Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Khakhakhaaaa!🤣Tayari hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Khakhakhaaaa!🤣Tayari hii
La mahari kubwa sawa,ila mpaka umeamua kwenda Kwa wazazi umefahamika,then useme umekutana na best kandideti? Ndiyo maana unaweza kuta hufanikiwi cos ni machozi ya watuInawezekana mahari kubwa
Ama kakutana na best candidates
kwahiyo madhaifu yakionekana baada ya posa waoe hivyo hivyo, umekwenda kutoa poa huko unagundua mwanamke kumbe anamtoto na amekudanganya hajazaa, unafanyaje hapo ?! Hebu acha upimbi fungua thread nyingine tujadili maswala ya msingi.Kama tatzo ni mwanamke kwanini mpaka mfike kote huko si bora kubwagana bila hata posa?
Bwashe ni mimi nakuja.keshoKuna jamaa tunasubiri hapa toka mwaka jana.
Namwambia Maza huyo we ungemtoa bure tu ahame home.
Anadai aligoma jamaa kataka kuoa kihalali kabisa.
Mpk sasa bilabila.
Hapo mwenye kosa ni binti mwenyewe.Mtu hawezi ghaili bila sababu,unakuta vikwazo toka kwa mwanamke au familia ndio sababu...ilitokea jamaa wamekaa kwenye uchumba na binti 3yrs,binti anakaribia kumaliza masomo akamwambia jamaa katoe mahali,jamaa akaenda na mshanga na wazaz kutoa mahali,..familia ikasema mila yetu mahali tutachukua siku ya harusi,..jamaa kajipanga kwa harusi miezi 3 binti kagoma kuolewa mpk afanye kazi mwaka 1 ndio wafunge ndoa,jamaa akaamua kuachana nae...baada ya muda binti na wazazi wanamtafuta jamaa,..binti akachanganyikiwa kwamba jamaa kamuaibisha...nani anakosa hapo?
Poleni sana! Hapo mjiongeze tu mumjenge ndugu yenu kisaikolojiaa akae sawa aendelee na mambo mengineHapatikani hata kwa simu
Ujumbe mzuri kabisa🙏Hata Mimi ningekimbia kama ningepata taarifa mbaya kuhusu binti ,Bora kuvunja uchumba kuliko ndoa watoto watateseka.
Mahari ni pesa inayotafutwa,usimuonee huruma kwenye mambo ya kuoana ili kesho usionewe huruma yakikufika.
Samehe mkuu mpe heshima bint wa wawatuMambo ni matatu mkuu..
Ukinpotezea wakatii Mimi nlikua serious nakuomba msamaha nakuja kwenu kutoa posa nakukula nakimbia kwani posa ni shingapi...!!
Hi I viumbe vikigundua unavipenda vinabadilika haraka sana...
Duh! Hii ni hatari sasaMkuu mambo ya mahusiano ni siri ya wawili,
Hapa mtaani kuna mwamba kagairi kuoa na posa + mahari kasamehe!Nduku wakimuuliza sababu hanyooshi maelezo.
Siku akaja kufunguka kwa sie wanae tena baada ya kula k_vant za kutosha ndo akaropoka kuwa alimfuma mkewe mtarajiwa na dildo lina urefu futi 1 na ky gelly imetumika nusu,jamaa anasema dildo lilikua linanuka mavi tupu