Inakuwaje mtu anatoa posa then anapangiwa mahali halafu anapotelea mitini? (Haoi)

Inakuwaje mtu anatoa posa then anapangiwa mahali halafu anapotelea mitini? (Haoi)

Mambo ni matatu mkuu..
Ukinpotezea wakatii Mimi nlikua serious nakuomba msamaha nakuja kwenu kutoa posa nakukula nakimbia kwani posa ni shingapi...!!

Hi I viumbe vikigundua unavipenda vinabadilika haraka sana...
 
Ipo posa tulimpeleka mshkaji flani 2 yrs ago, ke alikuwa rubani, tulipokelewa vizuri kufikia mahari jamaa akapigwa bill ya 100M , ndio hujakosea ulichosoma millioni mia moja ,alipotoka pale alienda moja kwa moja mazima hajarudi hadi leo.

Tunavoongea ameoa bank teller wa CRDB mahari alitoa millioni tano tena alitaka yy,hawakumpangia bei ,

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Uyo rubani kaolewa na aliens?
 
Mtu hawezi ghaili bila sababu,unakuta vikwazo toka kwa mwanamke au familia ndio sababu...ilitokea jamaa wamekaa kwenye uchumba na binti 3yrs,binti anakaribia kumaliza masomo akamwambia jamaa katoe mahali,jamaa akaenda na mshanga na wazaz kutoa mahali,..familia ikasema mila yetu mahali tutachukua siku ya harusi,..jamaa kajipanga kwa harusi miezi 3 binti kagoma kuolewa mpk afanye kazi mwaka 1 ndio wafunge ndoa,jamaa akaamua kuachana nae...baada ya muda binti na wazazi wanamtafuta jamaa,..binti akachanganyikiwa kwamba jamaa kamuaibisha...nani anakosa hapo?
Njaa mbaya na tamaa za kifala za mabinti wa familia za kijinga ndio maana wahuni wanaishi uchumba Sugu piga mimba mfululizo mpaka wazee wanaona eeeh leteni tu hata hio Million 1 inatutosha mchukue muoe tu,
 
Wanaume tuweni serious tusicheze na hisia za wachumba zetu, nashangaa kuona mtu anatoa mpaka posa anapangiwa mahali halafu anamkimbia bint hamuoi anaenda kuoa mwanamke mwingine, sijui tatizo huwa ni nini.
Mkuu mambo ya mahusiano ni siri ya wawili,
Hapa mtaani kuna mwamba kagairi kuoa na posa + mahari kasamehe!Nduku wakimuuliza sababu hanyooshi maelezo.
Siku akaja kufunguka kwa sie wanae tena baada ya kula k_vant za kutosha ndo akaropoka kuwa alimfuma mkewe mtarajiwa na dildo lina urefu futi 1 na ky gelly imetumika nusu,jamaa anasema dildo lilikua linanuka mavi tupu
 
Wanaume tuweni serious tusicheze na hisia za wachumba zetu, nashangaa kuona mtu anatoa mpaka posa anapangiwa mahali halafu anamkimbia bint hamuoi anaenda kuoa mwanamke mwingine, sijui tatizo huwa ni nini.
Opportunity Cost imetumika vizur practically. Jamaa alikua practical ya uchumi na Biashara
 
Ipo posa tulimpeleka mshkaji flani 2 yrs ago, ke alikuwa rubani, tulipokelewa vizuri kufikia mahari jamaa akapigwa bill ya 100M , ndio hujakosea ulichosoma millioni mia moja ,alipotoka pale alienda moja kwa moja mazima hajarudi hadi leo.

Tunavoongea ameoa bank teller wa CRDB mahari alitoa millioni tano tena alitaka yy,hawakumpangia bei ,

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Ata iyo tano kubwa..adai m3 yake ..ukweni wabaki na m2
 
Mtu hawezi ghaili bila sababu,unakuta vikwazo toka kwa mwanamke au familia ndio sababu...ilitokea jamaa wamekaa kwenye uchumba na binti 3yrs,binti anakaribia kumaliza masomo akamwambia jamaa katoe mahali,jamaa akaenda na mshanga na wazaz kutoa mahali,..familia ikasema mila yetu mahali tutachukua siku ya harusi,..jamaa kajipanga kwa harusi miezi 3 binti kagoma kuolewa mpk afanye kazi mwaka 1 ndio wafunge ndoa,jamaa akaamua kuachana nae...baada ya muda binti na wazazi wanamtafuta jamaa,..binti akachanganyikiwa kwamba jamaa kamuaibisha...nani anakosa hapo?
Baadhi wa Wanawake hawanaga akili kabisa
 
Ipo posa tulimpeleka mshkaji flani 2 yrs ago, ke alikuwa rubani, tulipokelewa vizuri kufikia mahari jamaa akapigwa bill ya 100M , ndio hujakosea ulichosoma millioni mia moja ,alipotoka pale alienda moja kwa moja mazima hajarudi hadi leo.

Tunavoongea ameoa bank teller wa CRDB mahari alitoa millioni tano tena alitaka yy,hawakumpangia bei ,

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Milioni tano bado kubwa sana.
 
Back
Top Bottom