Inakuwaje mtu anatoa posa then anapangiwa mahali halafu anapotelea mitini? (Haoi)

Inakuwaje mtu anatoa posa then anapangiwa mahali halafu anapotelea mitini? (Haoi)

kwa mfano wewe unamuona binti unavutiwa nae unaona afaa kujenga familia nawe, unapata kumajua wa kwao na unatoa posa ghafla booom !! Unaanza kumuona rangi zake halisi, mjuaji, kisa amesoma. Jeuri hapana kifani kisa anakaajira.

Feminist wa kuiga iga haki sawa full kukuvimbia na kukubeza kwanini "haukumpigia magoti siku ulipomvalisha pete kama marafiki zake wanavyopigiwa kama haitoshi unakuta katika drow zake kuna KY jelly. Ikumbukwe sifa hizo tajwa zinawahusu 60% ya wanawake. Je utaendelea na mpango wa kumuoa ?
Hapana kwakweli staoa kwasabu najua ndoa haitafika mbali tutaachana
 
Uchumba unaweza kuvunjika wakati wowote kwa sababu za msingi kabisa ambazo hata vitabu vya dini vinazisema.Issue ni kumuacha mtoto wa watu bila sababu,labda ni kwa tamaa za kuvutwa upande mwingine kwa kuvutiwa na mambo ya nje ukiamini yaliyomo yamo.Haki ya nani machozi ya huyo binti wa watu yanaweza kukufanya ukapuyanga humu duniani miaka yote bila kujua wapi unakwenda bila kurogwa kwa yeye kwenda kwa mganga.
Kuumiza watoto wa watu sio kitu kizuri kabisa.Hapa ni kwa pande zote lakini inapokuja kuhusu wanawake Mungu anawapa u-special fulani sijui anajua kwakuwa sisi wanaume tuna misuli?

Ngoja niwawekee hapa tuone namna wanachukuliwa tena wenye wake ndio kabisaaa.
Malaki 2:14-15
[14]Lakini ninyi mwasema, Ni kwa sababu gani? Ni kwa sababu BWANA amekuwa shahidi kati ya wewe na mke wa ujana wako, uliyemtenda mambo ya hiana, angawa yeye ni mwenzako, na mke wa agano lako.
[15]Hakuna mtu mmoja aliyetenda hivi, ambaye alikuwa na ufahamu kidogo. Au je! Kuna mtu mmoja atafutaye mzao mwenye kumcha Mungu? Kwa hiyo jihadharini roho zenu; mtu awaye yote asimtende mke wa ujana wake mambo ya hiana.
1 Petro 3:7
[7]Kadhalika ninyi waume, kaeni na wake zenu kwa akili; na kumpa mke heshima, kama chombo kisicho na nguvu; na kama warithi pamoja wa neema ya uzima, kusudi kuomba kwenu kusizuiliwe.

Kama mambo fulani hayaendi inawezekana somewhere Mwaajuma Kikoti ulimliza na hajakusamehe mpaka leo,vipi yule Eliza 😀😀😀 bila kujua ku-clear hiyo hali yaweza kukuletea shida kubwa katika maishao na hii ni nje ya bibi yake,mama yake aliyejua mahusiano yenu na kujua maumivu ya binti wao kuamua kukushikia mkia wa kenge mwekundu 😀😀😀.
Kuna jamaa wanasema haiwezekani kurogwa halafu hawana Mungu wala hawana kinga yoyote wapowapo tu wakitest mitambo kesho unamkia nyumbani kwa binti ukiwa huna nguo.
Asante sana kwa kutujenga
 
kwahiyo madhaifu yakionekana baada ya posa waoe hivyo hivyo, umekwenda kutoa poa huko unagundua mwanamke kumbe anamtoto na amekudanganya hajazaa, unafanyaje hapo ?! Hebu acha upimbi fungua thread nyingine tujadili maswala ya msingi.

kama umetolewa posa na imegundulika marinda yamelegea tulia hakuna ndoa hapo.
Punguza jaziba Basi..kwani kuoa mke mwenye mtoto ni dhambi mbona nyny mnaoa huku mnawatoto kibao
 
Mkoo hapo wewe una elimu gani.... ukirudi nyumbani story zinaendana?
Mie nina degree nyingi kama za yule mzee alietaka usupika pale katikati ya nchi ila kwenye ndoa ukileta elimu inakwama ndoa ni mchanganyiko wa akili kidogo na ujinga mwingi hapo mtazeeka vizuri sana, ila ukitaka usomi kwenye ndoa na madigree yako mtaishia kupostiana kwa maneno matamu ila ukweli ulio ndani ni kaa la moto
 
Mie nina degree nyingi kama za yule mzee alietaka usupika pale katikati ya nchi ila kwenye ndoa ukileta elimu inakwama ndoa ni mchanganyiko wa akili kidogo na ujinga mwingi hapo mtazeeka vizuri sana, ila ukitaka usomi kwenye ndoa na madigree yako mtaishia kupostiana kwa maneno matamu ila ukweli ulio ndani ni kaa la moto
Hao mahari laki 7 kaka ila nyumbani ni story za mizengwe tu.... ikitokea umeanguka bahati mbaya si wanao wamepotea
 
Uchumba unaweza kuvunjika wakati wowote kwa sababu za msingi kabisa ambazo hata vitabu vya dini vinazisema.Issue ni kumuacha mtoto wa watu bila sababu,labda ni kwa tamaa za kuvutwa upande mwingine kwa kuvutiwa na mambo ya nje ukiamini yaliyomo yamo.Haki ya nani machozi ya huyo binti wa watu yanaweza kukufanya ukapuyanga humu duniani miaka yote bila kujua wapi unakwenda bila kurogwa kwa yeye kwenda kwa mganga.
Kuumiza watoto wa watu sio kitu kizuri kabisa.Hapa ni kwa pande zote lakini inapokuja kuhusu wanawake Mungu anawapa u-special fulani sijui anajua kwakuwa sisi wanaume tuna misuli?

Ngoja niwawekee hapa tuone namna wanachukuliwa tena wenye wake ndio kabisaaa.
Malaki 2:14-15
[14]Lakini ninyi mwasema, Ni kwa sababu gani? Ni kwa sababu BWANA amekuwa shahidi kati ya wewe na mke wa ujana wako, uliyemtenda mambo ya hiana, angawa yeye ni mwenzako, na mke wa agano lako.
[15]Hakuna mtu mmoja aliyetenda hivi, ambaye alikuwa na ufahamu kidogo. Au je! Kuna mtu mmoja atafutaye mzao mwenye kumcha Mungu? Kwa hiyo jihadharini roho zenu; mtu awaye yote asimtende mke wa ujana wake mambo ya hiana.
1 Petro 3:7
[7]Kadhalika ninyi waume, kaeni na wake zenu kwa akili; na kumpa mke heshima, kama chombo kisicho na nguvu; na kama warithi pamoja wa neema ya uzima, kusudi kuomba kwenu kusizuiliwe.

Kama mambo fulani hayaendi inawezekana somewhere Mwaajuma Kikoti ulimliza na hajakusamehe mpaka leo,vipi yule Eliza 😀😀😀 bila kujua ku-clear hiyo hali yaweza kukuletea shida kubwa katika maishao na hii ni nje ya bibi yake,mama yake aliyejua mahusiano yenu na kujua maumivu ya binti wao kuamua kukushikia mkia wa kenge mwekundu 😀😀😀.
Kuna jamaa wanasema haiwezekani kurogwa halafu hawana Mungu wala hawana kinga yoyote wapowapo tu wakitest mitambo kesho unamkia nyumbani kwa binti ukiwa huna nguo.
Asante 👏👏👏👏👏Kuna wadada hawalogi ila akifunga tatu kavu umeishaaa
Bora useme tu kwamba tumeshindwana kwa sababu kadhaa lakini kuondoka kimya tu na kwenda kuoa kwingine na hujamalizana na mwingine ni kujitafutia matatizo makubwa
 
Back
Top Bottom