Inakuwaje mtu anatoa posa then anapangiwa mahali halafu anapotelea mitini? (Haoi)

Inakuwaje mtu anatoa posa then anapangiwa mahali halafu anapotelea mitini? (Haoi)

Wanaume tuweni serious tusicheze na hisia za wachumba zetu, nashangaa kuona mtu anatoa mpaka posa anapangiwa mahali halafu anamkimbia bint hamuoi anaenda kuoa mwanamke mwingine, sijui tatizo huwa ni nini.
kwa mfano wewe unamuona binti unavutiwa nae unaona afaa kujenga familia nawe, unapata kumajua wa kwao na unatoa posa ghafla booom !! Unaanza kumuona rangi zake halisi, mjuaji, kisa amesoma. Jeuri hapana kifani kisa anakaajira.

Feminist wa kuiga iga haki sawa full kukuvimbia na kukubeza kwanini "haukumpigia magoti siku ulipomvalisha pete kama marafiki zake wanavyopigiwa kama haitoshi unakuta katika drow zake kuna KY jelly. Ikumbukwe sifa hizo tajwa zinawahusu 60% ya wanawake. Je utaendelea na mpango wa kumuoa ?
 
Uchumba unaweza kuvunjika wakati wowote kwa sababu za msingi kabisa ambazo hata vitabu vya dini vinazisema.Issue ni kumuacha mtoto wa watu bila sababu,labda ni kwa tamaa za kuvutwa upande mwingine kwa kuvutiwa na mambo ya nje ukiamini yaliyomo yamo.Haki ya nani machozi ya huyo binti wa watu yanaweza kukufanya ukapuyanga humu duniani miaka yote bila kujua wapi unakwenda bila kurogwa kwa yeye kwenda kwa mganga.
Kuumiza watoto wa watu sio kitu kizuri kabisa.Hapa ni kwa pande zote lakini inapokuja kuhusu wanawake Mungu anawapa u-special fulani sijui anajua kwakuwa sisi wanaume tuna misuli?

Ngoja niwawekee hapa tuone namna wanachukuliwa tena wenye wake ndio kabisaaa.
Malaki 2:14-15
[14]Lakini ninyi mwasema, Ni kwa sababu gani? Ni kwa sababu BWANA amekuwa shahidi kati ya wewe na mke wa ujana wako, uliyemtenda mambo ya hiana, angawa yeye ni mwenzako, na mke wa agano lako.
[15]Hakuna mtu mmoja aliyetenda hivi, ambaye alikuwa na ufahamu kidogo. Au je! Kuna mtu mmoja atafutaye mzao mwenye kumcha Mungu? Kwa hiyo jihadharini roho zenu; mtu awaye yote asimtende mke wa ujana wake mambo ya hiana.
1 Petro 3:7
[7]Kadhalika ninyi waume, kaeni na wake zenu kwa akili; na kumpa mke heshima, kama chombo kisicho na nguvu; na kama warithi pamoja wa neema ya uzima, kusudi kuomba kwenu kusizuiliwe.

Kama mambo fulani hayaendi inawezekana somewhere Mwaajuma Kikoti ulimliza na hajakusamehe mpaka leo,vipi yule Eliza 😀😀😀 bila kujua ku-clear hiyo hali yaweza kukuletea shida kubwa katika maishao na hii ni nje ya bibi yake,mama yake aliyejua mahusiano yenu na kujua maumivu ya binti wao kuamua kukushikia mkia wa kenge mwekundu 😀😀😀.
Kuna jamaa wanasema haiwezekani kurogwa halafu hawana Mungu wala hawana kinga yoyote wapowapo tu wakitest mitambo kesho unamkia nyumbani kwa binti ukiwa huna nguo.
 
Ipo posa tulimpeleka mshkaji flani 2 yrs ago, ke alikuwa rubani, tulipokelewa vizuri kufikia mahari jamaa akapigwa bill ya 100M , ndio hujakosea ulichosoma millioni mia moja ,alipotoka pale alienda moja kwa moja mazima hajarudi hadi leo.

Tunavoongea ameoa bank teller wa CRDB mahari alitoa millioni tano tena alitaka yy,hawakumpangia bei ,

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Uyo nae alipotea,
unaoaje MKE rubani aisee[emoji848]
Marubani Ni Watu hovyo kudate nao,
MDA mwingi wako angani afu wanastress sana
 
Mwanamke kama anakupenda Ana kuhtaji hata bure unamuoa tu.swala la mahar mkikaa Na mwenzako mnalipanga Na akifika kwao analisimamia kutokana Na kipato chako ifikie kipind tuwe wakweli kwa wenza wetu tunaotaka kuingia nao katika ndoa kuwa mimi uwezo Wa MILION tano au 6 au tatu au mbili sina Ila nahtji kukuoa kama Anania ya KUOLEWA utaona majibu yake tu ndio utajua nia yake sio ndoa Bali sherehe Na harusi Na masifa
 
Hizo uswahilini tunaita barua tomb*. Unapeleka barua demu analainika anatoa mzigo any time akitarajia ndoa then mwana anapotea. Nilisikia Buza hizi story.
Hapo kwakweli Dem anakuwa amezingua...utolewe posa halafu uendelee na umalaya hii haikubaliki
 
Back
Top Bottom