Inakuwaje mtu anatoa posa then anapangiwa mahali halafu anapotelea mitini? (Haoi)

Inakuwaje mtu anatoa posa then anapangiwa mahali halafu anapotelea mitini? (Haoi)

Kama tatzo ni mwanamke kwanini mpaka mfike kote huko si bora kubwagana bila hata posa?
kwahiyo madhaifu yakionekana baada ya posa waoe hivyo hivyo, umekwenda kutoa poa huko unagundua mwanamke kumbe anamtoto na amekudanganya hajazaa, unafanyaje hapo ?! Hebu acha upimbi fungua thread nyingine tujadili maswala ya msingi.

kama umetolewa posa na imegundulika marinda yamelegea tulia hakuna ndoa hapo.
 
Mtu hawezi ghaili bila sababu,unakuta vikwazo toka kwa mwanamke au familia ndio sababu...ilitokea jamaa wamekaa kwenye uchumba na binti 3yrs,binti anakaribia kumaliza masomo akamwambia jamaa katoe mahali,jamaa akaenda na mshanga na wazaz kutoa mahali,..familia ikasema mila yetu mahali tutachukua siku ya harusi,..jamaa kajipanga kwa harusi miezi 3 binti kagoma kuolewa mpk afanye kazi mwaka 1 ndio wafunge ndoa,jamaa akaamua kuachana nae...baada ya muda binti na wazazi wanamtafuta jamaa,..binti akachanganyikiwa kwamba jamaa kamuaibisha...nani anakosa hapo?
Hapo mwenye kosa ni binti mwenyewe.
 
Mambo ni matatu mkuu..
Ukinpotezea wakatii Mimi nlikua serious nakuomba msamaha nakuja kwenu kutoa posa nakukula nakimbia kwani posa ni shingapi...!!

Hi I viumbe vikigundua unavipenda vinabadilika haraka sana...
Samehe mkuu mpe heshima bint wa wawatu
 
Mkuu mambo ya mahusiano ni siri ya wawili,
Hapa mtaani kuna mwamba kagairi kuoa na posa + mahari kasamehe!Nduku wakimuuliza sababu hanyooshi maelezo.
Siku akaja kufunguka kwa sie wanae tena baada ya kula k_vant za kutosha ndo akaropoka kuwa alimfuma mkewe mtarajiwa na dildo lina urefu futi 1 na ky gelly imetumika nusu,jamaa anasema dildo lilikua linanuka mavi tupu
Duh! Hii ni hatari sasa
 
Back
Top Bottom