Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Mamako.Ili iwe nini, hzi PhD za michongo bwana...hyo thesis alikuandikia nan😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mamako.Ili iwe nini, hzi PhD za michongo bwana...hyo thesis alikuandikia nan😀
Unakimbia vizuri.Ukimpenda mwanamke huwezi kukimbia
Kuna jamaa alienda kuposa akapangiwa posa mil 2.5 ilikuwa mwaka jana na mpaka leo jamaa hajarudi.Sasa no bora anaesema kwamba nimeshindwa Kwa sababu hii na hii. Sio jitu linakuja linatoa posa afu linapotelea kusikojulikana
Gharama ya kumsomesha rubani ni milioni 200 kwa miaka yote minne, na serikali haikulipii, unalipa.Ipo posa tulimpeleka mshkaji flani 2 yrs ago, ke alikuwa rubani, tulipokelewa vizuri kufikia mahari jamaa akapigwa bill ya 100M , ndio hujakosea ulichosoma millioni mia moja ,alipotoka pale alienda moja kwa moja mazima hajarudi hadi leo.
Tunavoongea ameoa bank teller wa CRDB mahari alitoa millioni tano tena alitaka yy,hawakumpangia bei ,
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Aligundua huyo mchumba ni bomuUlivomuuliza huyo mwanaume akasemaje kuhusu kukukimbia.?
Ndio mahari mil 100Huyo binti afanye mambo mengine huenda haikuwa riziki yake.....atapata tu mwingine
Aisee kwa ujeuri ulionao lazima akuacheHaikatazwi kubadilisha mawazo mkuu. Lakini kwann hadi afikie hatua kubwa kama hiyo afu aniache solemba[emoji848]. Aisee asinijaribu kabisa
Nini kilitokea kwa rubani?Ipo posa tulimpeleka mshkaji flani 2 yrs ago, ke alikuwa rubani, tulipokelewa vizuri kufikia mahari jamaa akapigwa bill ya 100M , ndio hujakosea ulichosoma millioni mia moja ,alipotoka pale alienda moja kwa moja mazima hajarudi hadi leo.
Tunavoongea ameoa bank teller wa CRDB mahari alitoa millioni tano tena alitaka yy,hawakumpangia bei ,
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Lete hiyo mahali bana m 1 tu unashindwaje?Bwashe ni mimi nakuja.kesho
Ameghundua mwanamke siyo "wife material". Danga!Wanaume tuweni serious tusicheze na hisia za wachumba zetu, nashangaa kuona mtu anatoa mpaka posa anapangiwa mahali halafu anamkimbia bint hamuoi anaenda kuoa mwanamke mwingine, sijui tatizo huwa ni nini.
Ukimwandaa vizuri hawezi kushindwa kuendelea mkuu, kwani hao wasomi mara ngapi wanaachwa na wanaishia kuwatesa watoto wao pasipo mpangalio ?Hao mahari laki 7 kaka ila nyumbani ni story za mizengwe tu.... ikitokea umeanguka bahati mbaya si wanao wamepotea
Yah upo sahihiUnakimbia vizuri.
Tunapomuona mwanamke unampenda (unatumia hisia) ila jinsi unavyokaa naye akili inaanza kutumika.
Kumbuka tunapo-oa siyo kwa ajili ya ngono ni kwaajili ya kujenga familia. Sasa umegundua mwanamke haeleweki, unategemea nini?
Kwa comment hii, nihitimishe kwamba ndoa kwako ni yathamani kuliko upendo..😊Haikatazwi kubadilisha mawazo mkuu. Lakini kwann hadi afikie hatua kubwa kama hiyo afu aniache solemba[emoji848]. Aisee asinijaribu kabisa
Huyo wa mil 100 naona wazazi walitaka tu kukomoaNdio mahari mil 100
Ya nini yote hii?
Ina mgodi ndani?
#YNWA
Kama mahari haikuwa kubwa basi tuendelee tulipoishia naunga tela mimi.Haikatazwi kubadilisha mawazo mkuu. Lakini kwann hadi afikie hatua kubwa kama hiyo afu aniache solemba[emoji848]. Aisee asinijaribu kabisa
Umeongea pointKukuacha ni halali, sasa kama mfuko wake hauruhusu , ndo ajilazimishe?
Anaenda tafuta sehemu yenye unafuu, wanawake wako wengi duniani.
Ataolewa na wazazi wake sasaWanaume tuweni serious tusicheze na hisia za wachumba zetu, nashangaa kuona mtu anatoa mpaka posa anapangiwa mahali halafu anamkimbia bint hamuoi anaenda kuoa mwanamke mwingine, sijui tatizo huwa ni nini.
Anaoa elimu au mwanamke?Gharama ya kumsomesha rubani ni milioni 200 kwa miaka yote minne, na serikali haikulipii, unalipa.
Chuo kipo Tanzania, practical mnafanya Afrika kusini kwa gharama zako, hakuna mtoto wa masikini anayeweza kusomea urubani.
So hata ungekuwa wewe, ungekubali mwanao rubani aolewe kwa milioni moja?