Inakuwaje mtu anatoa posa then anapangiwa mahali halafu anapotelea mitini? (Haoi)

Inakuwaje mtu anatoa posa then anapangiwa mahali halafu anapotelea mitini? (Haoi)

Ipo posa tulimpeleka mshkaji flani 2 yrs ago, ke alikuwa rubani, tulipokelewa vizuri kufikia mahari jamaa akapigwa bill ya 100M , ndio hujakosea ulichosoma millioni mia moja ,alipotoka pale alienda moja kwa moja mazima hajarudi hadi leo.

Tunavoongea ameoa bank teller wa CRDB mahari alitoa millioni tano tena alitaka yy,hawakumpangia bei ,

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] kamba
 
Mkuu mambo ya mahusiano ni siri ya wawili,
Hapa mtaani kuna mwamba kagairi kuoa na posa + mahari kasamehe!Nduku wakimuuliza sababu hanyooshi maelezo.
Siku akaja kufunguka kwa sie wanae tena baada ya kula k_vant za kutosha ndo akaropoka kuwa alimfuma mkewe mtarajiwa na dildo lina urefu futi 1 na ky gelly imetumika nusu,jamaa anasema dildo lilikua linanuka mavi tupu
🤣😂😂😂 pale unapotaka kuoa likulumbembe
 
Ipo posa tulimpeleka mshkaji flani 2 yrs ago, ke alikuwa rubani, tulipokelewa vizuri kufikia mahari jamaa akapigwa bill ya 100M , ndio hujakosea ulichosoma millioni mia moja ,alipotoka pale alienda moja kwa moja mazima hajarudi hadi leo.

Tunavoongea ameoa bank teller wa CRDB mahari alitoa millioni tano tena alitaka yy,hawakumpangia bei ,

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Walitaka kumfanya mtaji kisa wamesikia rubani, wabongo shureni warisomea ujinga 🤣🤣🤣🤣
 
Kuna jamaa alienda kuposa akapangiwa posa mil 2.5 ilikuwa mwaka jana na mpaka leo jamaa hajarudi.
Jamaa yupo kutoa mahali ya isiyozidi laki 7..!!!

#YNWA
Aliwaambia kwamba ana laki 7 tu au hakusema akaondoka zake. Wao wangejuaje kama anaweza afford laki 7 au elfu hamsini au hawezi hata mia.
 
kuoa mwanamke mwenye mtoto sio tatizo kama kaliweka swala wazi. Vipi anaeficha ?! Ikibainika je, hana hatia ?!
Mtu mpaka unaoa unapaswa uwe umemchunguza nje ndan.
Sasa kama umeenda kutoa posa then unapokuja malizia uchunguzi unakuta kasha zalishwa inafaa ufunge ukurasa kama hutaki single mama kuliko kuja kuachana baada ya ndoa
 
Anaoa elimu au mwanamke?

Kuoa ni sawa na kumnunua mtu.

Kuoa ni kununua mtoto mpya kisheria

Ndio maana anaitwa doughter in Law ama Son in law.

Sasa mtoto mwenye elimu value yake ni kubwa kuliko mtoto asiye na elimu.

Posa na Mahari kizungu inaitwa bride price.. yaani bei ya kumnunua mke

Mke mwenye elimu ya gharama ni sahihi kuuzwa kwa bei ya gharama.

Labda kama huelewi maana ye neno bride price ?
 
Gharama ya kumsomesha rubani ni milioni 200 kwa miaka yote minne, na serikali haikulipii, unalipa.

Chuo kipo Tanzania, practical mnafanya Afrika kusini kwa gharama zako, hakuna mtoto wa masikini anayeweza kusomea urubani.

So hata ungekuwa wewe, ungekubali mwanao rubani aolewe kwa milioni moja?
Akili za kijinga hizi
 
Kuoa ni sawa na kumnunua mtu.

Kuoa ni kununua mtoto mpya kisheria

Ndio maana anaitwa doughter in Law ama Son in law.

Sasa mtoto mwenye elimu value yake ni kubwa kuliko mtoto asiye na elimu.

Posa na Mahari kizungu inaitwa bride price.. yaani bei ya kumnunua mke

Mke mwenye elimu ya gharama ni sahihi kuuzwa kwa bei ya gharama.

Labda kama huelewi maana ye neno bride price ?
Kama unahisi unaelewa zaidi ya wengine kwenye hilo basi umepotea, mwanaume yeyote yule akitaka kuoa ataoa mwanamke na sio elimu yake.


Ukikua utanielewa
 
Ipo posa tulimpeleka mshkaji flani 2 yrs ago, ke alikuwa rubani, tulipokelewa vizuri kufikia mahari jamaa akapigwa bill ya 100M , ndio hujakosea ulichosoma millioni mia moja ,alipotoka pale alienda moja kwa moja mazima hajarudi hadi leo.

Tunavoongea ameoa bank teller wa CRDB mahari alitoa millioni tano tena alitaka yy,hawakumpangia bei ,

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
100 ml [emoji848]...
 
Ukimpenda mwanamke huwezi kukimbia
Hii kauli huwa sitaki kabisa kuisikia.... Kuna binti mmoja nilionesha dalili za kumchumbia (umri atakuwa kagonga 28,,, maana ukimtizama waona kabisa gazeti jioni)
Ila kidume nikataka nijiweke hvyohvyo sababu vigezo vyangu baadhi anavyo halafu pia nikaona huyu hatutosumbuana kutokana na ukomavu wake...

Bwana bwana eeeh.... Si nikaamua kuweka mambo hadharani, na yeye akaanza nyodo (mara ninamtu wangu tena anadai kadum nae miaka 7,,, kimoyomoy nikasema Ni haki yake maana wanawake ndvyo walivyo)
Lakini cha ajabu akaendelea na sitaki na nataka .... Week iloisha nikamwambia dhamira yangu halafu mwisho nikamwambia ila kwasasa sitaki tena,,, pia nikamshauri siku nyingine akija mtu na mpango wa kuleta posa usimgusie swala la kunamtu kakukongoroa miaka 7, mwanaume atakimbia maana ataona wewe Ni mke wa mtu tayari!!!

Baada ya hayo nikamwambia mimi nimeshindwa aendelee na huyo anayejipanga kutafuta maisha mkoa jirani kwa mwaka wa7 Sasa, ili akiyapata ndo aje kujitambulisha kwao!!!
Nikainuka huyooo safari.... Huwezi amini baada ya hapo nikafuta namba nikajisemea mabinti wapo wengi tena wabichi kwanini nihangaike na limama... Toka hiyo week haishi kupiga simu, sms hazikauki na mimi nimekaza na msimamo wangu (yeye kauli aliyoishikilia Ni kwamba,,, sikumpenda Kama ningekuwa nimependa ningevumilia yote...... Pia Mimi namjibu kwa sauti ya upole kabisa
Kwamba "Mwanaume huwa haendeshwi na hisia... Sio lazima nikupende ili nikuoe, ukiwa na vigezo vya kuitwa mke hiyo inatosha... Kuhusu kukupenda ntajifunza kukupenda mbele kwa mbele🚶🚶
 
Ipo posa tulimpeleka mshkaji flani 2 yrs ago, ke alikuwa rubani, tulipokelewa vizuri kufikia mahari jamaa akapigwa bill ya 100M , ndio hujakosea ulichosoma millioni mia moja ,alipotoka pale alienda moja kwa moja mazima hajarudi hadi leo.

Tunavoongea ameoa bank teller wa CRDB mahari alitoa millioni tano tena alitaka yy,hawakumpangia bei ,

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Milionn100 duh utasema ananunua ng'ombe anaenda kukamua maziwa
 
Back
Top Bottom