kote A. 🥰🥰🥰🥰English sio kitu cha kumsemea mtu, una wivu kisa mwenzio ana degree na GPA nzuri
Kama unafikiri n rahisi kuvipata bila kujua english nenda chuo 😂😂😂😂
Hii kwani lazima jamani kujua hiyo lugha.Halafu huyu anajiita msomi, na unakuta anaGPA nzuri kabisa 😃 tunaenda wapi afrika na nini tunakiandaa katika maisha ya sasa, sioni faida ya huyu mtu na ni mtu wa hovyo hatufai kagika jamii, Niwaulize ma lecture mnaojiita madoctor na maprofesor hawa watu wanapita mikononi mwenu na vyetu mnawaandalia ninyi, Sielewi hapa kwa akilo zangu finyu. Au kuna muanya wa kugawana magamba ya degree mbona sielewi 🤣🤣🤣
Nakataa hamna chuo kitakupa digrii safii kirahisi hivo 😂😂😂GPA nzuri
GPA nzuri mama siku hizi unapewa cheti safi tu, kiwe cha diploma, Digrii na hata masta na hata ukitaka GPA 5 unawekewa cheti safi CW safi kote A. 🥰🥰🥰🥰
Tanzania nchi nzuri sana. Elimu ni bute kila kitu ni connection.
Huyu n wivu una mgasi gasi ukute hata digriii yenyewe hanaHii kwani lazima jamani kujua hiyo lugha.
Nani alikudaganya kujua kiingereza ndiyo kuwa msomi? Kwa taarifa yako nchi zingine kuna watu wanajua kuongea kiingereza lakini wajinga kwa sababu hawajawahi kuingia darasani,yaani hawajui kusoma wala kuandika ila kiingereza ni lugha yao ya kuzaliwa kama kiswahili,kisukuma na kihaya.
Kuitwa msomi ni kuwa na elimu ya kujua mambo mbalimbali yahusuyo viumbe hai, mazingira, jamii na mambo ya ulimwengu kwa ujumla.
Kiingereza ni sawa na lugha zingine duniani kote kama kichina,kikorea,kihisiapania,kijeremani, lugha yako wewe nk
Umenikumbusha mbali sana.Ila leo sipendi ugomvi.😜😜😜😜Halafu huyu anajiita msomi, na unakuta anaGPA nzuri kabisa 😃 tunaenda wapi afrika na nini tunakiandaa katika maisha ya sasa, sioni faida ya huyu mtu na ni mtu wa hovyo hatufai kagika jamii, Niwaulize ma lecture mnaojiita madoctor na maprofesor hawa watu wanapita mikononi mwenu na vyetu mnawaandalia ninyi, Sielewi hapa kwa akilo zangu finyu. Au kuna muanya wa kugawana magamba ya degree mbona sielewi 🤣🤣🤣
watu walio ingia venue huezi kuta wanaongelea kufahamu lugha ya kingereza kama madaHuyu n wivu una mgasi gasi ukute hata digriii yenyewe hana
Magufuli alikua na PhD na ngeli alikua hajuiHalafu huyu anajiita msomi, na unakuta anaGPA nzuri kabisa [emoji2] tunaenda wapi afrika na nini tunakiandaa katika maisha ya sasa, sioni faida ya huyu mtu na ni mtu wa hovyo hatufai kagika jamii, Niwaulize ma lecture mnaojiita madoctor na maprofesor hawa watu wanapita mikononi mwenu na vyetu mnawaandalia ninyi, Sielewi hapa kwa akilo zangu finyu. Au kuna muanya wa kugawana magamba ya degree mbona sielewi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni sehemu inayokukamilisha kukamilisha sehemu ya usomi wako.Kwani kujua english ndio usomi???
Swali zuriKwani kujua english ndio usomi???
English ni Lugha si usomi..Halafu huyu anajiita msomi, na unakuta anaGPA nzuri kabisa [emoji2] tunaenda wapi afrika na nini tunakiandaa katika maisha ya sasa, sioni faida ya huyu mtu na ni mtu wa hovyo hatufai kagika jamii, Niwaulize ma lecture mnaojiita madoctor na maprofesor hawa watu wanapita mikononi mwenu na vyetu mnawaandalia ninyi, Sielewi hapa kwa akilo zangu finyu. Au kuna muanya wa kugawana magamba ya degree mbona sielewi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wachina na Wajerumani wanaomaliza Degree zao na kuwa Wataalam wa Teknolojia, Ujenzi na Fani zingine muhimu kwa Jamii na zilizowapa Maendeleo makubwa duniani wao wanajua hiki Kiingereza chako unachokipigia Chapuo hapa na ambacho nina uhakika pia hata Wewe Mwenyewe hukijui na bado Unakibahatisha tu?Halafu huyu anajiita msomi, na unakuta anaGPA nzuri kabisa 😃 tunaenda wapi afrika na nini tunakiandaa katika maisha ya sasa, sioni faida ya huyu mtu na ni mtu wa hovyo hatufai kagika jamii, Niwaulize ma lecture mnaojiita madoctor na maprofesor hawa watu wanapita mikononi mwenu na vyetu mnawaandalia ninyi, Sielewi hapa kwa akilo zangu finyu. Au kuna muanya wa kugawana magamba ya degree mbona sielewi 🤣🤣🤣