Inakuwaje mtu anatoa posa then anapangiwa mahali halafu anapotelea mitini? (Haoi)

Ipo posa tulimpeleka mshkaji flani 2 yrs ago, ke alikuwa rubani, tulipokelewa vizuri kufikia mahari jamaa akapigwa bill ya 100M , ndio hujakosea ulichosoma millioni mia moja ,alipotoka pale alienda moja kwa moja mazima hajarudi hadi leo.

Tunavoongea ameoa bank teller wa CRDB mahari alitoa millioni tano tena alitaka yy,hawakumpangia bei ,

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Dah😂 mil 100 haaaa huyo ataolewa na babake tu amna namna
 
Sababu inaweza kuwa mahari ni kubwa sana au baada ya barua mchumba kakengeuka mfano kamfumania, bwana amegundua ana tabia mbaya mfano kudanga, ulevi, uchoyo, uchawi, ugomvi. Pia labda bwana kapata mchumba bora zaidi au hata karogwa na dem mwingine, mambo ni mengi mda mchache.
 
M100 nyingi mno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…