Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Sasa kama ulilijua hilo kwann ulienda kuposa?
Nije kwenu nitoe posa nikukimbie alafu nataka nione nini utafanya.
Acha vitisho vya kitoto.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kama ulilijua hilo kwann ulienda kuposa?
🤣 🤣 🤣 africa ni LAANANguvu hizi waafrica tungetumia kuendeleza maifa yetu tungekua kama kalifonya
hao walitaka refund ya gharama za kusomesha binti upilot.Ipo posa tulimpeleka mshkaji flani 2 yrs ago, ke alikuwa rubani, tulipokelewa vizuri kufikia mahari jamaa akapigwa bill ya 100M , ndio hujakosea ulichosoma millioni mia moja ,alipotoka pale alienda moja kwa moja mazima hajarudi hadi leo.
Tunavoongea ameoa bank teller wa CRDB mahari alitoa millioni tano tena alitaka yy,hawakumpangia bei ,
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
hakuna mtu anaweza kukufanyia kitu, ila karma itakukamata tu (malipo from up above)Kuachwa unaachwa na hakuna kitu unaweza kunifanya. Narudia tena kwa herufi kubwa, HAKUNA KITU UNAWEZA KUNIFANYA
Ukiwa masikini usioe utaendelea kuzalisha kizazi Cha kimasikini👌🤣Kukuacha ni halali, sasa kama mfuko wake hauruhusu , ndo ajilazimishe?
Anaenda tafuta sehemu yenye unafuu, wanawake wako wengi duniani.
= hapo umemaanisha "mahali" kuwa ni sehemu ya kufanyia harusi au mahari ada ya kujipatia mke?Wanaume tuweni serious tusicheze na hisia za wachumba zetu, nashangaa kuona mtu anatoa mpaka posa anapangiwa mahali halafu anamkimbia bint hamuoi anaenda kuoa mwanamke mwingine, sijui tatizo huwa ni nini.
Binti yako agongwe toka sekondari hadi chuo,then watu waje uwapangie mahari utasema ni bikira,......kua seriousUkinifanyia hivi Mimi au binti yangu nakuhakikishia wewe na ndugu zako hamtokaa mnisahau kamwe.[emoji2955]
Njoo kama unajiamini,, nikikushindwa Kwa njia moja nitajaribu njia nyingine hadi nikukomeshe
Milioni 100 huyo mwanamke ni Pawatila?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Ipo posa tulimpeleka mshkaji flani 2 yrs ago, ke alikuwa rubani, tulipokelewa vizuri kufikia mahari jamaa akapigwa bill ya 100M , ndio hujakosea ulichosoma millioni mia moja ,alipotoka pale alienda moja kwa moja mazima hajarudi hadi leo.
Tunavoongea ameoa bank teller wa CRDB mahari alitoa millioni tano tena alitaka yy,hawakumpangia bei ,
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Huna cha kunifanya weweJichanganye uone. Tatizo mnakimbilia ushirikina hakuna kifanyiwa ushirikina ila lazima nikukomeshe tu[emoji2955]
Anapangiwa mahali gani? Mahali pa kuishi, kufanya kazi au mahali pa kutembea?Wanaume tuweni serious tusicheze na hisia za wachumba zetu, nashangaa kuona mtu anatoa mpaka posa anapangiwa mahali halafu anamkimbia bint hamuoi anaenda kuoa mwanamke mwingine, sijui tatizo huwa ni nini.
Wote wanaloga hata wanaume.Tuonewe huruma mkuu,wanawake wanaloga kichizi siku hizi,Ukiona tumeoa sehemu nyingine ujue ni kulogwa tu na si vingine.
Mmepanga mahari kubwa,nimeshindwa kutoa.Sasa hapo mnataka nirudi kufanya nini hapo kwenu?Haikatazwi kubadilisha mawazo mkuu. Lakini kwann hadi afikie hatua kubwa kama hiyo afu aniache solemba[emoji848]. Aisee asinijaribu kabisa
Ni supawumanMilioni 100 huyo mwanamke ni Pawatila?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Mahari aliambiwa Million ngapi? Sio unalaumu tu huko alikooa unajua kapangiwa mahari 150,000/- kwanini asioe we unampangia mahari Million 10 au 15 unataka utajirishe ukoowako kwa mahari ya siku 1?sijui tatizo huwa ni nini